Mbowe, achana na Samia Must Go. Ni Uhaini mtupu na mtatesa familia zenu

Mbowe, achana na Samia Must Go. Ni Uhaini mtupu na mtatesa familia zenu

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.

Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.

Samia must Go, sasa where does she go?

Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.

Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.

Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.

Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.

Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.

Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.

Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
 
Njoo uchukue hii mkuu inauzwa b 9.8
IMG-20240911-WA0024.jpg
 
Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.

Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.

Samia must Go, sasa where does she go?

Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.

Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.

Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.

Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.

Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.

Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.

Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
Duh,au wewe ndo ulisema wakipotezwa polisi wasiwatafute!?
Inaonekana una uhakika sana na yajayo!
 
Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.
Vipi? Unataka uchukue nafasi za wake zao nini mkuu?
Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.
Mbona mmeua wengi tayari na mnaendelea kuwaia? Hilo halikutishi?
Samia must Go, sasa where does she go?
Kwani hana pa kwenda?
Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.
Ndiyo ujinha mnaojivunia? Inawaumeni sana kuina watu mnaowateka, mnaowapiga badala ya kudhoofika wanazidi kuimarika?
Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.
Kwa hiyo unakiri kwamba ninyi ndiyo watesi wa hilo taifa?
Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.
Kumbe yote hayo yanayotokea yanafanywa na serikali
Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.
Call it ujinga au vyovyote, hata hao waliopo madarakani walitumia namna hiyohiyo kuingia madarakani tena wao wameendekea kutumia mbinu chafu na ovu zaidi kubaki mararakani
Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.
Kumbe unakiri kwamba wanachokitafuta ni haki. Kwa taarifa yako, utafutwaji wa haki hautengenezi kosa la uhaini. Kajielimishe.
Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.
Vitisho ni kea ajili ya waoga na wasiojitambua. Mtoto wa kiume unaogopa kunyolewa nywele? Tena za kicheani? Bila shaka wewe utakuwa unapakwa rangi kucha na kung'arishwa lips
Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
Kwa tabia zote ulizozionyesha kwa huu uzi wako hauna uwezo wa kutoa ushauri. Wewe nenda ukaendelee na shule yako ya uana mitindo.
 
Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.

Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.

Samia must Go, sasa where does she go?

Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.

Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.

Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.

Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.

Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.

Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.

Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
Mbowe buyu la asali limepungua anatafuta njia ya kuitwa ikuru tu, wewe ngoja uone hiyo siku kama hatatokea, Mbowe ni mfanyabiasha hawezi fanya mambo hayo,huu ni mkwala tu ili wafuasi wake wajue kuwa yupo, kesho hakiitwa ikuru tu utasikia tumekubariana na Serikali -----blablaa nyingi nawafuasi wake wanaunga mkono,Siasa inaitaji mtu aliyejikana sio hawa akina Mbowe cop na Zitto, Tanzania ilituweze kupata upinzani ulioimara mpaka kizazi cha akina Mbowe cop na Zitto kiondoke kije kizazi kipya ,sio hawa wafanyabiasha.
 
Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.

Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.

Samia must Go, sasa where does she go?

Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.

Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.

Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.

Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.

Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.

Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.

Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
Ndom au mastabesheni ingetuepusha na hii aibu
 
Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.

Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.

Samia must Go, sasa where does she go?

Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.

Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.

Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.

Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.

Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.

Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.

Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
ni kinywaji tu ndio kimeongea pale si yeye asamehewe tu 🐒
 
Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.

Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.

Samia must Go, sasa where does she go?

Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.

Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.

Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.

Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.

Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.

Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.

Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
Imepimwa na ikapimika kisheria na kikatiba, HAKUNA UHAINI HAPO....

Ziko njia tatu HALALI za Rais kujiondoa au kuondolewa madarakani

1. Yeye mwenyewe kujiuzulu baada kujiona ameshindwa kutekeleza wajibu wake. Hii yaweza kufanyika kwa yeye mwenyewe kufanya hivyo kwa hiari yake au kulazimishwa kuchukua uamuzi huo kwa kupewa sababu. Hapa CHADEMA na sisi wananchi tumempa sababu........KUSHINDWA KULINDA UHAI WA WATU WAKE (wananchi)

2. Kupitia bunge kwa kuwa impeached....

3. Kupitia njia ya uchaguzi wa kidemokrasia ulio HURU, HAKI na WA WAZI....

Ndugu magufuli, Kiongozi wa nchi aliyeshindwa kulinda uhai wa watu wake hafai kuwa kiongozi wa nchi na ni lazima tuseme, HE/SHE MUST GO sasa na siyo kesho au mwakani. Tunataka afe nani na kwa njia zipi ndo tujue kuwa Rais Samia ameshindwa kutoa uongozi kwa nchi na taifa.....???

Kiongozi wa nchi ambaye amejimilikisha idara ya usalama wa taifa (TISS), akajitungia sheria ili ikamate watu, iwatese na kisha iwapoteze au kuwaua bila kuwafikisha polisi wala mahakamani, HUO PEKEE NI UHAINI DHIDI YA MAMLAKA ILIYO KUU AMBAYO NI WANANCHI kwa kuwa amevunja katiba aliyoapa kuwa atailinda...

Narudia tena hakuna uhaini hapo. Tutaandamana na mabango yaliyoandikwa "SAMIA MUST GO NOW..."
 
Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.

Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.

Samia must Go, sasa where does she go?

Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.

Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.

Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.

Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.

Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.

Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.

Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
Una huruma sana ??
 
Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.

Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.

Samia must Go, sasa where does she go?

Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.

Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.

Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.

Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.

Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.

Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.

Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
Wewe nani kwani? Umekuwa Mungu?
 
Back
Top Bottom