King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,399
- 2,110
Uko sahihi sehemu nyeti za kuuza uchumi inatulazimu tuweke akili kubwa maendeleo yapae Kwa haraka, Maza ziba masikio songa mbele, majizi yaliyodumaza hiyo bandari lazima yapige mayowe we usisikilize chapa Raba.Tuwe wakweli sisi Wabantu hatujiwezi kwa lolote labda ngono na pombe, hii Dubai wakati tunachukua uhuru Nchi ya Tanganyika ilikuwa na uchumi na maendeleo kuliko DUBAI na OMANI tumlaumu Mungu aliyetuumba na IQ hafifu.
Falme za Kiarabu walikuwa maskini wa Jangwani miaka 1960.
Nitakuwa Front kabisaaMwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ameitaka Serikali kuondoa Mkataba huo kwenye majadiliano Bungeni kwasababu unakwenda kuiingiza Nchi kwenye migogoro usio na faida.
Pia, amewataka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari, Plasduce Mikeli Mbossa kujitafakari kama wana hadi ya kuendelea kubaki kwenye ofisi za Umma kutokana na kuiingiza Nchi kwenye Mkataba huo.
Aidha, amesema ifike wakati sasa badala ya kutoa Kinga kwa Viongozi, wengine waanze kushtakiwa kwa makosa wanayofanya kwa kutumia Mamlaka yao vibaya na kuiingiza Nchi katika mikataba ya ovyo.
Ndiyo maana wanakazania kutuita majina ya ajabu,kama vile Mawakala wa Mabeberu,mashoga ili wapate ulaini wa kuiuza nchi kwa Waarabu.Nimeamin ufisadi upo kweny damu kuanzia wakubwa ndan ya sisiem mpaka uvccm!! Wala huez waona wakitoa hoja za msingi kutetea rasilimali za nchi eti kigezo yeye ni sisiem 🤣🤣🤣
Sababu ni Muungano ninakuambia bila Muungano tungekuwa mbali Taifa moja linaneemeka na mwisho linataka kuifilisi nchi nyingine ili itawaliwe na Waarabu.Tuwe wakweli sisi Wabantu hatujiwezi kwa lolote labda ngono na pombe, hii Dubai wakati tunachukua uhuru Nchi ya Tanganyika ilikuwa na uchumi na maendeleo kuliko DUBAI na OMANI tumlaumu Mungu aliyetuumba na IQ hafifu.
Falme za Kiarabu walikuwa maskini wa Jangwani miaka 1960 ajira zao zilikuwa ni kuzamia pweza na Oyster.
Kuwa makini wasikutupie mdudu.Naunga mkono hoja kwa nguvu zote, hivi hawa wazenji wana tuchukuliaje 🤔🤔
Msumbiji hawana Muungano wala nini lakini ni hohe hahe na sasa South Afrika hata umeme umeanza kuwashinda tukubaliane kuwa tatizo ni IQ hafifu.Sababu ni Muungano ninakuambia bila Muungano tungekuwa mbali Taifa moja linaneemeka na mwisho linataka kuifilisi nchi nyingine ili itawaliwe na Waarabu.
Kwa hiyo ukiwa na IQ ndogo ndiyo ujidhalilishe kwa mwenye IQ kubwa huo ni utumwa usio na faida.Msumbiji hawana Muungano wala nini lakini ni hohe hahe na sasa South Afrika hata umeme umeanza kuwashinda tukubaliane kuwa tatizo ni IQ hafifu.
Nina IQ hafifu na sijifichi kila nikiamka nawaza nile nikishiba nawaza ngono nikimaliza Ngono nawaza nimroge nani.Kwa hiyo ukiwa na IQ ndogo ndiyo ujidhalilishe kwa mwenye IQ kubwa huo ni utumwa usio na faida.
Basi hujakombolewa endelea kuwaza hayo hayo tu uone kama yatakusaidia.Nina IQ hafifu na sijifichi kila nikiamka nawaza nile nikishiba nawaza ngono nikimaliza Ngono nawaza nimroge nani.
Sitaki kukombolewa niishi kwenye kwenye umasikini wa kujitakia kuishi kwenye jamii inayoabudu wizi na uzembe na uchawi.Basi hujakombolewa endelea kuwaza hayo hayo tu uone kama yatakusaidia.
LEo nimeamini mwamba hajalamba AsaliMwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ameitaka Serikali kuondoa Mkataba huo kwenye majadiliano Bungeni kwasababu unakwenda kuiingiza Nchi kwenye migogoro usio na faida.
Pia, amewataka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari, Plasduce Mikeli Mbossa kujitafakari kama wana hadi ya kuendelea kubaki kwenye ofisi za Umma kutokana na kuiingiza Nchi kwenye Mkataba huo.
Aidha, amesema ifike wakati sasa badala ya kutoa Kinga kwa Viongozi, wengine waanze kushtakiwa kwa makosa wanayofanya kwa kutumia Mamlaka yao vibaya na kuiingiza Nchi katika mikataba ya ovyo.
Kuna mtu aliniambia nchi hii wapuuzi wako wengi, sikuamini hadi niliposoma post yakoAtajua hajui
Wewe ni mjinga, amka!Bunge limepitisha azimio la kuunga mkono mkataba huo sasa atafanya nini? Mwongo mkubwa huyu hana lolote atafanya!
Wee endelea kula maharage uvimbiwe, watu dhaifu shida tupuBunge limepitisha azimio la kuunga mkono mkataba huo sasa atafanya nini? Mwongo mkubwa huyu hana lolote atafanya!
Mpuuzi ni wewe ambae hata haujui namuongelea nani nyani wewe 😂 ChakazaKuna mtu aliniambia nchi hii wapuuzi wako wengi, sikuamini hadi niliposoma post yako