Mbowe, achana na Samia Must Go. Ni Uhaini mtupu na mtatesa familia zenu

Mbowe, achana na Samia Must Go. Ni Uhaini mtupu na mtatesa familia zenu

Yaan mwenyekiti wa kudumu anawambia Samia must go, wakati yeye ndiye anatakiwa aambiwe hivyo.
Haambiwi must go sababu amekaa muda mrefu madarakani kama unavyojaribu kudeflect, anaambiwa must go sababu hachukui hatua kwa yanayoendelea nchini.

Uwezo wa kuelewa mdunchu sana.
 
Mbowe na Zitto ni kweli kwanza ni wafanyabiashara, pili wanasiasa. Hapo Lissu ndio ana kauli thabiti ila na yeye kila kitu anategemea Western powers, ideas, intellect. Mwakubusi kidogo amejikita kuwapigania Watanzania bila kubabaika sana na Wazungu kwa kila kitu, kila ideas na mentality zake.
Hamna njia moja ya kupambana na CCM, acha kuelekeza wanaume wenzio namna ya kufanya mapambano na wewe toka magetoni ukafanye, since you know everything!

Hakuna mpinzani wa kweli ambaye hajawahi umizwa physically, emotionally, hata financially na CCM kama huwezi kuvaa viatu vyao pisha.
 
Akili ndogo sana.

Watu kutembea matembezi ya amani kusema Samia must go ndio ni lazima mrushe risasi? Kivipi maneno vs risasi kama sio akili robo!

We unaamini akiambiwa must go anabeba mabegi anaondoka? Si atakaa hapo na hakuna wakumgusa since akitoka Mungu kicheo anafuata Rais wa Tz. Uoga wa nini sasa, kila kitu kina work in favor ya Rais wa Tz isipokiwa divine interventions.

Samia must go is a call for an action, kutuma ujumbe, kupush uwajibikaji, sababu ni movement ya kisiasa, Hii mbona ni kitu rahisi sana kuelewa.

Punguzeni kukumbatia ujinga ndio maana tuna Taifa mfu kwa uwepo wa watu kama ninyi.
 
Mtoa maada ni matakor 100% ila ukweli mchungu ni kwamba mbowe na CCM lao Moja. Kitu kimoja ambacho nimeanza kuki-note ni kwamba Mbowe anacheka Cheka sana na ccm sijui km tutafika mbali..
 
Mtoa hoja, kama mama yako mzazi angetekwa akakutwa ununio katobolewa macho na akiwa utupu, ukaitwa ili uutambue mwili nafikiri ungemwelewa Mh. Mbowe ana maanisha nini.
Huwajui watu wa CCM akili zao, hawa ni soulless, ikitokea hivyo kwenye familia yao atakunja mikono atasema kazi ya Mungu haina makosa, atasubiri masauni aje ampe Millioni 5!

We hujiulizi, Uhai wa binadamu umedhulumiwa, binadamu kabisa mwenye damu na Pumzi, haitoshi kuwa na ubinadamu, kukemea na kutaka haki itendeke? Instead Mtu ndio kwanza anawaya waya mara waseme ni magaidi ndio maana wameuwawa, mara usichezee dola, mara watishe wananchi. Aibu hata tone usoni hawana.

Haya ni mazombi yanayotembea, wakosa roho!
 
Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada.

Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia.

Samia must Go, sasa where does she go?

Mbeya mmepigwa hadi leo Mnyika hawezi kutembea vzr mnataka mpigwe tena hiyo trh 23.

Prof Lipumba ambaye ndiye mwanasiasa aliyeteseka zaidi anawazoom t.

Hakuna serikali itakayoangalia usalama wa Taifa ukihatarishwa.

Ujinga huu mnaoufanya leo Kagame alishaumaliza miaka kibao, kule Rwanda husikii kelele wala nini, majenerali wanastaafu na wanakimbia nchi yao wenyewe.

Tafuteni njia nyingine ya kudai haki lakini sio uhaini huu.

Nilikuonea huruma sana ulipokuwa na kesi wakati ule, nililia mimi kwa kukuonea huruma Mbowe, nikiona umenyolewa kipara nasikitika sana, Sasa naona unayatafuta babangu.

Nakushauri achana na mipango yako hiyo huwezi kudai Samia Must Go, otherwise jiandae kwa treason case
Mbowe AMEROPOKA tu. Hilo haiwezekaniki.

Yeye mwenyewe Mbowe yuko CDM toka 2003 kama MWENYEKITI wa Chama na wenzie wakitaka kugombea anawaua (Chacha Wangwe) au kuwafukuza chama (Zitto Kabwe). Mbowe hana AUDACITY (usafi) wa kusema Samia Must Go
 
Mama aongeze Ukali kidogo! Uhaini ktk Nchi yetu haukubaliki, hauwezi kuanzisha kampeni ya kuundoa utawala uliopo madarakani kabla utawala huo haujamaliza Muda wake! Wahaini wote Sheria zetu zimeweka bayana namna ya kuwashughulikia! Uvumilivu kuna ukomo!
 
We demu wa kiume vp! Samia leta namba nikugegede
Tukikutana uso kwa uso unaweza kunitamkia huo ushenzi au utaanza kulia nikuonee huruma kabla ya kukuadhibu? Acha ushujaa wa mitandaoni wakati kiuhalisia wewe ni chakula cha watu.
 
Back
Top Bottom