Nilikuwa na laptop mbovu nimetoka kwa fundi na haifai tena njiani nikakutana na wale jamaa eti wanataka risit nilionunulia.1. Vyombo na furniture chakavu
2. Vyombo na furniture classic
3. Umbea wa wabongo
4. Usumbufu wa 'manesi' barabarani.
5. Usumbufu wa maliasili (kitanda unaweza kuambia ukilipie mambo ya misitu sijui nini wakati sio kipya)
6. Any of the above.
Asee kuna kadada kameamsha night bile kuaga landlord, afu kamesepa na hela. We acha tuuππππ
Anhaa hapo nmekuelewa mkuuGari ya kukodi trip moja inabeba vitu vikubwa. Vingine nahamisha mwenyewe taratibu
πππππNa guta
HahahahaWengine tunamiliki kiwanda cha plastic kuanzia sahani,majaba,vikombe,madumu ya uhai,ndoo za kutosha n.k inabidi Kuhama usiku tu kwa kweli
ππππhiyo laptop kama bado ipo tuongee biashara maana me kwa vimeo huniambii kituNilikuwa na laptop mbovu nimetoka kwa fundi na haifai tena njiani nikakutana na wale jamaa eti wanataka risit nilionunulia.
Laptop niliishaitumia miaka 3+.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hiyo laptop kama bado ipo tuongee biashara maana me kwa vimeo huniambii kitu
aina gani na ina ukubwa ganNjoo nikupe yangu
ππππususeme kuhama chama...sema kuhama toka upinzani kwenda LumumbaHaaaaaahaaahaaa kuhama usiku rahaa maana.. Ni kama kuhama Chama
aina gani na ina ukubwa gan
kwa sababu wewe ni mgeni hapa jijini sawa!!ππUoga tu
ππππππTunawajali kunguni mchana huaga wamelala
Bahati nzuri Sina kuda wa kuhama nikisha fungasha natafuta gari naondokaKwa experience yangu na ya nyie wengine humu Jf na huko mtaani, tumezoea watu wengi wanaohama makazi/nyumba au vyumba vyao huhama wakati wa usiku....je kuna kipi nyuma ya pazia kwa raia kutumia usiku kuhama na si mchana?.......
Labda kama hutokei hiyo mitaa tunayoijuaππMm ninahama mchana tu mbona ...bila shida kabisa
πππππBahati nzuri Sina kuda wa kuhama nikisha fungasha natafuta gari naondoka