Frank I Ritte
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 1,003
- 1,350
Mnaficha nini msiseme, toshekeni na mishahara yenu, utafuteni kwanza ufalme wa Mungu mengine mtazidishiwa, hata aibu hamuoni laana ya Magufuli itaondoka na ninyi wote.Mimi nawashangaa watanzania wanaopiga kelele eti kutetea masilahi ya taifa, hivi kuna anayejua maslahi ya taifa kuliko serikali? Ufisadi Meremeta, kagoda, deep greem, Tangold, Kiwila na IPTL zote walipiga kelele nini kilibadilika?View attachment 2649805
“Bandari yetu ipo Salama kutoweka kikomo cha uhinafsishaji haimaanishi ni muda mrefu” Spika wa BUNGE
Sasa huu ndio mwisho wao.Wamewachukulia Watanzania wajinga kabisa kila kukicha mikataba ya hovyo hovyo..
Na mimi tena???Mnaficha nini msiseme, toshekeni na mishahara yenu, utafuteni kwanza ufalme wa Mungu mengine mtazidishiwa, hata aibu hamuoni laana ya Magufuli itaondoka na ninyi wote.
Operation Sangara inakuja.Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ameitaka Serikali kuondoa Mkataba huo kwenye majadiliano Bungeni kwasababu unakwenda kuiingiza Nchi kwenye migogoro usio na faida.
Pia, amewataka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari, Plasduce Mikeli Mbossa kujitafakari kama wana hadi ya kuendelea kubaki kwenye ofisi za Umma kutokana na kuiingiza Nchi kwenye Mkataba huo.
Aidha, amesema ifike wakati sasa badala ya kutoa Kinga kwa Viongozi, wengine waanze kushtakiwa kwa makosa wanayofanya kwa kutumia Mamlaka yao vibaya na kuiingiza Nchi katika mikataba ya ovyo.
Ulikuwepo?Mabeberu
Akili yako ni FinyuAkili yangu inaniambia bandari ni sehemu nyeti sana, pamoja na kuwa Mh Rais Mkapa alibinafsisha mashirika mengi ya uma lakini bandari hakuthubutu, ni hatari mno kwenda kumkabidhi mtu mmoja uti wa mgongo wa uchumi wa nchi, tena kwa masharti magumu magumu, huko mbele ya safari anaweza kutuchezea anavyotaka na akatukwamisha mambo mengi sana, kisha vizazi vyetu vikaja kutushangaa sana kwa maamuzi kama haya. Nashauri kama tumeshindwa kuizisumamia bandari zetu kiraia embu tuwakabidhi JKT au JW tuone mziki wao.
Fafafanua ufinyu ulipo, au unadhadhani mkataba wa TICS ni sawa na huu?Akili yako ni Finyu
Alaumiwe magufuli kwa kumpa kinga kila kiongoziKusingekuwa na kinga ya kiongozi kushtakiwa umakini katika maamuzi ungekuwepo wa hali ya juu sana.
Ni nini lengo la kuweka kinga ya kushtakiwa?
Tutawavunja mifupaTuko pamoja mbowe.hatutamkubalia huyu mlevi kuuza bandari zetu.tutaandamana maandamano yasiyo na kikomo
Spika atuachie hapoMimi nawashangaa watanzania wanaopiga kelele eti kutetea masilahi ya taifa, hivi kuna anayejua maslahi ya taifa kuliko serikali? Ufisadi Meremeta, kagoda, deep greem, Tangold, Kiwila na IPTL zote walipiga kelele nini kilibadilika?View attachment 2649805
“Bandari yetu ipo Salama kutoweka kikomo cha uhinafsishaji haimaanishi ni muda mrefu” Spika wa BUNGE
Serikali ni watu . Na mara ngapi wametuingiza chaka wakaja baadae kutengua mikataba..!! Watu wachache hawazidi watu wengi kwenye kuchambua mambo..!!Mimi nawashangaa watanzania wanaopiga kelele eti kutetea masilahi ya taifa, hivi kuna anayejua maslahi ya taifa kuliko serikali? Ufisadi Meremeta, kagoda, deep greem, Tangold, Kiwila na IPTL zote walipiga kelele nini kilibadilika?View attachment 2649805
“Bandari yetu ipo Salama kutoweka kikomo cha uhinafsishaji haimaanishi ni muda mrefu” Spika wa BUNGE
Msukuma aliwatetea sana hawa DP worldmsukuma kashapata bahasha ndo maana anaongea hadi analia... bahashaaaaaaa 😀 😀 😀