Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulinda "privacy".
Mama'ko anaanika kufuli zake uani?
Hahahahahaaa
Umenchekesha Sana ..bila kusahau mende
Unakuta mtu unahama na mkokoteni mara masufuria yanaanguka kule huku jiko la mchina linamwaga mafutataa linaharibu vitu vingine kqdhalika vijiko vinaanguka kah!!
Ukicheki hapo ni baba na familia mko na mkokoteni mnaongozana nao pamoja na vitoto vingine vinalia chwiii chwiii ....!!!!!
Rudia utafiti wako.
Kuna jamaa yangu kahama majuzi alitoka saa 2 asubuhi.
Ishu ni unavyovihamisha vinafananaje.... wenye maflat TV ya kiplasma na ma LCD wanahama mchana... wenye machest friza yao na wanahama mchana..... we mtu anahama utafikiri anahamisha dampo au jalala unategemea ahame mchana...??!!
Mh!!!hiyo ni watu tu wajijengea mazingira yao ya kuhama usiku haina maana yeyote ,ni fikra potofu tu kwa watu
[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Ngalikihinja]#Ngalikihinja [/URL] big up mkuu kwa uchambuzi. Ila kuna huyo FaizaFoxy basi tu namwachia Mungu.
Ishu ni unavyovihamisha vinafananaje.... wenye maflat TV ya kiplasma na ma LCD wanahama mchana... wenye machest friza yao na wanahama mchana..... we mtu anahama utafikiri anahamisha dampo au jalala unategemea ahame mchana...??!!
Hamjambo waungwana!
Hili jambo la kuhama usiku badala ya mchana iko siri gani katika hiyo? Tofauti na kuhama mkoa 1 kwenda mwingine.
Ila nimejaribu kuchunguza iwe mtu anadaiwa au hadaiwi kodi mida ya kuhama alipo kwenda kwingine sio rahisi mtu kuhama mchana. Kama kuna anaelewa hiyo anijuze make shemeji yenu kaniambia kuhama kawaida ni usiku tu.
Na wenzetu nao huko majuu wanahama kama sisi usiku?
Karibuni mnijuze.
Kwa kuongezea kupunguza mazingira ya wizi maana watu wakikuona na vitu vya thamani inaweza kuwa kivutio cha kuweza kuvamiwaMeinKempf;
Hiyo ndiyo sababu kuubwa zaidi ukiongezea na makandokando ya magodoro machafu, mito ilokwisha na meza zilovujika bila kurepewa
Mpaka mkaa waliouzima kwa maji baada ya kumaliza kupika na wenyewe kujifanya kiherehere cha kubaki... KUHAMA MCHANA KUNATAKA UWE NA VYA KUHAMISHA, SIYO VYA KUTUPA DAMPOAlafu watu wanaohama awaachagi kitu hadi chuma la antena wanabeba.
Kwa kuongezea kupunguza mazingira ya wizi maana watu wakikuona na vitu vya thamani inaweza kuwa kivutio cha kuweza kuvamiwa