Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Sasa mimi ni MccM?Pamoja na kuwa na ofisi nzuri na kuzindua chuo lakini bado mnakosa watu wa kuwapa uongozi hadi mnachukua toka chama kisicho na ofisi (silinde, gekul, nassar, mashinji n.k). Hii maana yake kuwa chama bora sio majengo mazuri bali sera bora.