Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha mchana shilawadu wengiToka nimekuwa huwa naona watu wanahama usiku najiuliza kwann sipati jibu na kingine kinachonishangaza sijawah kuona mtu akihama mchana
Kwa ninisio kweli hiyo kauli yako mkuu
Huko si ushuaniHulu ununio tunahama mchana kweupeeee
wengine huwa wanahama asubuhi..wengine mchana.. Usifanye generalization ya moja kwa mojaKwa nini
mambo ritha?Hulu ununio tunahama mchana kweupeeee
Sababu watu wengi tunalalia magodoro chakavuToka nimekuwa huwa naona watu wanahama usiku najiuliza kwann sipati jibu na kingine kinachonishangaza sijawah kuona mtu akihama mchana
Kwangu mimi toka nakua hadi sasa cjawahi kuona mtu akihama mchana ndo maana nkaulizawengine huwa wanahama asubuhi..wengine mchana.. Usifanye generalization ya moja kwa moja