FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Hata dot zikiwa connected huwezi pata connection kati ya kuanika kufuli na kuhama... Kwani kuhama mchana hayo makufuli si yanawekwa kwenye mabegi au makabati..??!! AU ANAYEHAMA USIKU MAKUFULI YAKE ANAYAWEKA PALE PANAPOBANDIKWA ROAD LICENCE..??
Asiyejuwa maana haambiwi maana.