Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,122
Sasa subiri tumrudishe Sabaya HaiWatoto wajinga nyie nani aliwaambia mikutano ni vurugu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa subiri tumrudishe Sabaya HaiWatoto wajinga nyie nani aliwaambia mikutano ni vurugu?
Tena mbwa mwenye kengeza kama Mbowe uwa hawana akiliUkizoeana na mbwa..... atakufata msikitini.
Acha ufala haki ya nini?Ni haki yao.
Wajinga sana kawa, hivi kwa kauli kama hizo ni nani mwenye mamlaka anaweza kuvumilia? Tena bora hiyo kauli itoke kea kwa hawa makapuku wa jF kidogo mtu anaweza kupotezea,eti inatoka kwa kiongozi kabisa? Hata mimi wangeniita dikteta tu, mtu kama huyu ni lazima ningeingia nae kwenye mapambano.Hahahahahah na hapo ndipo hasira ya Jiwe dhidi ya hawa wapuuzi ilichipukia! Wanakera sana kmmmke they dont let a nigga breathe thus why walifanywa hakuna na hata ubunge wakanyang’anywa 😂😂😂
Hii inaitwa Shusha nanga pandisha Nanga.Baada ya Rais kusema kuwa anataka apewe muda ili ajenge uchumi kwanza na mambo ya katiba na mikutano ya hadahara itafata baadae.
Mh Mbowe leo amesema wazi kuwa hawatompa muda Rais samia na hawatakubali bali watafanya mikutano ya hadhara na watadai katiba kwa njia yeyote ile inayofaa na ikiwezekna wataingia barabarani kuidai katiba... na kwa sasa swala la katiba ni lazima watake wasitake ni lazima katiba ipatikane.
“Ombi la Rais Sami kwamba tumpe muda kuhusu suala la katiba, hatupo tayari kumpa muda na natoa agizo kwa Viongozi Nchi nzima wajiandae kwa mikutano ya hadhara siku ambayo tutaitangaza".
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.
"Tutaidai Katiba mpya asubuhi, mchana hadi usiku. Kama wanataka tukae mezani, turidhie. Kama wasiporidhia, tutakutana barabarani. Hatutaridhia kushiriki Uchaguzi wowote bila kuwa na Katiba mpya au Tume Huru ya Uchaguzi.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.
My take:
Chaedema na Mbowe wameamua kumjaribu Mama? Wataweza kweli?
Watu tunaamini hivyo kwakua hizi kelele zenu hazikuwepo kabla ya Magufuli kufariki,hivyo basi mnamdharau sana Samia.Mkuu, hivi Magufuli angekuwepo, unajuwa kwamba CHADEMA wasingedai hayo wanayodai kwa vile alikuwa mbabe, una uhakika huo?
Unaamini Samia akiwa '"mbabe" katiba mpya watu wataacha kuidai? Unao uhakika huo?
Hovyo. Watu kufanya mikutano ya kisiasa kuna uharamu gani. Mbona makanisa na maharusi tunafanya umeshasikia jinai yoyote katika hilo.Huu sasa ndio uhayawani ambao Magufuli alikemea.....unawezaje kumwambia mh raisi maneno ya shombo hayo na kutaka kuondoa amani iliyodumu tangu uhuru, katiba tangu kikwete....magufuli sasa kwa nini kelele kwa mama waingie ndi watajua maana ya nchi najua yeye anaagiza mara anatorokea dubai....
Kelele zilikuwepo na ndio maama Magufuli alidhamilia kuua kila mpiga kelele mwisho wa siku akafa yeyeWatu tunaamini hivyo kwakua hizi kelele zenu hazikuwepo kabla ya Magufuli kufariki,hivyo basi mnamdharau sana Samia.
Kimsingi hiyo kauli ya Mbowe inaamsha hisia za SSH,kutaka kuwaonyesha makucha yake na mwisho wa siku tutarudi kulekule.
Kufa ilikuwa ni lazima afe,hata kama asingewaua hao wapiga kelele,kimsingi kila unayemuona itafika muda atakufa tu hata kama atakuwa mwema kama malaika.Kelele zilikuwepo na ndio maama Magufuli alidhamilia kuua kila mpiga kelele mwisho wa siku akafa yeye
😂😂😂😂😂Mbowe bhana JPM ndo alikuwa mwanaume Gwanda za Chadema zilikuwa night dress tu makamanda wa Chadema wanazivaa wkt wa mibunyo na wake zao tu uchaguzi umeisha tu kila kamanda anakimbia mwingine kakimbilia ubalozini kama kibaka anapokimbilia kituo cha police wakati anakimbizwa na wananchi wenye hasira kali , mwingine kavuka Boda kuingia Kenya akiwa amevaa baibui
Mbowe sijui alipenya wapi kukimbilia Dubai Tanzania kabaki mwanaume mmoja tu anapiga kazi
Huyu Mama ni soft sana na asipoangalia watamsumbua sana .
