Mbowe: Hatutakubali Bunge lililopo litengeneze Katiba Mpya

Unafikiri ndiyo amemaliza zamu yake na hawezi enda tena huko akitaka tena. Hizi ni dalili za kutaka kwenda huko. Nyie mcheeni tu Mama.
Kama atatenda kosa sawa ila kama hakutenda kosa lolote watampeleka kwa uonevu ?

Mungu atatenda kazi yake
 
Unajadiliana vipi na watu ambao hawako tayari kujadiliana.?
 
Hivi ccm wanachoogopea katiba mpya ni nini?
Ikiandikwa katiba mpya nzuri ya kidemokrasia CCM itadhoofika.Nguvu kubwa ya CCM ni kuchangamana na dola na katiba hii iliundwa mahsusi kuipendelea CCM.Kwahiyo hata Chadema kingekuwa chama tawala isingekubali katiba mpya.
 
Mtajaa tu SI mnadhani kila mtu mnyanga akati wapo ma born town
 

..tamko la Rais Samia ni kuvunja KATIBA hivyo siyo busara tamko hilo lipite bila kulaaniwa na viongozi wa vyama vya upinzani, hususan Chadema.

..pia sioni kosa kwa Mbowe kuwaelekeza viongozi wa chama wajiandae kwa mikutano. Rais Samia amesema kuwe na subira, kwa hiyo hakuna ubaya Chadema wafanye maandalizi ili Rais atakapoamua kuruhusu mikutano agizo hilo liwakute wakiwa tayari.

..Mwisho, Mbowe hajavunja sheria yoyote ile ya nchi kwa kuwaelekeza viongozi wake wajiandae kufanya mikutano.
 
Kama atatenda kosa sawa ila kama hakutenda kosa lolote watampeleka kwa uonevu ?

Mungu atatenda kazi yake
Mungu hahangaiki ni bangi kama hizi
 
Unajadiliana vipi na watu ambao hawako tayari kujadiliana.?
Rais kakataa lini?Rais alisema ataonana na wapinzani,nafikiri Jambo la muhimu ni kumsisitizia/kumkumbusha aonane nao halafu mazungumzo yaanze.
 
Jamaa zangu wa CDM mnaona jamaa yenu alivyo mwehu???

..Raisi amehimiza lugha za staha.

..Sasa ndugu zangu kama mmeamua kumuunga mkono Raisi msiwe mnatumia lugha mbaya dhidi ya viongozi wa vyama vya upinzani.

..Mnapomuunga mkono Raisi kwa upande mmoja, halafu upande mwingine mkawa mnawatukana wapinzani, jamii inaweza ikadhani mmetumwa na Raisi kufanya hivyo.
 
Katiba inadaiwa na walevi? Mkutano umejaa walevi watupu kuanza mwenyekiti hadi wajumbe.
Wazee wa faru John, sipati picha baadae mtavyolewa
Jinga kabisa, kamuandalie chai ya jioni Nikki, ulisema igizo limekwama hakuna wajumbe sasa hivi unasema wajumbe walevi, utakuwa baamedi wewe ukitoroka kuosha vyombo kwa Nikki unakimbilia bar.
 
Mkuu wewe ni miongoni mwa members ambao kwa kweli wakini-quote huwa nawaheshimu sana. Heshima yangu kwako ipo juu sana mkuu.

Unajua kinachopelekea haya mambo yatokee.

Hivi Mheshimiwa Mbowe kama kiongozi mkubwa tu, anaongeaje maneno aliyoyaongea kumjibu Rais wa nchi??? Ndio kweli tukae kimya tu????
 


Huu ndiyo ubinadamu yaani "kusemezana."

Mama alitoa yake ya moyoni:


Haya sasa ni yetu ya moyoni.

Bandika bandua pole pole tutafika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…