Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Ishu ni unavyovihamisha vinafananaje.... wenye maflat TV ya kiplasma na ma LCD wanahama mchana... wenye machest friza yao na wanahama mchana..... we mtu anahama utafikiri anahamisha dampo au jalala unategemea ahame mchana...??!!