Mbowe, achana na Samia Must Go. Ni Uhaini mtupu na mtatesa familia zenu

Hayo maneno aliambiwa Nyerere,Mandela,Kwame Nkurumah na wengineo.Nini kilitokea?Acha umbumbumbu na id yako ya kijinga.
 

Huyu alichukuliwa hatua gani?
 
Waache Waendelee tuone kama Wazungu watawasaidia 😁😁

Wajitokeze tarehe tajwa Kuna usafi 👇👇

View: https://x.com/MzalendoDaily/status/1833893018245451992?t=XyYVwRmVBJCV3OMYzwbTPA&s=19
 
Japokuwa bado sijajua bayana hiyo kampeni ya Samia Must Go itafanyikaje, lakini Nina uhakika kabisa kwamba hata kama Rais Samia ataamua kuachia ngazi leo hii bado vitendo viovu vya utekaji Watu, utesaji na Mauaji vitaendelea kuwepo. Kwa jinsi ninavyofahamu, kiini Cha kuwepo kwa matatizo haya siyo Samia, Bali chanzo halisi Cha kuwepo kwa matatizo haya ni kutokana na kuwepo kwa Katiba ya nchi ambayo ni mbaya sana, pamoja na Sheria zingine ambazo pia ni mbaya au Sheria kandamizi,
Hivyo basi, kitu sahihi kabisa kinachopaswa kuondoka hapa nchini Tanzania ni Katiba iliyopo pamoja na Sheria kandamizi zilizopo. Katiba iliyopo ikiondoka, na Sheria kandamizi zilizopo zikiondoka, automatically hata mamlaka ya kuteka Watu waliyonayo hao Watekaji pia yataondoka, hatimaye sasa Tanzania itakuwa ni mahali salama na pazuri pa kuishi, Wananchi wote wa nchi hii ya Tanzania tutakuwa tumejikomboa kutoka Jehamu tulipo hivi sasa na kwenda peponi katika nchi ya ahadi ya asali na maziwa.
 
Hayo ni maneno ya kisiasa na katiba inamruhusu.
Hivi wewe unajua maana ya UHAINI?.
 
Mbowe anataka mabeberu wamuone wajue kuwa mafungu yao wanayomwezesha kuvuruga nchi yanatumika.
Ila naona CDM kama Rais ni muislam huwa wanawashwa sana nyuma yao wakiwepo wale jamaa wa CET.
Huyo jamaa
 
Mbona mnachukulia vitu serous kwa hoja mfu, uhani , kuteka ,kuua sio uhain ila neno must go ndo uhani, unawezaje endelea ongoza taifa ambalo kila siku watu wako wanatekwa na kuuwawa kikatili?
 
Hio katiba mpya wa kuikubali na kuileta into life anajulikana na hana mpango huo🤣 ingekuwa ni jambo jepesi na liko within reach ya raia watu wangesha edit mzigo kitambo.
 

..Mama Abduli amenunuliwa na Waarabu.

..arudi kwao Zanzibar, au aende kwa wajomba zake Uarabuni.
 
Unacho kiamini na kilichopo katika uhalisia ni vitu viwili tofauti.

Sasa kuna kitu sijakielewa kwa huyo mbowe, hiyo samia must go itaanzia wapi kwenda wapi?

Au watajikusanya tu mahali na kuanza kuimba samia must go!

..Ni kampeni ya kumkataa Samia ktk sanduku la kura.

..Ccm ikitaka kubaki madarakani isithubutu kumsimamisha huyu Mama mwenye damu ya Watanganyika ktk mikono yake.
 
Familia ya mbowe na wenzake hazitoumia, ila nyie wananchi mnaojifanya mna uchungu sana ndio mtakaoumia

..Abduli na Wanu, watoto wa Samia, hawashiki bunduki, na pingu, na kuteka wapinzani.

..badala yake wanawatumia watoto wa kimasikini, kuteka, na kuua, masikini wenzao.

..wananchi tunapaswa kuamka.
 
Hio katiba mpya wa kuikubali na kuileta into life anajulikana na hana mpango huo🤣 ingekuwa ni jambo jepesi na liko within reach ya raia watu wangesha edit mzigo kitambo.
Katiba ya nchi yoyote ile hapa duniani huwa inaletwa na Wananchi wenyewe kwa wingi wao na kwa umoja wao, Katiba huwa hailetwi au kufungwa na Watawala peke yao au kuletwa na Rais wa nchi husika peke yake.
Uzoefu duniani kote unaonyesha kwamba Nchi yoyote ile ambayo Katiba ya nchi husika hutungwa na kikundi kidogo Cha Watu) watawala peke yao, lazima utaona Wananchi katika watakuwa wapo kwenye misuguano mikubwa Sana kati yao na watawala wao, lazima nchi husika itakuwa na Migogoro mikubwa ya kisiasa isiyokwisha, mifano hai ya nchi za namna hiyo kama vile hii Tanzania, karibia nchi zingine zote zilizopo Afrika, Mynmar (Burma), n.k.
 
Unacho kiamini na kilichopo katika uhalisia ni vitu viwili tofauti.

Sasa kuna kitu sijakielewa kwa huyo mbowe, hiyo samia must go itaanzia wapi kwenda wapi?

Au watajikusanya tu mahali na kuanza kuimba samia must go!
Hizi ni tamathali ambazo zinajengwa ndani ya mioyo za watu anaweza huyo Mbowe asiwepo wala samia asiwepo lakini kukawa kumeingizwa spirit.Kwa sababu nchi hii tatizo siyo Samia tatizo ni mifumo, hata CDM kama inachukua nchi kwenye mifumo hii ya kiongozi wa nchi ndiyo kila kitu wanaweza wakawa wabaya zaidi kuliko CCM.
 
Tuko nyuma ya Mbowe na Chadema, Samia Must Go!
 
Watanzania wagumu mno kufanya mabadiliko na ni kwa sababu ya ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…