Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Leta risiti ulipwe.Tuliochangia join the chain turudishiwe pesa zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leta risiti ulipwe.Tuliochangia join the chain turudishiwe pesa zetu
Id yake itazame utajua.Kwani vyama vya upinzani nchi hii nyie CCM mnavitazama katika sura ya uadui ama kioo Chenu?
Yuko huko analialia viwanja visikarabatiwe. Mwenyekiti wa kudumu akitoa kauli ya kuunga juhudi sijui itakuwaje.Yule dem anaitwa Ecrythtye sijui!
simuoni kabisa siku hizi ama amenuna
Safi upinzani si kupinga Kila kitu. Mama anaupiga mwingi Sana
Mama anaupiga mwingi SanaKesha Mbowe., Chadema ime collapse ndani ya mikono ya mama samia, Mbowe hakuwa laini hivi,
Mama kamfutia kesi sasa anamuendesha mbowe anavyotaka
Tanzania bado tunahitaji chama cha upinzani kitakachowakwamua watanzania kutoka kwenye makucha ya ccm., Tutamkumbuka na kumuenzi maalim seif sharif hamad siku zote.,
Mbowe toka aachiwe kutoka jela ashaenda Ikulu mara 5., Tundu lissu naye kalipwa posho zake za ubunge, kafutiwa makesi sasa watanzania na wafuasi waliokuwa na natumaini na chadema si chochote si lolote
Atakuwa amejinyonga huyu!Yuko huko analialia viwanja visikarabatiwe. Mwenyekiti wa kudumu akitoa kauli ya kuunga juhudi sijui itakuwaje.
Ndugu Erythrocyte kama u-hai bado, hebu tia neno ututoe hofu.
Kwani umesahau nyie ndio mnaitwa NYUMBU?Hivi sio ndio nyinyi ambao huwa mnasema CHADEMA kazi yao kupinga kila kitu?
Mi wala hata siipendi CCM but I think the whole multi-party system in a country like ours is a fucked up system...ukichunguza utagundua kwamba Ccm ni kupe na wanafuja fedha za umma kuliko chama chochote.
..angalia ma-V8 wanayotamba nayo mitaani wakati watoto wetu wanasoma kwa shida, hawana madarasa, na shule hazina matundu ya vyoo.
Mi wala hata siipendi CCM but I think the whole multi-party system in a country like ours is a fucked up system.
Ni sawa lakini lazima tujiulize, msimamo wa zamani wa CDM umesaidia nini, na katika masilahi mapana ya mabadiliko ya kidemokrasia na maendeleo, tumefanikiwaje? Pia, badala ya kupinga tu msimamo wa sasa wa chama, kwanini tusioneshe njia mbadala!?Unadhani sijui propaganda za sukuma gang boss? Ni wapi napinga msimamo wa sasa wa CDM kuendana na wanachisimamia sukuma gang? Mimi napinga msimamo wa sasa wa CDM kwa faida ya CDM, sukuma gang wanapinga msimamo wa sasa wa CDM ili kumtakakatisha dhalimu magufuli.
Kuna muda unafika lazima kuachana na uanaharakati na kufanya siasa zilizokomaa. Ameamua kuachana na mawazo na fikra nyepesi za kupinga kila kitu.Mbowe namuona kwa kasi akifuata njia ya kina Mrema, Cheyo, Lipumba nk. Nimekuwa nikisisitiza sana kuwa Mbowe muda wake wa kuwa mwenyekiti wa CDM umepita. Kimsingi Mbowe alipaswa kujiuzulu au kuachia uenyekiti wa CDM baada ya ile project ya Lowassa kufeli. Ama kama alikuwa anaona aibu kujiuzulu kwa blunder ile ya Lowassa, basi hakupaswa tena kugombea uenyekiti uchaguzi uliopita. Lakini naona alishupaza shingo.
Madhara ya Mbowe kung'ang'ania kukaa madarakani muda mrefu hivi, ndio inapelekea yeye kupoteza ushawishi kwa wafuasi wake. Nashukuru kuwa sasa ametambua kuwa anaanza kupoteza ushawishi kwa wafuasi wake. Kama Mbowe ameamua kuingia kwenye ulaji, ashauriwe Aachie kiti cha uenyekiti kuliko kuipotezea CDM haiba yake.
Kuna muda unafika lazima kuachana na uanaharakati na kufanya siasa zilizokomaa. Ameamua kuachana na mawazo na fikra nyepesi za kupinga kila kitu.
SSH ameonyesha ushirikiano na kupenda siasa za amani, Mbowe kaona hakuna sababu ya kumvimbia kiongozi wa nchi mwenye mawazo chanya na asiye na kiburi.
CCM wanaweza kuwa ni wale wale lakini unatazama nia ya moyoni ya kiongozi mkuu na unaona kabisa uanaharakati haujengi na hauna mwelekeo mwema.
Mjanja na upeo mkubwa kuliko wanaharakati wengi anaowaongoza.Mbowe anaingizwa mjini na bibi wa kikojani!