Mbowe akiri kuukubali "mziki" wa Rais Samia, agomea wana-Chadema kuingia barabarani, asema ni mihemko

Mbowe akiri kuukubali "mziki" wa Rais Samia, agomea wana-Chadema kuingia barabarani, asema ni mihemko

Mkuu ukiwa kiongozi lazima uwe flexible, huwezi expect kutumia mbinu zile zile ushinde. Tumekuwa radical tokea 2000 ila Serikali haikuwahi tenda haki Sasa tumeamua kuwa diplomatic na Serikali inakubali mazungumzo naona ni njia nzuri.

Kwanini tuingie barabarani ilihali mezani tunaweza pata suluhu? Umeona Kenya, Odinga kaamua kutumia meza kuupata urais na imezaa matunda atapelekwa Ikulu Hata kwa wizi wa kura!! so nadhani path tuliyochukua sio mbaya tusubiri matokeo tukiona hayazai matunda obviously tutarudi Ground kujipanga upya
Kwanini awamu iliyo pita miliponda kazi zote za JPM
 
Kwani walivyokuwa wakienda bungeni nilikuwa naenda nao, mpaka useme walipoitisha maandamano sikutokea? Kwa taarifa yako hapa nilipo nina kovu la jeraha kwa ajili ya maandamano hayo ya CDM. Sasa ufahamu kila jambo lina timing yake. Huko kwenye maandamano tulikuwa tunaelekea, ilihitajika uvumilivu fulani.
Kovu linalotokana na mihemuko
 
Hivi kwanini wewe shaka uwa unarembua macho [emoji1787] watu wanadai wewe ni bwabwa ?
Siku zote mtu anapokua na tabia fulani basi huamini kua na watu wengine wana tabia kama yake,wakubwa tumekuelewa,

Kingine mm sipo kwenye ushabiki wa kisiasa,nimecomment bila kuweka ushabiki wa aina yeyote ile,
Grow up.
 
Ndiyo maana huwa nasema CCM bado ina miongo kadhaa madarakani.
 
Sitanunulika Kwa cheo chochote, Kwa kiasi chochote cha Fedha, sitaogopa Gereza Wala kupoteza Mali zangu Kwa ajili ya kuwatumikia Watanzania siku zote katika uhai wangu wote. Ninachokiamini nitakisimamia siku zote, sitatetereka kwamwe.-Mhe. Mbowe(Clubhouse).
Watakaofutwa machooozi.... AMECHAGUKIWA AH!

Kilio chake cha muda mreefu... AMEKISIKIA AH!

Waazamani si wasasa
Maambo yamebadilika

IMEKULA KWENU
IMEKULA KWENU....
 
B
Sasa ni dhahiri, wale wanachadema na wanaharakati kama,Lema Martin Maranja Masese, Maria Sarungi wanaotegemea Siasa za mitafaruku na vurugu ili kujipatia mkate wa Kila siku, siku zao zinahesabika, na watafute kazi nyingine.

Wale waliokuwa wanatishia kuingia barabarani, haitawezekana tena. Mbowe kaona hii sio njia sahihi ya kujenga nchi.

SSH2025/30
SOFTpowerTechniques.
ChangeOfStrategy
View attachment 2250798
Binafsi nimpongeze Mbowe kwa mapambano ya muda mrefu na kwa mafanikio aliyoyapata kwenye siasa za upinzani.
Huyu ni mtu ambaye amekua na msimamo imara na kufanya upi zani kuimarika sana.
Lakini nikiri kwamba kwa sasa nguvu na mvuto umepungua sana ni muda wake wa kustaafu kwa heshima .
Naamini chadema ni Ina vijana wenye nguvu na ari mpya ya kuletea chama manadiliko makubwa
 
Nyie mnaolalama,huko barabarani huwa mnatokea,??
 
Niliwahi kusema hapa kwamba ili tupate vyama pinzani vya kweli lazima viongozi wa upinzani wafungwe kabisa jela ndio watakuwa na AKILI,zaidi ya hilo usitarajie chochote zaidi ya UNAFIKI na upokeaji wa fedha(HONGO)kinyemela,WATANZANIA TUJIFUNZE SOMO HILI HAO NDIO WAMESHATUACHA HIVYO NA TUMESHA BAKI PEKE YETU.Tusiwatarajie watu wanao tanguliza Mwili halafu wanaacha AKILI NYUMA kwamba eti watatupigania tusahau kabisa.
Sasa ni dhahiri, wale wanachadema na wanaharakati kama,Lema Martin Maranja Masese, Maria Sarungi wanaotegemea Siasa za mitafaruku na vurugu ili kujipatia mkate wa Kila siku, siku zao zinahesabika, na watafute kazi nyingine.

Wale waliokuwa wanatishia kuingia barabarani, haitawezekana tena. Mbowe kaona hii sio njia sahihi ya kujenga nchi.

SSH2025/30
SOFTpowerTechniques.
ChangeOfStrategy
View attachment 2250798
 
Siasa sio uadui ama mapambano kila siku..ila kwa mwendo huu na wasiawasi na mwenendo wa mwenyekiti.

Kwahiyo harakati za kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ndio zimeumaliza mwendo?
Unajuaje, pengine hivi vikao ni kwa nia ya kukubaliana juu ya namna ya kupata katiba mpya iliyo bora bila ya mikwaruzano?
 
Naona malalamiko hao "darmpya blog" wanatumiwa na kina Kitila ku edit maneno ya Mbowe kwa malengo yao binafsi, wasiaminiwe wanachoandika.

Vyema watu wawe makini nao.
 
Back
Top Bottom