badison
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,450
- 2,761
Hiyo ni new world order mkuu hao wote wako kujenga ajenda moja ya kuharibu uhuru wa Nchi ya Tanzania. Ccm wamekubali kutumika kama maadui na mkombozi atatoka nje ya ccm.
Kiongozi wa ccm Akisoma hapa atadharau na kucheka kumbuka musa alimshinda farao akiwa mmoja tuu. Nyie ccm tayari Mungu amewashinda hamna dira tena.
Kiongozi wa ccm Akisoma hapa atadharau na kucheka kumbuka musa alimshinda farao akiwa mmoja tuu. Nyie ccm tayari Mungu amewashinda hamna dira tena.