state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,510
Ebu nawe twambie mchango wa wazazi au babu zako katika kuisaidia TANU na Nyerere
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua msione watu tunakimbilia kwa akina mwamposya na mitume na manabii kuwaacha nyie na mdigrii yenu Koko ya theolojia vichwani mko weupeYesu hakuwa maskini. Alikuwa tajiri moyoni mwake ndiyo maana alimdharau hata shetani aliyetaka ampe utajiri alimradi tu amsujudie. Kwa nini alikataa? Kwa sababu kile ambacho shetani alitaka kumpa kilikuwa ni kidogo sana ukilinganisha na utajiri aliokuwa nao.
Inaonekana umekosa hata ile elementary knowledge of theology.
Ahsante komredi!
Eee hizo theojia koko mnzosoma zinatisha.Kwa hiyo kila tajiri lazima awe Mfalme?Kuna maskini anaweza kuwalisha wanaume zaidi ya 5,000; wakala na kushiba? Kumbuka hiyo idadi haikujumuisha idadi ya wanawake na watoto. Unakumbuka wayahudi walitaka kumkamata Yesu ili awe mfalme wao?
Mfalme gani huwa yupo kwenye kundi la watu maskini?
Inaonekana umekosa hata ile elementary knowledge of theology.
Unyonge ndio hupelekea mtu kuwa maskini!
Kila alilofanya lilikuwa na kusudio fulani.Siyo kweli, Yesu alizaliwa kwenye hali Duni kwa sababu maalumu, na ndo maisha yake yote aliishi kama mtu wa kawaida na maisha Duni asiyependa makuu, aliishi na masikini, yule ni Mungu iweje ashindwe kutatua tatizo dogo kama hilo la kukosa nafasi kama alitaka kuzaliwa kwenye Hekalu kama Mfalme?
Mkuu..awamu hii imetuletea wehu wa kila aina..Nitawapiga shangazi zako, majibu kama hayo
umeoana eh! Yaani mbwiga huyu sijui katokea wapi! Wao ndege imewaleta bure wajumbe wao, hilo hawalioni. yanashupalia vitu vidogo!Mkuu..awamu hii imetuletea wehu wa kila aina..
CHADEMA kufanyia Mkutano pale Mlimani City kuna watu wamepata ulcers kama huyu mbwiga mleta uzi.