Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo avatar mh!ahahaaaa
Anhaa kumbe ni kwako?? Basi kwako hapafanani na kwa wengine mkuuKwangu mimi toka nakua hadi sasa cjawahi kuona mtu akihama mchana ndo maana nkauliza
Wana furniture mbovu like magodoro yenye mkojo
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaogopa mende na mipanya..iliyojificha kwenye sofa na kabati isonekane..sio siri huu utaratibu mbovu na upo nchi zetu za kimaskini hizi..
unatafuta bwana si bure wwNa huku upo pia..
Safi sasa... Sio 24 seven unalia lia kuhusu ajira dogo...
Una refresh mind kama hivi.
Lakn pia wengine wanaona aibu ya vitu vilivyochakaa mf. Thamani na hususani magodoro yaliyotoboka au ramani za mkojo hasa wenye watoto.Usir wa vifaa vyake
Umbea kuongea hali halisi.? Tambua kila mtu ana mawazo yake kulingana na mazingira anayoyafahami..wewe kama unafahamu hivyo hongera zako.sijui kama hii nchi tutapiga hatua kama mtu kama wewe unakua mbeya kiasi hicho, je umefanya utafiti kabla haujauleta ushilawadu wako huo? mimi hua naona wengi tu hasa mwisho wa wiki wakihama mchana, kuna sababu nyingi pengine muda wa kutoka kazini hasa katikati ya wiki au hata kuepuka foleni ya magari hasa katika miji mikubwa, nashauri watanzania tuache umbeya na tuangalie fursa na kufanya kazi kwa bidii.
Toka nimekuwa huwa naona watu wanahama usiku najiuliza kwann sipati jibu na kingine kinachonishangaza sijawah kuona mtu akihama mchana
DaaahWe magodoro chawa Na Mende zinakimbizana humo mubashara uhame mchana unataka kujiaibisha halafu godoro zenyewe ukilala ni kama umelala kwenye chaga jinsi zilivokonda