Mbowe akiri kuukubali "mziki" wa Rais Samia, agomea wana-Chadema kuingia barabarani, asema ni mihemko

Mbowe akiri kuukubali "mziki" wa Rais Samia, agomea wana-Chadema kuingia barabarani, asema ni mihemko

Mama anakuza siasa za kistaarabu, kuingia barabarani kipindi hiki cha neema kwa taifa ni upuuzi.
 
Mbowe ndio alibariki akina Mdee kwenda bungeni, kwakuwa anajua fika hilo kosa lake halitakubalika na wafuasi wa CDM, hivi sasa anaanza miafaka na Ccm ili kuhakikisha huo uhuni wake hauwekwi wazi. Mbowe ameshapoteza ushawishi ni wa kupingwa wazi wazi na wafuasi wa CDM.

Muda mrefu alifaidika na kusikilizwa na wafuasi wa CDM kwakuwa alikuwa anaongea lugha tuitakayo. Naona anadhani anaweza bado kukokota tena wafuasi wake kama alivyofanya kwa yule tapeli wa kisiasa Lowassa. Haya anayoyafanya sasa ni kwa maslahi yake binafsi na sio kwa CDM. CDM wazinduke na kumtema Mbowe kama alivyofanyiwa Mbatia, ili kuiepusha CDM na udhaifu wa Mbowe.
Mkuu ukiwa kiongozi lazima uwe flexible, huwezi expect kutumia mbinu zile zile ushinde. Tumekuwa radical tokea 2000 ila Serikali haikuwahi tenda haki Sasa tumeamua kuwa diplomatic na Serikali inakubali mazungumzo naona ni njia nzuri.

Kwanini tuingie barabarani ilihali mezani tunaweza pata suluhu? Umeona Kenya, Odinga kaamua kutumia meza kuupata urais na imezaa matunda atapelekwa Ikulu Hata kwa wizi wa kura!! so nadhani path tuliyochukua sio mbaya tusubiri matokeo tukiona hayazai matunda obviously tutarudi Ground kujipanga upya
 
Mbowe namuona kwa kasi akifuata njia ya kina Mrema, Cheyo, Lipumba nk. Nimekuwa nikisisitiza sana kuwa Mbowe muda wake wa kuwa mwenyekiti wa CDM umepita. Kimsingi Mbowe alipaswa kujiuzulu au kuachia uenyekiti wa CDM baada ya ile project ya Lowassa kufeli. Ama kama alikuwa anaona aibu kujiuzulu kwa blunder ile ya Lowassa, basi hakupaswa tena kugombea uenyekiti uchaguzi uliopita. Lakini naona alishupaza shingo.

Madhara ya Mbowe kung'ang'ania kukaa madarakani muda mrefu hivi, ndio inapelekea yeye kupoteza ushawishi kwa wafuasi wake. Nashukuru kuwa sasa ametambua kuwa anaanza kupoteza ushawishi kwa wafuasi wake. Kama Mbowe ameamua kuingia kwenye ulaji, ashauriwe Aachie kiti cha uenyekiti kuliko kuipotezea CDM haiba yake.
Mkuu kwani haiba ya chadema ni kuingia barabarani? Mbona vijana wa chadema mnaonekana ni watu wenye hasira hasira na mmekaa kishari sana? Akitokea mtu akataka siasa za kistaarabu kwenu nyie ni msaliti au kanunuliwa embu jifunzeni kwa wenzenu Ghana.
 
Mama hana uadui na Watanzania, tunaunga mkono jitihada zake kutuanganisha. Madui wa mama wamo ndani ya ccm .
 
Njia sahihi ya kupambana kisiasa baad ya minyukano na majeraha ni Dialogue
 
Chairman ameongea UKWELI Mama ameleta maelewano na mshikamano.
 
Unadhani sijui propaganda za sukuma gang boss? Ni wapi napinga msimamo wa sasa wa CDM kuendana na wanachisimamia sukuma gang? Mimi napinga msimamo wa sasa wa CDM kwa faida ya CDM, sukuma gang wanapinga msimamo wa sasa wa CDM ili kumtakakatisha dhalimu magufuli.
It may be, narudia; it may be, kulikuwa na mazungumzo ya background na ya siri kati yake na rais Samia, na kuna mambo walipanga na kukubaliana na hawataki baadhi ya watu wayajue kwa sasa, kwa sababu maalum! Hii sababu maalum inaweza kuwa inahusiana na ''traces'' alizoacha mwendazake ambazo zinahitaji muda na ''ujasusi'' maalum kuzi-overcome!
 
Sasa ni dhahiri, wale wanachadema na wanaharakati kama,Lema Martin Maranja Masese, Maria Sarungi wanaotegemea Siasa za mitafaruku na vurugu ili kujipatia mkate wa Kila siku, siku zao zinahesabika, na watafute kazi nyingine.

Wale waliokuwa wanatishia kuingia barabarani, haitawezekana tena. Mbowe kaona hii sio njia sahihi ya kujenga nchi.

SSH2025/30
SOFTpowerTechniques.
ChangeOfStrategy
View attachment 2250798
Samia mjanja si amempa hela Tundu Lissu! CDM kwisha
 
Acha uzwazwa Lissu alipoitisha maandamano mlijitokeza? Alipokuwa gerezani mlijitokeza kuandamana, ameona njia ya shali mnamuangusha Bora atumie dialogue

Alipoitisha maandamano watu hawakuandamana sio kwa sababu hawakuona umuhimu bali uoga ulitawala. Alipokuwa gerezani hakuna aliyejitokeza kuandamana kwani kesi ilikuwa inaendelea. Kuandamana huwa inatokea automatically baada ya watu kufukia hatua ya mwisho ya uvumilivu, na sio lazima itokee siku Lisu au Mbowe ametangaza. Labda useme kuwa yeye alikamatwa akiwa tayari mstari wa mbele kwenye maandamano, na watu hawakutokea, sio yeye kaaigiza kisha anasubiri watu watokee.
 
