Mbowe: Hatutompa muda Rais na hatukubali. Viongozi wa CHADEMA watakiwa kujiandaa kuanza mikutano nchi nzima

Mbowe: Hatutompa muda Rais na hatukubali. Viongozi wa CHADEMA watakiwa kujiandaa kuanza mikutano nchi nzima

Kumbe hawa ngedere hawana shukrani kabisa,yani mtu anawaambia wampe muda (sio kwamba kakataa) ila bado wataka kum-provoke? Yani nia yao ni kutaka tu Rais awaeendee kwa ubabe Ili wapate cha kusema, maana wameona kabisa Rais hawapi agenda.
Kama ni mimi ninge-deal nao kibabe tu kama wanavyotaka, potelea mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahah na hapo ndipo hasira ya Jiwe dhidi ya hawa wapuuzi ilichipukia! Wanakera sana kmmmke they dont let a nigga breathe thus why walifanywa hakuna na hata ubunge wakanyang’anywa 😂😂😂
 
Out of context. Wapi nimesema kushindwa kwake ni kwasababu ya kifo? Mbowe anahusikaje kwenye hoja yangu? Tuliza mihemko. Usiwe unanijibu ukiwa umepiga konyagi.
We najua unampenda mbowe,mshauri aachane na siasa za uhasama,hazina tija,,kama sio maneno ya shombo,saa hizi wangeshakaa na mh na kujadili mambo kistaarabu,
Alibugi mno,,hata JPM, kina mbowe,lema na henche ndio walimfanya achukie kukaa meza moja na wapinzani,
Cdm wazito mno kujifunza,,hivi mnafikili hiyo katiba mtaandika nyie,iwe kama mnavotaka?.
Mchakato ukianza ccm wakaingia kazini,,matokeo ni yale yale,,mtatia mpira kwapani..
Pesa zitakuwa zimepotea bure,,
 
We najua unampenda mbowe,mshauri aachane na siasa za uhasama,hazina tija,,kama sio maneno ya shombo,saa hizi wangeshakaa na mh na kujadili mambo kistaarabu,
Alibugi mno,,hata JPM, kina mbowe,lema na henche ndio walimfanya achukie kukaa meza moja na wapinzani,
Cdm wazito mno kujifunza,,hivi mnafikili hiyo katiba mtaandika nyie,iwe kama mnavotaka?.
Mchakato ukianza ccm wakaingia kazini,,matokeo ni yale yale,,mtatia mpira kwapani..
Pesa zitakuwa zimepotea bure,,
Kama upo hapa bongo, basi lazima uko maji. Hivyo siwezi kujadili upuuzi. Yani “out of context statements”
Potezea kwa sasa tafadhali.
 
We najua unampenda mbowe,mshauri aachane na siasa za uhasama,hazina tija,,kama sio maneno ya shombo,saa hizi wangeshakaa na mh na kujadili mambo kistaarabu,
Alibugi mno,,hata JPM, kina mbowe,lema na henche ndio walimfanya achukie kukaa meza moja na wapinzani,
Cdm wazito mno kujifunza,,hivi mnafikili hiyo katiba mtaandika nyie,iwe kama mnavotaka?.
Mchakato ukianza ccm wakaingia kazini,,matokeo ni yale yale,,mtatia mpira kwapani..
Pesa zitakuwa zimepotea bure,,
Zamani kidogo awamu ya JK Mbowe alikuwa kiongozi mzuri. Ilikuwa sio rahisi aongee kitu kwa muhemko au atoae order ambayo haiwezekani kutekelezwa.

Lakini sasa hivi amekuwa Kama anaendeshwa na matakwa ya baadhi ya watu. Umakini wake umepungua sana
 
Mbowe acha kupotosha vijana...wahimize vijana wafanye kazi kwa bidii watetee maisha yao Tanzania ina opportunities nyiiingi sana kwa watu kutoboa maisha kuliko hiyo katiba mpya tunayotaka kudai kwa manufaa ya wanasiasa wachache....

Wahindi, waarabu, wasomali na sasa wachina wanatumia katiba hiyohiyo kupata utajiri uliopindukia hapahapa Tanzania huku sisi tukiwa busy kudai eti katiba mpya... Vijana kwa wazee tuacheni kushiriki hizi siasa za kijinga baadala yake tujikite kufanya kazi kwa bidii kuboresha maisha yetu...
 
Elungata , fuatilia jibu langu toka awali. Siyo lazima uijibu comment ambayo hujailewa. Na Kama hujaelewa, uliza maswali ya kueleweshwa. Maana umedandia hoja ya mchangiaji mwingine ambaye naye alipotoka. Tulia na usome comments kwa umakini.
 
Ila kiukweli haina umuhimu yoyote nazan mikutano ya ndani ni muhimu vile mnakuwa mnajadili na mnabdilishana mawazo lakini hiyo ya hazara sion jipya lolote Ila ni haki yao kufanya
Mikutano ya Ndani inamaana gani kwa sisi tusiyoyajua yanayofichwa na serikali...! kama Katiba ya sasa inaruhusu why uzuie ni sawa na kuvunja katiba uliyoiapia.
 
