Ona hiki kinyago kinavyobwabwajaMimi nawashangaa watanzania wanaopiga kelele eti kutetea masilahi ya taifa, hivi kuna anayejua maslahi ya taifa kuliko serikali? Ufisadi Meremeta, kagoda, deep greem, Tangold, Kiwila na IPTL zote walipiga kelele nini kilibadilika?View attachment 2649805
“Bandari yetu ipo Salama kutoweka kikomo cha uhinafsishaji haimaanishi ni muda mrefu” Spika wa BUNGE
Ni kweli wanufaika hawawezi kuungana nao kuandamana.Hakuna atayeungana na nyie kuandamana.
Ninemuelewa Lissu
Hata mm nitakuwa barabarani kwa uhakukahata kama sijawahi kuandamana, chadema wakikisanua hiki, nabeba bango.
Dah!!Ona hiki kinyago kinavyobwabwaja
Teh teh teh 😂😂😂 hasira za kupokonywa tonge hizi.Niko pamoja na mwamba
Juzi si alituringishia zero kilometres kkumbe ulikua mgao wa DPmsukuma kashapata bahasha ndo maana anaongea hadi analia... bahashaaaaaaa 😀 😀 😀
Shinikizo kutoka wapi.Mbowe yupo sahihi.Ila tusisahau kwamba nchi zetu za Afrika hufanya mambo ya hovyo mengi kwa mashinikizo.
MabeberuShinikizo kutoka wapi.
Huyu akae kimya tu...Mimi nawashangaa watanzania wanaopiga kelele eti kutetea masilahi ya taifa, hivi kuna anayejua maslahi ya taifa kuliko serikali? Ufisadi Meremeta, kagoda, deep greem, Tangold, Kiwila na IPTL zote walipiga kelele nini kilibadilika?View attachment 2649805
“Bandari yetu ipo Salama kutoweka kikomo cha uhinafsishaji haimaanishi ni muda mrefu” Spika wa BUNGE
Kapambane dada tuone kama utafanikiwa!Wewe ni mjinga, amka!
Wamepata Kiki ya kuongezea pacent.Wamepata 'kiki'
ukitaka kujua watanganyika wana dukuduku, mbowe afanye hivyo halafu uone idadi ya watu watakaokuwa nyuma yake, hapo ndipo utajua kumbe tanganyika bado inaishi mioyoni mwa watu."Mbowe: Bunge likipitisha mkataba wa DP World tutaamsha nchi nzima."
Nitarudisha heshima yote niliyokwishampa Mbowe akisimamia hili; hata kama halitafanikiwa.
Wakati huu ni wakati sahihi kabisa kufanya jambo. Nchi hii imechezewa sana na hawa wajinga.ukitaka kujua watanganyika wana dukuduku, mbowe afanye hivyo halafu uone idadi ya watu watakaokuwa nyuma yake, hapo ndipo utajua kumbe tanganyika bado inaishi mioyoni mwa watu.