Mbona watu wengi wanapenda kuhama usiku tu?

Ishu ni unavyovihamisha vinafananaje.... wenye maflat TV ya kiplasma na ma LCD wanahama mchana... wenye machest friza yao na wanahama mchana..... we mtu anahama utafikiri anahamisha dampo au jalala unategemea ahame mchana...??!!
 
Wahamaji wanaogopa macho ya watu kuangalia vitu vyao kwa sababu wabongo hawaishiw cha kusema..Ila wengine ni aibu wanaficha,wengine ni mazoea tu.
 
Mimi nahamisha vitu kidogo kidogo, vitu vya mwisho kabisa ni vile vibaya vibaya ndo navihamisha usiku.
 
SWALA LA ULINZI ZAIDI usiku siyo rahisi watu kujua umebeba nini na nini mchana wanaviona ukitoka tu wanakuja kuchukua vyao mapema
 
Hivi hujui kuna magodoro yamebadilika rangi yamekuwa ya njano? mbaya zaidi yana ramani za dunia!! Sasa unafikiri magodoro kama hayo tutahamisha mchana kwenye kirikuu??!!!
 
Hahaha nifikili ni kutokana na mazoea na kukwepa ulichobeba mchana kukwepa macho mengi ya wanga
 

Naomba tafsiri ya Id yako...kwa kiswahili.
 
Ni kwasababu Mchana watu wengi wanakua wapo kwenye mihangaiko yao ya kimaisha,

Mtu anahama usiku kisha analala na kupumzika ili kesho yake aamke mapema na kwenda kwenye mihangaiko yake ya kimaisha.
 
Godoro kama ulimi wa mbuzi na viti vya marimba,mitungi ya maji,utahamaje mchana?si itakua ze comedy mkuu?
 
Ishu ni unavyovihamisha vinafananaje.... wenye maflat TV ya kiplasma na ma LCD wanahama mchana... wenye machest friza yao na wanahama mchana..... we mtu anahama utafikiri anahamisha dampo au jalala unategemea ahame mchana...??!!

ha ha haaaaa!! hii imekaaje et dampo!!! mh
 
Kulinda "privacy".

Mama'ko anaanika kufuli zake uani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…