Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Leo yuko wapi? Duniani tunapita. Na mwendawazimu pekee ndiye anaweza kuonea waru, halafuakajiona mbabe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbowe bhana JPM ndo alikuwa mwanaume Gwanda za Chadema zilikuwa night dress tu makamanda wa Chadema wanazivaa wkt wa mibunyo na wake zao tu uchaguzi umeisha tu kila kamanda anakimbia mwingine kakimbilia ubalozini kama kibaka anapokimbilia kituo cha police mwingine kavuka Boda kuingiaKenya akiwa amevaa baibui
Mbowe sijui alipenya wapi kukimbilia Dubai Tanxania kabaki mwanaume mmoja tu anapiga kazi
Huyu Mama ni soft sana na asipoangalia watamsumbua sana
Wababe:
Idd Amin alifia uhamishoni.
Gadafi alifia kwenye mtaru wa takataka.
Sadam alifia kwenye shimo dogo la kutosha kuingia ngiei.
Wa kwetu corona ilimwondoa akiwa amejitengezea bunge bandia la kumwongezea muda wa kutawala milele.
Nkuruzinza corona ilimwondoa akiwa amejitengenezea cheo cha kumsimamia Rais.