Usimuonee wivu mwenyekiti kumiliki 'side chick '......acha nongwaUsisahau kuna Joyce Mukya. Huenda mwenyekiti mpya akawa Joyce Mukya.
Sawa sawa maana wote hao lengo lao mojaNdugu yangu, mie siasa za bongo nimeshazivulia kofia na na blauzi sina hamuuuu. Wala siamini mambo yao ...hizi kelele za sisi mashabiki mara paaap kesho unaona picha ya pamoja ya mbowe, msigwa na sugu wanasmile hawana shida.
Sipo kabisa na siasa mie mtz huru
Mleteni msigwa
Ukitazama hii video utamuona Mbowe mmiliki wa CHADEMA akiendesha uchaguzi kwa style ambayo haijawai kutokea tangu uchaguzi wa kumpitisha Lowassa kuwa mgombea urais CHADEMA mwaka 2015.
Huu ni muendelezo wa namna Mbowe anavyoendesha chama chake. Tukio ili limeshangaza maelfu ya watu walioona video hii duniani kote.
Hiki chama kimeishiwa maarifa ya uongozi. Wakati wa Dkt. Slaa huwezi ona haya mazingaombwe.
Bado hujasemaMbowe anafanya mambo ya hovyo hata wafuasi wake mnaona aibu kitazama
Ni kweli ila astaafu na kuwapa wengine nafasi. Maana alipofika inabidi mwingine achukue nafasi.
Wote ni sawa, utakuta hata Lissu na mama Abduli ni marafiki wakubwa hayo mambo ya majukwaa wanatuchora tu.Sawa sawa maana wote hao lengo lao moja
Walimpa Kama Rais.
mungu wenu mbowe kawaweza sana hamna ujanja..Samia alianza vizuri, hakuna anayebisha.
..alitoa kauli za matumaini, na ndio maana Chadema walimpa hiyo tuzo.
..lakini mpaka sasa hajaleta Tume Huru, Tume ya Ukweli, Haki, na Maridhiano, pamoja na Katiba Mpya.
..kwa hiyo wanaomlaumu wana hoja za msingi.
Hatari na nusuCCM kutakuwa na fomu ngapi 2025? si moja? huo si uhuni at national level, afadhali huu ni village level
mungu wenu mbowe kawaweza sana hamna ujanja
Siasa sio uadui wa kupigana na kununiana.Wote ni sawa, utakuta hata Lissu na mama Abduli ni marafiki wakubwa hayo mambo ya majukwaa wanatuchora tu.
Hawaaminiki hawa
Bali ni maigizo?Siasa sio uadui wa kupigana na kununiana.
Wote ni sawa, utakuta hata Lissu na mama Abduli ni marafiki wakubwa hayo mambo ya majukwaa wanatuchora tu.
Hawaaminiki hawa
Sasa unalia nini?
Ukitazama hii video utamuona Mbowe mmiliki wa CHADEMA akiendesha uchaguzi kwa style ambayo haijawai kutokea tangu uchaguzi wa kumpitisha Lowassa kuwa mgombea urais CHADEMA mwaka 2015.
Huu ni muendelezo wa namna Mbowe anavyoendesha chama chake. Tukio ili limeshangaza maelfu ya watu walioona video hii duniani kote.
Hiki chama kimeishiwa maarifa ya uongozi. Wakati wa Dkt. Slaa huwezi ona haya mazingaombwe.
Kumbe wanahongeka.....sasa hapo shida ni ya nani??..suluhisho ni kuondoa MFUMO unaomuwezesha mwenyekiti wa Ccm kuhonga viongozi wa vyama vya upinzani.
Kwa kauli hii ina maana bado Chadema haijajiandaa kwa 'maisha' baada ya Mbowe kung'atuka.....achilia mbali hata kuandaa mrithi wake ...kuna wakati Mbowe alikuwa analaumiwa kwamba amehongwa na Mama Samia.
..kwa mazingira ya sasa hivi sishauri Mbowe aondoke nafasi ya Uenyekiti.
..Mbowe hata kama anahongwa hawezi kuondoka Chadema, na kutimkia Ccm.
..kuna hatari ya Ccm kupandikiza mtu wao kuwa Mwenyekiti wa Chadema, halafu muda ukifika wanamchomoa.