Hata dot zikiwa connected huwezi pata connection kati ya kuanika kufuli na kuhama... Kwani kuhama mchana hayo makufuli si yanawekwa kwenye mabegi au makabati..??!! AU ANAYEHAMA USIKU MAKUFULI YAKE ANAYAWEKA PALE PANAPOBANDIKWA ROAD LICENCE..??
Sentensi yako ya mwisho Umejidhalilisha. (tofautisha kuhama na kuanika) jaribu kuwa muelewa.
kwani.wewe si mama, huwaga unaanika wqpi?
ahahaaaaWana furniture mbovu like magodoro yenye mkojo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushajiuliz kwann malaya waliowengi wanasimama na kujiuza usiku lkn sio mchana ukipata jibu utajijibu