KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Mkuu, hivi Magufuli angekuwepo, unajuwa kwamba CHADEMA wasingedai hayo wanayodai kwa vile alikuwa mbabe, una uhakika huo?Naona tumezoea maisha ya kibabe babe hivyo tunamlazimisha Samia awe mbabe. So sad! Yule aliyepita amesema hakuahidi, hana agenda hiyo na asipangiwe juu ya hilo huyu amesema apewe muda yet tunaona tabu kumpa huo muda? Chadema mnaturudisha wapi jamani?
Baada ya Rais kusema kuwa anataka apewe muda ili ajenge uchumi kwanza na mambo ya katiba na mikutano ya hadahara itafata baadae.
Mh Mbowe leo amesema wazi kuwa hawatompa muda Rais samia na hawatakubali bali watafanya mikutano ya hadhara na watadai katiba kwa njia yeyote ile inayofaa na ikiwezekna wataingia barabarani kuidai katiba... na kwa sasa swala la katiba ni lazima watake wasitake ni lazima katiba ipatikane.
“Ombi la Rais Sami kwamba tumpe muda kuhusu suala la katiba, hatupo tayari kumpa muda na natoa agizo kwa Viongozi Nchi nzima wajiandae kwa mikutano ya hadhara siku ambayo tutaitangaza".
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.
"Tutaidai Katiba mpya asubuhi, mchana hadi usiku. Kama wanataka tukae mezani, turidhie. Kama wasiporidhia, tutakutana barabarani. Hatutaridhia kushiriki Uchaguzi wowote bila kuwa na Katiba mpya au Tume Huru ya Uchaguzi.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.
My take:
Chaedema na Mbowe wameamua kumjaribu Mama? Wataweza kweli?
Ushauri kwa ndugu Mbowe:Baada ya Rais kusema kuwa anataka apewe muda ili ajenge uchumi kwanza na mambo ya katiba na mikutano ya hadahara itafata baadae.
Mh Mbowe leo amesema wazi kuwa hawatompa muda Rais samia na hawatakubali bali watafanya mikutano ya hadhara na watadai katiba kwa njia yeyote ile inayofaa na ikiwezekna wataingia barabarani kuidai katiba... na kwa sasa swala la katiba ni lazima watake wasitake ni lazima katiba ipatikane.
“Ombi la Rais Sami kwamba tumpe muda kuhusu suala la katiba, hatupo tayari kumpa muda na natoa agizo kwa Viongozi Nchi nzima wajiandae kwa mikutano ya hadhara siku ambayo tutaitangaza".
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.
"Tutaidai Katiba mpya asubuhi, mchana hadi usiku. Kama wanataka tukae mezani, turidhie. Kama wasiporidhia, tutakutana barabarani. Hatutaridhia kushiriki Uchaguzi wowote bila kuwa na Katiba mpya au Tume Huru ya Uchaguzi.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.
My take:
Chaedema na Mbowe wameamua kumjaribu Mama? Wataweza kweli?
Mbele ya polisi,,,Mbowe na Chadema wote walikuwa ma shori tu mbele ya Kidume cha Usukumani[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakapoteana mazima!
Haya maneno ya kibabe ndio yaliwasababishia wakakimbilia Kenya, Dubai na Ubeligiji 😂Ushauri kwa ndugu Mbowe:
He needs to control his emotions when making such pronouncements.
Watu wataelewa vizuri sana, hata ukitumia maneno laini laini kuelezea hali kama hii inayolikabili taifa letu chini ya utawala huu wa chama kimoja kisichoangalia lolote isipokuwa manufaa yake pekee.
Wewe ni mwanadamu au?😂😂😂😂😂Mbowe bhana JPM ndo alikuwa mwanaume Gwanda za Chadema zilikuwa night dress tu makamanda wa Chadema wanazivaa wkt wa mibunyo na wake zao tu uchaguzi umeisha tu kila kamanda anakimbia mwingine kakimbilia ubalozini kama kibaka anapokimbilia kituo cha police wakati anakimbizwa na wananchi wenye hasira kali , mwingine kavuka Boda kuingia Kenya akiwa amevaa baibui
Mbowe sijui alipenya wapi kukimbilia Dubai Tanzania kabaki mwanaume mmoja tu anapiga kazi
Huyu Mama ni soft sana na asipoangalia watamsumbua sana .
