Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah taratibu tutaelewana tu kwamba yule hayati wakati anawapiga spana hawa chadema hasira zile zilitokana na kero ya kiwango gani!Badala ya kujadili ujenzi wa madarasa na zahanati tumeanza tena u-basket mouth
Hahahah anaishiaga kwenye Midia tu ila live live hapelekagi pua!Nimecheka mkwala wa Mbowe, eti watatukuta barabarani, Chadema maandamano yao wanayafanya kwenye laptop na simu.
Nashukuru kwa kutambua utawala wa kidume toka Chattle 😂😂😂!!! Hakuna kima wa Chadema alieleta kidomo domo mbele ya Mwamba a.k.a Jiwe😂😂😂😂😂Mbowe bhana JPM ndo alikuwa mwanaume Gwanda za Chadema zilikuwa night dress tu makamanda wa Chadema wanazivaa wkt wa mibunyo na wake zao tu uchaguzi umeisha tu kila kamanda anakimbia mwingine kakimbilia ubalozini kama kibaka anapokimbilia kituo cha police mwingine kavuka Boda kuingiaKenya akiwa amevaa baibui
Mbowe sijui alipenya wapi kukimbilia Dubai Tanxania kabaki mwanaume mmoja tu anapiga kazi
Huyu Mama ni soft sana na asipoangalia watamsumbua sana
Mkuu, kesho kiwanja wapi ? Amuz kinawaka keshoHahahah anaishiaga kwenye Midia tu ila live live hapelekagi pua!
Wapi nimesema lolote kuhusu mtu kufa? Hujatumia akili, bali umetumia mihemko. Mtu akishindwa kitu, siyo lazima iwe kwasababu ya kifo.Kwani ww unahati ya kutokufa
Katiba ikianza mchakato,tunaongeza kipindi cha kuongoza toka miaka mitano mitano hadi kumi kumi,,hatuwezi kuwa tunapoteza pesa kufanya uchaguzi mkuu kila mara,🤗😄Mimi naamini katiba mpya ni muhimu sana lakini nadhani mama anastahili kupata muda.
Sababu: Mchakato wa katiba ukianza sasa nina wasiwasi utatekwa na genge ( genge bado lina mizizi mingi tu kwenye system) ,, kitakachotokea baada ya hapo ni kichekesho cha katiba mpya.
Hebu fikiria lile bunge lililopo ndilo lijadili katiba mpya'' litapangua vifungu vingi muhimu na kuchomeka vituko vya ajabu. Kama mnakumbuka kipindi kile hoja ya muungano kuwa wa serikali tatu ilishapigwa chini, na lile lilikuwa angalau ni bunge lililo serious ukilinganisha na hili.
Sasa muwape hawa hiyo nafasi - tutashuhudia vituko vya mwaka na mshiko wa vikao vya bunge la katiba watakuwa wameshauweka kibindoni.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Atamuendesha tu sababu yule si shori tu 😂😂😂Mbowe anafikiri atamuendesha Samia anavyotaka?
Mbowe na Chadema wote walikuwa ma shori tu mbele ya Kidume cha Usukumani🤣🤣🤣 wakapoteana mazima![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii mikwara mbona hatukuiona kwa Magu?
Out of context. Wapi nimesema kushindwa kwake ni kwasababu ya kifo? Mbowe anahusikaje kwenye hoja yangu? Tuliza mihemko. Usiwe unanijibu ukiwa umepiga konyagi.Kufa kila mtu atakufa,,kwa afya ya mbowe simshauri kabisa ajiingize kwenye purukushani,,yule ni supana mkononi, family yake kama wanampenda huyu mzee,wamshauri
Hahahah dah ningekuwa Mo Town ningetimbaMkuu, kesho kiwanja wapi ? Amuz kinawaka kesho
Tatizo wanasiasa wanatuvuruga hata wakati mwingine hawaeleweki, katiba iliyopo wanasema haifuatwi na viongozi! Sasa wameacha kuhimiza viongozi wa serikali wafuate hii iliyopo ili tuone Kama ikifuatwa ipasavyo itakuwa na mapungufu, Sasa wanacheza mziki wa katiba mpya? Hii iliyopo imefuatwa ipasavyo!????Katiba mpya itaweka usimamizi mzuri kwenye huo ujenzi wa dhahanati na madawati! Katiba ni kitu kikubwa na cha muhimu CHADEMA au ccm!
Kwa mfano kuna mambo yalizingatiwa na awamu ya 5 kama mikataba, sasa hivi hayapo! Kama Baba lao angetengeneza katiba mpya, maono yake yangeendelezwa, badala yake, kafa na kazi zake, zinakufa!
View attachment 1836982
Sana,,wamarekani wenyewe,kiherehere kiliisha,,aliwakamua kweli wale jamaa wa migodi Acacia,Hawatamsahau,,kampuni waliitema..Hivi ubabe wa Magufuli ulimfanya afanikiwe katika chochote?
Mkuu, ukirudi tuwasiliane,nilibadili ID ,ulinambia kuna kipindi fulani upo huku.Hahahah dah ningekuwa Mo Town ningetimba
Hahahahah kinachofata ni minyoosho ya kinyele tu kama walivodondosha himaya ya Mwamba toka chattleUzuri JK yupo..anawajua CDM
Mama atawapiga silent killer style za JK huku anawachekea na kuwapooza na maneno ya upole., watajua hawajui
Eeh sema nilishift kuja BongoMkuu, ukirudi tuwasiliane,nilibadili ID ,ulinambia kuna kipindi fulani upo huku.
Tatizo ilikuwa kamanda Muroto tu 😂😂😂 akipiga biti moja tu nchi kimya!!!Kuingia barabarani ni heri tu lakini mbona miezi 6 tu iliyopita hizi barabara zilikuwepo lakini hakuna aliyetaka kuziingia?!