Mabadiliko ni lazima. Yatacheleweshwa tu.Mbowe anafikiri atamuendesha Samia anavyotaka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabadiliko ni lazima. Yatacheleweshwa tu.Mbowe anafikiri atamuendesha Samia anavyotaka?
na yeye sasahivi anapimwa oil na minyoo.Sipati picha angeongea hivyo enzi za Chuma, mida kama hii ashakabidhiwa kwa nyampala anampima oil tu 😂😂
Huwezi kufikia lengo hata siku moja kama tabia yako ni ya kuweka ahadi bila kujiwekea ahadi hiyo utaitimiza katika muda gani.Rais anawajibu kistaarabu kuwa wampe muda(hajakataa),alafu mtu anajibu kuwa hawezi kumpa muda,yeye kama nani? Kwa mantiki hiyo anaruhusu kupimana nguvu na SHH?
Anatakiw akujibu hoja za watanzania. Mambo ya kutumia maguvu badala ya akili yamemponza Jiwe.Hawa wahuni inabidi Mh.Rais Samia awadhibiti mapema,hawana kazi ya kufanya kwa sasa
pointiHuwezi kufikia lengo hata siku moja kama tabia yako ni ya kuweka ahadi bila kujiwekea ahadi hiyo utaitimiza katika muda gani.
Waongo wote duniani ndivyo hivyo walivyo, hawezi kamwe hata siku moja kukupa ahadi ya uhakika atakayoitimiza kwenye muda maalum.
Na tabia hizi ndizo zinazosababisha mambo yetu kama nchi yawe ni ya hovyo hovyo, kwa sababu hatujiwekei kipimo na muda wa kutimiza
Huu uswahili swahili huu ni tatizo kubwa kwa maendeleo ya nchi yetu.
Mkutano mmoja wa ndani MACCM LEO YAMELALA NA VIATU😅😅Badala ya kujadili ujenzi wa madarasa na zahanati tumeanza tena u-basket mouth
Mkuu 'Pythagoras', mbona unanikosea heshima kiasi hiki?wafuasi wa mwendazake wala hamtutishi kitu kwa sasa.
Hayo ni maneno hayana athari yoyote.
Au mnataka kumpiga risasi tena?
Another CrapNdio maana mlikuwa mnapewa makesi kesi mkiachwa free, akili zenu zinakuwa hazijazoea shuruba. Ingieni barabarani mnyooshwe. FFU wana miaka 6 hawajatia virungu chadema
Sorry nililenga kumquote mwingine pale juu. NimefutaMkuu 'Pythagoras', mbona unanikosea heshima kiasi hiki?
Nakuomba usijibu jambo unalosoma bila kuelewa kilichoandikwa.
Hahahah Muroto Giles ana mikwara ya kukata na shoka😂😂😂anakwambia sisi tunawaambia hawa kinamama wamesema watavaa kanga nyeusi sisi tunasema wavae bukta tutawapigisha mazoezi mepesi halafu tutawapa maji ya kuoga watachagua ya baridi au moto hapo pembeni yake kuna wadada wamegonga gwanda hizo kama wanaenda mwezini hahahaha...
Akiamuru wana usalama wafanye kazi yao kikamilifu hamna choko atakaeleta fyoko! Wote wataloana mapema tu na kukimbilia al jazeera na bbc kulia lia kwamba wameonewa ila adabu hawana!Mkuu, hivi Magufuli angekuwepo, unajuwa kwamba CHADEMA wasingedai hayo wanayodai kwa vile alikuwa mbabe, una uhakika huo?
Unaamini Samia akiwa '"mbabe" katiba mpya watu wataacha kuidai? Unao uhakika huo?
kama hawampi muda si wabadilishe wenyewe tuBaada ya Rais kusema kuwa anataka apewe muda ili ajenge uchumi kwanza na mambo ya katiba na mikutano ya hadahara itafata baadae.
Mh Mbowe leo amesema wazi kuwa hawatompa muda Rais samia na hawatakubali bali watafanya mikutano ya hadhara na watadai katiba kwa njia yeyote ile inayofaa na ikiwezekna wataingia barabarani kuidai katiba... na kwa sasa swala la katiba ni lazima watake wasitake ni lazima katiba ipatikane.
“Ombi la Rais Sami kwamba tumpe muda kuhusu suala la katiba, hatupo tayari kumpa muda na natoa agizo kwa Viongozi Nchi nzima wajiandae kwa mikutano ya hadhara siku ambayo tutaitangaza".
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.
"Tutaidai Katiba mpya asubuhi, mchana hadi usiku. Kama wanataka tukae mezani, turidhie. Kama wasiporidhia, tutakutana barabarani. Hatutaridhia kushiriki Uchaguzi wowote bila kuwa na Katiba mpya au Tume Huru ya Uchaguzi.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.
My take:
Chaedema na Mbowe wameamua kumjaribu Mama? Wataweza kweli?
Mna haki ila Not to that extent😂😂😂,,,Not to that extent!We najua unampenda mbowe,mshauri aachane na siasa za uhasama,hazina tija,,kama sio maneno ya shombo,saa hizi wangeshakaa na mh na kujadili mambo kistaarabu,
Alibugi mno,,hata JPM, kina mbowe,lema na henche ndio walimfanya achukie kukaa meza moja na wapinzani,
Cdm wazito mno kujifunza,,hivi mnafikili hiyo katiba mtaandika nyie,iwe kama mnavotaka?.
Mchakato ukianza ccm wakaingia kazini,,matokeo ni yale yale,,mtatia mpira kwapani..
Pesa zitakuwa zimepotea bure,,
Hamia Marekani mkuu.Kweli Afri
Yaan Africa ,tunatumiwa vibaya sana.USA uwezi kusikia Republic wanafanya au wanataka mikutano baada ya uchaguzi.Baada ya uchaguzi ni kazi tuu.Sio kingine.Mbowe anajua vijana wengi hawana kazi na pia hawataki kazi.Kwa hiyo ni siasa tu.Ujinga mtupu.Miongoni mwa mabadiliko ya katiba ,ni kuondoa mikutano ya siasa baada ya uchaguzi.Tunacheleweshwa kufanya kazi.
Ivi tz mwananchi wa kawaida ni yupi , unaona mnavyotengeneza matabaka , mbona KWA mungu matabaka hamna ,Sasa nyie viburi vya kutengeneza matabaka unavitoa wapi?Wewe mkuu haki gani ya kikatiba usiyoipata wewe mwananchi wa kawaida inayokufanya ukose nahitaji yako ya msingi
hahahaaa gilles ntamkumbuka sana aisee..Hahahah Muroto Giles ana mikwara ya kukata na shoka😂😂😂
Hivi amestaafu tayari yule mzee?hahahaaa gilles ntamkumbuka sana aisee..