Ni lini nyinyi ccm mmekuwa na uwezo wa kuchunguza akili za kizazi na kizazi kwamba hata kije kizazi cha tatu bado hakitakuwa na uwezo wa kusimamia na kuendesha Bandari zetu?
Huo mkataba unaokosa ukomo maana yake ni nini?
Huu utakuwa ni mkataba wa kwanza wenye kushangaza na kuduwaza, na huwenda ukaingia kwenye record za kidunia
Haiingii akilini,
Na badala ya kuja na majibu ya Wananchi, badala yake mnasema mnakomesha mafisadi yaliyokuwa yakipitisha bule mizigo hapo bandarini kwa kutumia majina ya viongozi!!
Huu sisi tunaita, ni uzembe wa viongozi