mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Kwishaaa.
No Katiba mpya, ni tume huru.
Hauwezi kusikia tena kelele
No Katiba mpya, ni tume huru.
Hauwezi kusikia tena kelele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhana nzima ya upinzani Tanzania ni utapanyaji wa pesa za umma tu.
Kwani ulilazimishwa kuchangiaTuliochangia join the chain turudishiwe pesa zetu
Maalim Seif ndo ovyo kuliko wote. Ndiye alimsaliti Jumbe akaishia kuvuliwa vyeo vyake vyote ikiwemo urais wa Zanzibar. Bahati nzuri alipotumika akageukwa na yeye. Hasira zake zote zilianzia mwishoni mwa miaka ya 80 alivyogeukwa.Kesha Mbowe., Chadema ime collapse ndani ya mikono ya mama samia, Mbowe hakuwa laini hivi,
Mama kamfutia kesi sasa anamuendesha mbowe anavyotaka
Tanzania bado tunahitaji chama cha upinzani kitakachowakwamua watanzania kutoka kwenye makucha ya ccm., Tutamkumbuka na kumuenzi maalim seif sharif hamad siku zote.,
Mbowe toka aachiwe kutoka jela ashaenda Ikulu mara 5., Tundu lissu naye kalipwa posho zake za ubunge, kafutiwa makesi sasa watanzania na wafuasi waliokuwa na natumaini na chadema si chochote si lolote
Kila mtu ana kwake.Ila kama mkeo kapika pilau tamu nitamsifu.Rudi nyumbani kumenoga