Yaani unakaa unafananisha Kenya na Tanzania kabisaaa?! Tanzania fananisha na Burundi.Mimi sitaki kusikia chochote kwa hao wanasiasa.Yote au wote!!??
Kukata tamaa kwa namna hii ndiyo kinakoonesha ni kwa nini sisi na wakenya ni tofauti.
Evelyn salt "hata wewe"Mwenyekiti wa maisha....
Wewe kaka mimi sina chama na wala siyo chadema. Nimetoa ushauri au siruhusiwi kuchangia hapa. Ungeweka nawewe mapendekezo yako. Haya ni yangu mimi ni haki yangu kusema nachoona.Sasa kwani katiba yao inamzuia? Mambo mengine yanatia aibu, wao wanamchagua nyie mnataka kuwapangia na mnaumia wakati vyama vingine vipo mnaaeza amia huko mkawe wenyevit kama alivyofanya Zitto
Laana ya kumsaliti Magufuli itawatafuna
Ukitazama hii video utamuona Mbowe mmiliki wa Chadema akiendesha uchaguzi kwa style ambayo haijawai kutokea tangu uchaguzi wa kumpitisha Lowassa kuwa mgombea urais chadema mwaka 2015.
Huu ni muendelezo wa namna mbowe anavyoendesha chama chake. Tukio ili limeshangaza maelfu ya watu walioona video hii duniani kote.
Hiki chama kimeishiwa maarifa ya uongozi. Wakati wa Dr Slaa huwezi ona haya mazingaombwe.
Una uhakika wote ni lumumbaMbona wanachama hawalalamiki km nyie Lumumba buku 7 fc 😂
Wizi wa kura wa sisiemu vipi huuzungumzii?
Ukitazama hii video utamuona Mbowe mmiliki wa Chadema akiendesha uchaguzi kwa style ambayo haijawai kutokea tangu uchaguzi wa kumpitisha Lowassa kuwa mgombea urais chadema mwaka 2015.
Huu ni muendelezo wa namna mbowe anavyoendesha chama chake. Tukio ili limeshangaza maelfu ya watu walioona video hii duniani kote.
Hiki chama kimeishiwa maarifa ya uongozi. Wakati wa Dr Slaa huwezi ona haya mazingaombwe.
Wanachama wao wamekubali iwe hivyo wasiyo kubali wanaruhusiwa kuhamia popote paleWanachadema kuhusu Mbowe ni zaidi ya ibada, yaani Mungu Mbowe ndiye anayeaminika na wanachama wote, hakuna mwanachama yeyote anayeaminika. Hapo Mbowe ni zaidi ya Mungu, maana hakuna mwanachama anaaminika kuchukua uenyekiti zaidi ya Mbowe, wengine wote wananunulika, yaani Lisu ananunulika, Lema ananunulika,yaani hakuna anayefaa zaidi ya Mungu Mbowe.
Wanasiasa wanatokana na watanzania wa kawaida...Yaani unakaa unafananisha Kenya na Tanzania kabisaaa?! Tanzania fananisha na Burundi.Mimi sitaki kusikia chochote kwa hao wanasiasa.
Umesema vyema.
Watu waache kuwa kwenye ‘denial’
Wote ni wafanyabiashara
Na midevu yangu yote hii niendelee kuwa mfuasi wa wanasiasa??! si bora niwe hata mfuasi wa nabii Irene uwoyaMbowe anafanya mambo ya hovyo hata wafuasi wake mnaona aibu kitazama
Sawa msigwa tumekusikia.
Ukitazama hii video utamuona Mbowe mmiliki wa Chadema akiendesha uchaguzi kwa style ambayo haijawai kutokea tangu uchaguzi wa kumpitisha Lowassa kuwa mgombea urais chadema mwaka 2015.
Huu ni muendelezo wa namna mbowe anavyoendesha chama chake. Tukio ili limeshangaza maelfu ya watu walioona video hii duniani kote.
Hiki chama kimeishiwa maarifa ya uongozi. Wakati wa Dr Slaa huwezi ona haya mazingaombwe.
Hakuna upinzani bongo ni stori stori tu
Ni wananchi kufika mahali na kufanya maamuzi magumu
30yrs stori ni zile zile wamekosa uthubutu!
Tunadanganywaaa weeee
Wakirudi majumbani mwao maisha yanaendelea. Kutwa kusema keyboard worries. Wengi wa keyboard warriors wapo nje ya nchi ( hili nalo upinzani wameshindwa kutambua au ni kujifanya tu) Wanalipwa ruzuku kutwa mikutano isiyo isha.
Mnaongea nini wananchi wasichokijua.
Mnajadili budget ili iweje
Wafanyabiashara waligoma mpo kimya
HAKUNA UPINZANI PERIOD!
Sema yote umalize
Kwanini CCM ipo madarakani mpaka Leo?Mbowe kwa nini hataki kuachia wengine chama inamaana chadema wote wananunulika kasoro yeye tu?
Chama kizima wanabei?
Usisahau kuna Joyce Mukya. Huenda mwenyekiti mpya akawa Joyce Mukya.Kifo ndio kitamuondoa kwenye kiti amuachie first born wake.
Mwamba usipanic!! CHADEMA kama chama kikuu Cha Upinzani kinatakiwa kuwa mfano wa kuigwa. Kinatakiwa kiwe kisafi kuliko chama mnachotaka kiwapishe.CCM kutakuwa na fomu ngapi 2025? si moja? huo si uhuni at national level, afadhali huu ni village level
Upo na tatizo la kisaikolojia inahitaji ushauri nasaha. Maana wewe unadhani upinzani ni mbowe na Lissu. Mbowe alikaa ndani magereza karibia mwaka wewe unaweza kukaa hata siku moja?. Lissu kalimwa Risasi Zaidi ya kumi, wewe unaweza kuhimili?.Hakuna upinzani bongo ni stori stori tu
Ni wananchi kufika mahali na kufanya maamuzi magumu
30yrs stori ni zile zile wamekosa uthubutu!
Tunadanganywaaa weeee
Wakirudi majumbani mwao maisha yanaendelea. Kutwa kusema keyboard worries. Wengi wa keyboard warriors wapo nje ya nchi ( hili nalo upinzani wameshindwa kutambua au ni kujifanya tu) Wanalipwa ruzuku kutwa mikutano isiyo isha.
Mnaongea nini wananchi wasichokijua.
Mnajadili budget ili iweje
Wafanyabiashara waligoma mpo kimya
HAKUNA UPINZANI PERIOD!
Na yeye msigwa kaenda CCM kufanya Nini?. Nakubali Mbowe alikosea kukimbilia ikulu.Msigwa kasema Mbowe ni fisadi na ushaidi katoa kauliza alienda ikulu kufanya nini akarudi akampa mama samia tunzo
View attachment 3030758
Katika Jambo nalo Pinga ni Mbowe kutaka kugombea Tena uenyekiti. Italeta picha mbaya.Serikali impe kazi Mbowe, ili aachie uenyekiti Chadema. Hata kama jamani, Demokrasia gani kiongozi, mmoja watoto wanazaliwa wamemkuta mpaka wameanza kujitegemea. Chadema muendane na maneno yenu.
Mnashindwa hata na chama cha mambuzi, wameshabadili wenyeviti nyie huyohuyo. Kama chama ni cha familia, kiundwe chama cha wananchi wote, huru yeyote kugombea.