Mbowe: Bunge likipitisha Mkataba wa DP World, tutaamsha Nchi nzima

Mbowe: Bunge likipitisha Mkataba wa DP World, tutaamsha Nchi nzima

Mimi nawashangaa watanzania wanaopiga kelele eti kutetea masilahi ya taifa, hivi kuna anayejua maslahi ya taifa kuliko serikali? Ufisadi Meremeta, kagoda, deep greem, Tangold, Kiwila na IPTL zote walipiga kelele nini kilibadilika?View attachment 2649805





“Bandari yetu ipo Salama kutoweka kikomo cha uhinafsishaji haimaanishi ni muda mrefu” Spika wa BUNGE
Mnaficha nini msiseme, toshekeni na mishahara yenu, utafuteni kwanza ufalme wa Mungu mengine mtazidishiwa, hata aibu hamuoni laana ya Magufuli itaondoka na ninyi wote.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ameitaka Serikali kuondoa Mkataba huo kwenye majadiliano Bungeni kwasababu unakwenda kuiingiza Nchi kwenye migogoro usio na faida.

Pia, amewataka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari, Plasduce Mikeli Mbossa kujitafakari kama wana hadi ya kuendelea kubaki kwenye ofisi za Umma kutokana na kuiingiza Nchi kwenye Mkataba huo.

Aidha, amesema ifike wakati sasa badala ya kutoa Kinga kwa Viongozi, wengine waanze kushtakiwa kwa makosa wanayofanya kwa kutumia Mamlaka yao vibaya na kuiingiza Nchi katika mikataba ya ovyo.
Operation Sangara inakuja.
 
Akili yangu inaniambia bandari ni sehemu nyeti sana, pamoja na kuwa Mh Rais Mkapa alibinafsisha mashirika mengi ya uma lakini bandari hakuthubutu, ni hatari mno kwenda kumkabidhi mtu mmoja uti wa mgongo wa uchumi wa nchi, tena kwa masharti magumu magumu, huko mbele ya safari anaweza kutuchezea anavyotaka na akatukwamisha mambo mengi sana, kisha vizazi vyetu vikaja kutushangaa sana kwa maamuzi kama haya. Nashauri kama tumeshindwa kuizisumamia bandari zetu kiraia embu tuwakabidhi JKT au JW tuone mziki wao.
 
Akili yangu inaniambia bandari ni sehemu nyeti sana, pamoja na kuwa Mh Rais Mkapa alibinafsisha mashirika mengi ya uma lakini bandari hakuthubutu, ni hatari mno kwenda kumkabidhi mtu mmoja uti wa mgongo wa uchumi wa nchi, tena kwa masharti magumu magumu, huko mbele ya safari anaweza kutuchezea anavyotaka na akatukwamisha mambo mengi sana, kisha vizazi vyetu vikaja kutushangaa sana kwa maamuzi kama haya. Nashauri kama tumeshindwa kuizisumamia bandari zetu kiraia embu tuwakabidhi JKT au JW tuone mziki wao.
Akili yako ni Finyu
 
Lissu yeye kawa kimya kaona isiwe kesi kuliko kuropoka usivyo vijua.
Yeye angesubiri wakae kama chama, watafute wavujisha siri wao, waujue ukweli wote, wajue upande wa serikali umejipangaje kisha ndiyo waje na ukweli
 
Mimi nawashangaa watanzania wanaopiga kelele eti kutetea masilahi ya taifa, hivi kuna anayejua maslahi ya taifa kuliko serikali? Ufisadi Meremeta, kagoda, deep greem, Tangold, Kiwila na IPTL zote walipiga kelele nini kilibadilika?View attachment 2649805





“Bandari yetu ipo Salama kutoweka kikomo cha uhinafsishaji haimaanishi ni muda mrefu” Spika wa BUNGE
Spika atuachie hapo
 
Mimi nawashangaa watanzania wanaopiga kelele eti kutetea masilahi ya taifa, hivi kuna anayejua maslahi ya taifa kuliko serikali? Ufisadi Meremeta, kagoda, deep greem, Tangold, Kiwila na IPTL zote walipiga kelele nini kilibadilika?View attachment 2649805





“Bandari yetu ipo Salama kutoweka kikomo cha uhinafsishaji haimaanishi ni muda mrefu” Spika wa BUNGE
Serikali ni watu . Na mara ngapi wametuingiza chaka wakaja baadae kutengua mikataba..!! Watu wachache hawazidi watu wengi kwenye kuchambua mambo..!!
 
Uwa simuelewi mbowe ila kwenye hili akiniamsha nitaamka mimi na familia yangu pamoja na jamaa zangu kupinga upuuzi huu wa serikali.
 
Daah huwa simkubali jhuyu amaa ila kwa hili kanitoa usingizini.Nilikuwa sijalielewa sakata zima!
 
Back
Top Bottom