Mbowe, achana na Samia Must Go. Ni Uhaini mtupu na mtatesa familia zenu

Mbowe, achana na Samia Must Go. Ni Uhaini mtupu na mtatesa familia zenu

Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.

Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.

Samia must Go, sasa where does she go?

Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.

Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.

Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.

Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.

Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.

Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.

Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
Hata mimi hiyo kauli mbiu siiungi mkono, (Chadema are running out of ideas)
 
Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.

Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.

Samia must Go, sasa where does she go?

Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.

Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.

Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.

Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.

Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.

Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.

Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
Hivi wewe unajua uhaini ?
Samia must go unajua maana yake?

Sasa unaweza kuleta ushahidi must go ni kupindua nchi ?
 
Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.

Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.

Samia must Go, sasa where does she go?

Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.

Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.

Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.

Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.

Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.

Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.

Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
Watekaji bwana
 
Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.

Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.

Samia must Go, sasa where does she go?

Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.

Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.

Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.

Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.

Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.

Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.

Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
Yaan mwenyekiti wa kudumu anawambia Samia must go, wakati yeye ndiye anatakiwa aambiwe hivyo.
 
Mbowe buyu la asali limepungua anatafuta njia ya kuitwa ikuru tu, wewe ngoja uone hiyo siku kama hatatokea, Mbowe ni mfanyabiasha hawezi fanya mambo hayo,huu ni mkwala tu ili wafuasi wake wajue kuwa yupo, kesho hakiitwa ikuru tu utasikia tumekubariana na Serikali -----blablaa nyingi nawafuasi wake wanaunga mkono,Siasa inaitaji mtu aliyejikana sio hawa akina Mbowe cop na Zitto, Tanzania ilituweze kupata upinzani ulioimara mpaka kizazi cha akina Mbowe cop na Zitto kiondoke kije kizazi kipya ,sio hawa wafanyabiasha.


Mbowe na Zitto ni kweli kwanza ni wafanyabiashara, pili wanasiasa. Hapo Lissu ndio ana kauli thabiti ila na yeye kila kitu anategemea Western powers, ideas, intellect. Mwakubusi kidogo amejikita kuwapigania Watanzania bila kubabaika sana na Wazungu kwa kila kitu, kila ideas na mentality zake.
 
Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.

Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.

Samia must Go, sasa where does she go?

Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.

Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.

Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.

Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.

Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.

Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.

Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
Nakumbuka Isreal anavyohangaika kwa Palestina. Licha ya kupewa mitambo yotd ya silaha duniani. Mwaka sasa Palestina wanapigania ardhi na haki yao mwisho wa siku watajenga heshima kubwa ktk maisha yao
 
Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.

Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.

Samia must Go, sasa where does she go?

Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.

Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.

Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.

Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.

Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.

Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.

Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
Umekurupuka kijinga sana
 
Nakumbuka Isreal anavyohangaika kwa Palestina. Licha ya kupewa mitambo yotd ya silaha duniani. Mwaka sasa Palestina wanapigania ardhi na haki yao mwisho wa siku watajenga heshima kubwa ktk maisha yao
Na kule ukraine mwaka wa ngapi vile?
 
Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.

Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.

Samia must Go, sasa where does she go?

Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.

Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.

Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.

Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.

Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.

Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.

Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
Unaandika riwaya yote hii, kumbe huelewi hata maana ya uhaini!! Kwa nini watu mnaupenda ujinga kiasi hiki?
 
Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.

Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.

Samia must Go, sasa where does she go?

Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.

Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.

Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.

Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.

Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.

Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.

Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
Chawa anapumuwa
 
Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.

Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.

Samia must Go, sasa where does she go?

Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.

Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.

Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.

Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.

Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.

Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.

Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
Tanzania siyo nyumba ya Samia,ni mali ya watu milioni 60,ameshindwa kulinda uhai wetu sasa ataondoka na ndo mwisho wa CCM,Samia ndo muuaji na mtekaji namba moja,anaondoka,hujui hata maana ya uhaini wewe
 
Tanzania siyo nyumba ya Samia,ni mali ya watu milioni 60,ameshindwa kulinda uhai wetu sasa ataondoka na ndo mwisho wa CCM,Samia ndo muuaji na mtekaji namba moja,anaondoka,hujui hata maana ya uhaini wewe
Kamishina Awadh Hajji msimsahau lakini kuna Watu nusu awatie ulemavu wa kudumu na hawajamfanya kitu na kuwabonda kawabonda, sasa hio siku akipewa tena rungu yasije yakatokea ya kutokea lawama zikaanza upya
 
Call it ujinga au vyovyote, hata hao waliopo madarakani walitumia namna hiyohiyo kuingia madarakani tena wao wameendekea kutumia mbinu chafu na ovu zaidi kubaki mararakani
Kamishina Awadh Hajji bado yupo lakini msiseme hamkuambiwa
 
Back
Top Bottom