anakwambia sisi tunawaambia hawa kinamama wamesema watavaa kanga nyeusi sisi tunasema wavae bukta tutawapigisha mazoezi mepesi halafu tutawapa maji ya kuoga watachagua ya baridi au moto hapo pembeni yake kuna wadada wamegonga gwanda hizo kama wanaenda mwezini hahahaha...Tatizo ilikuwa kamanda Muroto tu 😂😂😂 akipiga biti moja tu nchi kimya!!!
So Kama kitakacho fanyika ni KWA mjibu wa sheria hakuna Cha kumjalibu , Mimi nafikili viongozi wengi wanapenda kanyaga wananchi kichwa Sana
Mgonja watangaze , mikutano tufanye Kama kutua wache watuuwe tu , Tufike mda Sasa Kama viongozi wanashindwa kisimamia haki basi Kama TAIFA tuombe na misaada ipigwe pin ,tufe hata KWA ufukara, kana haja gani Sasa kwamba mnajenga miundombinu nk wakati uo hampati haki za kikatiba?
Watafanya kazi yao muhimu kuwa ngumu sana wasipotumia akili.Haya maneno ya kibabe ndio yaliwasababishia wakakimbilia Kenya, Dubai na Ubeligiji 😂
Naona wewe ni mshamba wa siasa. Rais Samia ni mwanasiasa pia. Siasa ni mashinikizo kwa kutumia hoja. Kwani kamtukana au anahatarisha Usalama wa Rais au amempindu?Kufa ilikuwa ni lazima afe,hata kama asingewaua hao wapiga kelele,kimsingi kila unayemuona itafika muda atakufa tu hata kama atakuwa mwema kama malaika.
Turudi kwenye hoja,yani Rais anawajibu kistaarabu kuwa wampe muda(hajakataa),alafu mtu anajibu kuwa hawezi kumpa muda,yeye kama nani? Kwa mantiki hiyo anaruhusu kupimana nguvu na SHH?
Umejuwaje kwamba hizo "kelele" unazozizungumzia wewe na mimi nimo kwenye kupiga kelele hizo.Watu tunaamini hivyo kwakua hizi kelele zenu hazikuwepo kabla ya Magufuli kufariki,hivyo basi mnamdharau sana Samia.
Kimsingi hiyo kauli ya Mbowe inaamsha hisia za SSH,kutaka kuwaonyesha makucha yake na mwisho wa siku tutarudi kulekule.
Wakoloni weusi ni wabaya zaidi kuliko wakoloni wazunguUmejuwaje kwamba hizo "kelele" unazozizungumzia wewe na mimi nimo kwenye kupiga kelele hizo.
Kwa kufanya hivyo tu nakudharau.
Kuhusu Magufuli kama angekuwepo, bado hujaeleza kama CHADEMA wangeacha kupiga kelele hizo, vinginevyo, basi wewe ni mmoja wao, kiasi kwamba unajua mipango yao yote.
Mnamdanganya Samia, hataweza kufanya lolote kuzuia mabadiliko ambayo ni lazima yatokee.
Sasa wakati umewadia, wa Tanzania kuondokana na ukoloni wa humu humu nchini unaofanywa na wanaojiona nchi ni yao na siyo ya waTanzania tena.
Kama kwa kuandika haya utaniona mimi kuwa mtu wa CHADEMA, hilo likusumbue wewe mwenyewe, mimi halinihusu.
Kati ya Mbowe na Jiwe nani mjanja?? Jitu kimetoka huko shamba chato likaparamia mjini ona sasa yako wapi?😂😂😂😂😂Mbowe bhana JPM ndo alikuwa mwanaume Gwanda za Chadema zilikuwa night dress tu makamanda wa Chadema wanazivaa wkt wa mibunyo na wake zao tu uchaguzi umeisha tu kila kamanda anakimbia mwingine kakimbilia ubalozini kama kibaka anapokimbilia kituo cha police wakati anakimbizwa na wananchi wenye hasira kali , mwingine kavuka Boda kuingia Kenya akiwa amevaa baibui
Mbowe sijui alipenya wapi kukimbilia Dubai Tanzania kabaki mwanaume mmoja tu anapiga kazi
Huyu Mama ni soft sana na asipoangalia watamsumbua sana .