Chuma huwa hakifiSipati picha angeongea hivyo enzi za Chuma, mida kama hii ashakabidhiwa kwa nyampala anampima oil tu 😂😂
Mbabe ni anayezuia madai ya uhuru wakati hayana madhara. Mbabe huyo kwa sasa ni mwanamkeHaya maneno ya kibabe ndio yaliwasababishia wakakimbilia Kenya, Dubai na Ubeligiji 😂
Wewe hujui. Kwa Nyerere tuliandamana. Kwa Mwinyi tuliandamana. Kwa Mkapa na Kikwete tuliandamana na kufanya mikutano ya hadhara. Zuio ni la hivi karibuni. Wastaarabu wote hawatishwi na maandamano au mikutano ya hadhara kiasi cha kuvizuiaHuu sasa ndio uhayawani ambao Magufuli alikemea.....unawezaje kumwambia mh raisi maneno ya shombo hayo na kutaka kuondoa amani iliyodumu tangu uhuru, katiba tangu kikwete....magufuli sasa kwa nini kelele kwa mama waingie ndi watajua maana ya nchi najua yeye anaagiza mara anatorokea dubai....
Mida hii nyapala anatafuna kisamvu poriSipati picha angeongea hivyo enzi za Chuma, mida kama hii ashakabidhiwa kwa nyampala anampima oil tu 😂😂
Katiba na sheria vinaruhusu. Aliyepita alivizuia kwa ubabe. Wewe unawasingizia ubabe wahanga wa ubabe huo. JirudiNaona tumezoea maisha ya kibabe babe hivyo tunamlazimisha Samia awe mbabe. So sad! Yule aliyepita amesema hakuahidi, hana agenda hiyo na asipangiwe juu ya hilo huyu amesema apewe muda yet tunaona tabu kumpa huo muda? Chadema mnaturudisha wapi jamani?
MAGU ALISHASEMA TENA HADHARANI "SIJARIBIWI" NA AKAMALIZIA " SITISHWI NA WALA SITISHIKI"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii mikwara mbona hatukuiona kwa Magu?
kumbuka katiba mpya do mama wa sheria, unajifanya hamnazoNaona tumezoea maisha ya kibabe babe hivyo tunamlazimisha Samia awe mbabe. So sad! Yule aliyepita amesema hakuahidi, hana agenda hiyo na asipangiwe juu ya hilo huyu amesema apewe muda yet tunaona tabu kumpa huo muda? Chadema mnaturudisha wapi jamani?
Muheshimiwa Mbowe kwa hapo tu unaharibu, soma alama za nyakati, watu hawata kusapoti kama ufikiriavyo, Tafuta ushauri sasa uachane na siasa za chuki na ubabe wa kijingaBaada ya Rais kusema kuwa anataka apewe muda ili ajenge uchumi kwanza na mambo ya katiba na mikutano ya hadahara itafata baadae.
Mh Mbowe leo amesema wazi kuwa hawatompa muda Rais samia na hawatakubali bali watafanya mikutano ya hadhara na watadai katiba kwa njia yeyote ile inayofaa na ikiwezekna wataingia barabarani kuidai katiba... na kwa sasa swala la katiba ni lazima watake wasitake ni lazima katiba ipatikane.
“Ombi la Rais Sami kwamba tumpe muda kuhusu suala la katiba, hatupo tayari kumpa muda na natoa agizo kwa Viongozi Nchi nzima wajiandae kwa mikutano ya hadhara siku ambayo tutaitangaza".
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.
"Tutaidai Katiba mpya asubuhi, mchana hadi usiku. Kama wanataka tukae mezani, turidhie. Kama wasiporidhia, tutakutana barabarani. Hatutaridhia kushiriki Uchaguzi wowote bila kuwa na Katiba mpya au Tume Huru ya Uchaguzi.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.
My take:
Chaedema na Mbowe wameamua kumjaribu Mama? Wataweza kweli?
Unaweza kufanya vyote - ukaruhusu uhuru na haki, na ukajenga zahanati, madarasa! Rais ameteleza.Badala ya kujadili ujenzi wa madarasa na zahanati tumeanza tena u-basket mouth
Watoto wajinga nyie nani aliwaambia mikutano ni vurugu?Chadema ni hatari Sana ustawi wa nchi ni vurugu kila wakati, Kiongozi akiwa muungwana wanampanda kichwani akiwa mkali wanaanza kulialia Kama Umbwa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app