Wewe unapinga msimamo wao lakini wakiitisha maandamano hujitokez,wakipigwa risasi, kufilisiwa, fungwa jera, we unakuw keyboard worriors tu, acha wafate njia nyingine maaana nyie Ni mangombe tu

Kwani walivyokuwa wakienda bungeni nilikuwa naenda nao, mpaka useme walipoitisha maandamano sikutokea? Kwa taarifa yako hapa nilipo nina kovu la jeraha kwa ajili ya maandamano hayo ya CDM. Sasa ufahamu kila jambo lina timing yake. Huko kwenye maandamano tulikuwa tunaelekea, ilihitajika uvumilivu fulani.
 
Sitanunulika Kwa cheo chochote, Kwa kiasi chochote cha Fedha, sitaogopa Gereza Wala kupoteza Mali zangu Kwa ajili ya kuwatumikia Watanzania siku zote katika uhai wangu wote. Ninachokiamini nitakisimamia siku zote, sitatetereka kwamwe.-Mhe. Mbowe(Clubhouse).
Kipindi hicho Asali ilikua haipo upande wake
 
Mkuu ukiwa kiongozi lazima uwe flexible, huwezi expect kutumia mbinu zile zile ushinde. Tumekuwa radical tokea 2000 ila Serikali haikuwahi tenda haki Sasa tumeamua kuwa diplomatic na Serikali inakubali mazungumzo naona ni njia nzuri.

Kwanini tuingie barabarani ilihali mezani tunaweza pata suluhu? Umeona Kenya, Odinga kaamua kutumia meza kuupata urais na imezaa matunda atapelekwa Ikulu Hata kwa wizi wa kura!! so nadhani path tuliyochukua sio mbaya tusubiri matokeo tukiona hayazai matunda obviously tutarudi Ground kujipanga upya

Sipingi maelezo yako mazuri, Odinga aliingia kwenye mazungumzo kwa kuombwa na Kenyatta na sio kinyume chake. Hapa kwetu viongozi wa CDM ndio wanajinyenyekeza kwa serikali. Matokeo yake watapoteza imani yetu kwao sisi wafuasi wao, siku wakirudi baada ya kukwama, watakuta hatuna imani nao. Haya mazungumzo ni utashi wa Samia kama yeye, akitoka mchezo unarudi hapo hapo.

Tazama Samia bado yuko madarakani lakini wapinzani hawapewi mazingira mazuri ya kufanya siasa. Samia anawatumia viongozi wa CDM kuhakikisha hakutani na ugumu kwenye utawala wake, lakini sioni kama anaweza kuleta mabadiliko yoyote ya maana. Kwenye meza ya mazungumzo inabidi muende wote mkiona umuhimu huo, na sio kinyume chake.
 
Mkuu kwani haiba ya chadema ni kuingia barabarani? Mbona vijana wa chadema mnaonekana ni watu wenye hasira hasira na mmekaa kishari sana? Akitokea mtu akataka siasa za kistaarabu kwenu nyie ni msaliti au kanunuliwa embu jifunzeni kwa wenzenu Ghana.

Usichanganye siasa za kistaarabu na ukondoo boss.
 
Mbowe namuona kwa kasi akifuata njia ya kina Mrema, Cheyo, Lipumba nk. Nimekuwa nikisisitiza sana kuwa Mbowe muda wake wa kuwa mwenyekiti wa CDM umepita. Kimsingi Mbowe alipaswa kujiuzulu au kuachia uenyekiti wa CDM baada ya ile project ya Lowassa kufeli. Ama kama alikuwa anaona aibu kujiuzulu kwa blunder ile ya Lowassa, basi hakupaswa tena kugombea uenyekiti uchaguzi uliopita. Lakini naona alishupaza shingo.

Madhara ya Mbowe kung'ang'ania kukaa madarakani muda mrefu hivi, ndio inapelekea yeye kupoteza ushawishi kwa wafuasi wake. Nashukuru kuwa sasa ametambua kuwa anaanza kupoteza ushawishi kwa wafuasi wake. Kama Mbowe ameamua kuingia kwenye ulaji, ashauriwe Aachie kiti cha uenyekiti kuliko kuipotezea CDM haiba yake.
Nimekupata
 
Mkuu ukiwa kiongozi lazima uwe flexible, huwezi expect kutumia mbinu zile zile ushinde. Tumekuwa radical tokea 2000 ila Serikali haikuwahi tenda haki Sasa tumeamua kuwa diplomatic na Serikali inakubali mazungumzo naona ni njia nzuri.

Kwanini tuingie barabarani ilihali mezani tunaweza pata suluhu? Umeona Kenya, Odinga kaamua kutumia meza kuupata urais na imezaa matunda atapelekwa Ikulu Hata kwa wizi wa kura!! so nadhani path tuliyochukua sio mbaya tusubiri matokeo tukiona hayazai matunda obviously tutarudi Ground kujipanga upya
Kwa hiyo nyie mnasubiri huruma ya CCM mmuingie madarakani?
 
Wewe unapinga msimamo wao lakini wakiitisha maandamano hujitokez,wakipigwa risasi, kufilisiwa, fungwa jera, we unakuw keyboard worriors tu, acha wafate njia nyingine maaana nyie Ni mangombe tu
Kwani kunamtu kamuajili kuwapigania wa Tz
 
Back
Top Bottom