Mbowe: Hatutompa muda Rais na hatukubali. Viongozi wa CHADEMA watakiwa kujiandaa kuanza mikutano nchi nzima

Mbowe anataka kumpa amri Amir Jeshi? Alivyozoea kuwandesha Bavicha anadhani kila upuuzi wake watu wataufuata.
 
Badala ya kujadili ujenzi wa madarasa na zahanati tumeanza tena u-basket mouth
Hahahahah taratibu tutaelewana tu kwamba yule hayati wakati anawapiga spana hawa chadema hasira zile zilitokana na kero ya kiwango gani!
 
Nashukuru kwa kutambua utawala wa kidume toka Chattle πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!! Hakuna kima wa Chadema alieleta kidomo domo mbele ya Mwamba a.k.a Jiwe
 
Katiba ikianza mchakato,tunaongeza kipindi cha kuongoza toka miaka mitano mitano hadi kumi kumi,,hatuwezi kuwa tunapoteza pesa kufanya uchaguzi mkuu kila mara,πŸ€—πŸ˜„
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii mikwara mbona hatukuiona kwa Magu?
Mbowe na Chadema wote walikuwa ma shori tu mbele ya Kidume cha Usukumani🀣🀣🀣 wakapoteana mazima!
 
Kufa kila mtu atakufa,,kwa afya ya mbowe simshauri kabisa ajiingize kwenye purukushani,,yule ni supana mkononi, family yake kama wanampenda huyu mzee,wamshauri
Out of context. Wapi nimesema kushindwa kwake ni kwasababu ya kifo? Mbowe anahusikaje kwenye hoja yangu? Tuliza mihemko. Usiwe unanijibu ukiwa umepiga konyagi.
 
Tatizo wanasiasa wanatuvuruga hata wakati mwingine hawaeleweki, katiba iliyopo wanasema haifuatwi na viongozi! Sasa wameacha kuhimiza viongozi wa serikali wafuate hii iliyopo ili tuone Kama ikifuatwa ipasavyo itakuwa na mapungufu, Sasa wanacheza mziki wa katiba mpya? Hii iliyopo imefuatwa ipasavyo!????
 
Uzuri JK yupo..anawajua CDM

Mama atawapiga silent killer style za JK huku anawachekea na kuwapooza na maneno ya upole., watajua hawajui
Hahahahah kinachofata ni minyoosho ya kinyele tu kama walivodondosha himaya ya Mwamba toka chattle
 
Haina umuhimu wowote. Mama akiwalegezea watamtoa hadi miwani yake ili wamvute kope
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…