Uzuri wanasiasa wa vyama vyote na viongozi wa serikali akiwemo Rais wanapita mitandaoni kuona reactions za wananchi wa Jamuhuri ya muungano wa social media.

Ni imani yangu hata kwenye hii post muhimu kabisa watapita na kujionea namna wananchi hawa walivyoichukulia kauli ya kiongozi Mkuu wa chama kikuu cha upinzani na hatimaye wata "rate" wenyewe nani kapigwa
 
Zamani kidogo awamu ya JK Mbowe alikuwa kiongozi mzuri. Ilikuwa sio rahisi aongee kitu kwa muhemko au atoae order ambayo haiwezekani kutekelezwa.

Lakini sasa hivi amekuwa Kama anaendeshwa na matakwa ya baadhi ya watu. Umakini wake umepungua sana
Umri umemtupa mkono..
 
CDM wanadai jambo zuri kwa maslahi ya Wa TZ wote ..na kila anaejielewaa lazma ata support the Movement shida ipo kwenye utekelezaji
 
Mikutano ya Ndani inamaana gani kwa sisi tusiyoyajua yanayofichwa na serikali...! kama Katiba ya sasa inaruhusu why uzuie ni sawa na kuvunja katiba uliyoiapia.
Mikutano ya ndani inajenga chama,,logic ya kuzuia mikutano ya hadhara ni kuwa,cdm wataanza nchi nzima,ACT now hawatakubali,wataanza nchi nzima,,Cuf nao Tlp,updf,,etc,,mwisho ccm nao wataona taa nyekundu imewaka,nao wataanza,
Matokeo yake ni vurugu,,mapanga,tindikali,,
Hatimae zitaweka sheria kali,maana hamuezi angusha nchi
Twitter itakuwa restricted,mawasiliano yatakuwa monitored,🤣🤣,
In short tunarudi kulekule
 
Baada ya Rais kusema kuwa anataka apewe muda ili ajenge uchumi kwanza na mambo ya katiba na mikutano ya hadahara itafata baadae.

Mh Mbowe leo amesema wazi kuwa hawatompa muda Rais samia na hawatakubali bali watafanya mikutano ya hadhara na watadai katiba kwa njia yeyote ile inayofaa na ikiwezekna wataingia barabarani kuidai katiba... na kwa sasa swala la katiba ni lazima watake wasitake ni lazima katiba ipatikane.

“Ombi la Rais Sami kwamba tumpe muda kuhusu suala la katiba, hatupo tayari kumpa muda na natoa agizo kwa Viongozi Nchi nzima wajiandae kwa mikutano ya hadhara siku ambayo tutaitangaza".

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.

"Tutaidai Katiba mpya asubuhi, mchana hadi usiku. Kama wanataka tukae mezani, turidhie. Kama wasiporidhia, tutakutana barabarani. Hatutaridhia kushiriki Uchaguzi wowote bila kuwa na Katiba mpya au Tume Huru ya Uchaguzi.

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.

My take:
Chaedema na Mbowe wameamua kumjaribu Mama? Wataweza kweli?
Tatizo mama alikuwa anawapetipeti hawa, maamuzi mengine yalikuwa ya kuwaridhisha, kawakazia kidogo tu, wanaanza kumvimbia. Naona wanatest mitambo ya mama, akikubali kuitika tu, watamtesa kunyama ndani ya hii miaka minne.
Ushauli wangu kwa mama:
1. Don't be soft kwa hawa viumbe,
2. Hakuna kukompromise na hawa raia, wewe tekeleza ilani ya 2020-2025
3. Usitikisike kwa lolote, hao watikisa kiberiti kama kimejaa.
4. Sometime, apply modal ya Magu kudeal now
5. Kumbuka Africa hakuna demokrasia, wewe piga kazi kwa kwenda mbele,
6. Huwezi ukamridhisha kila MTU, hasa mpinzani kama huyo.
 
Watu wameanza kampeni kwa kivuli cha katiba mpya, kihalisia katiba tuliyonayo haina shida sana kama tunavyoambiwa na hao wenye tamaa na posho za bungeni,wahusika ni vyema wachukue hatua mapema kuna watu wanataka kutuharibia amani ambayo ndio tunu yetu.
 
Mbowe asidhani kwamba sasa anaweza kuichezea serikali atakavyo, yeye ni nani katika nchi hii?

Watanzania wana matatizo yao kibao, hajawahi hata siku moja kuwasaidia wananchi hata kwa hoja tu ili tumuone kweli ni mpigania wananchi,sasa ni kipindi cha kulipa ada za wanafunzi lakini hilo halioni ,anawahamasisha vijana ambao hajasaidia hata kuwalipia ada waingie barabarani kwa maslahi yake na waliomtuma kutetea mapenzi ya jinsia moja hapa Tanzania.

Je ni kweli kwamba watanzania tuna maisha bora sana kiasi cha kuwa na hitaji la starehe ya mapenzi ya jinsia moja?
Mbowe anataka kuleta vurugu katika nchi hii,vijana chukueni tahadhari, msipotezwe.
 
Back
Top Bottom