chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Sasa ni dhahiri, wale wanachadema na wanaharakati kama,Lema Martin Maranja Masese, Maria Sarungi wanaotegemea Siasa za mitafaruku na vurugu ili kujipatia mkate wa Kila siku, siku zao zinahesabika, na watafute kazi nyingine.
Wale waliokuwa wanatishia kuingia barabarani, haitawezekana tena. Mbowe kaona hii sio njia sahihi ya kujenga nchi.
SSH2025/30
SOFTpowerTechniques.
ChangeOfStrategy
Wale waliokuwa wanatishia kuingia barabarani, haitawezekana tena. Mbowe kaona hii sio njia sahihi ya kujenga nchi.
SSH2025/30
SOFTpowerTechniques.
ChangeOfStrategy