Mkubwa kuliko Mbowe alafu una lugha chafu namna hiyo?Mimi ni mwana CCM halafu umri wangu mkubwa kuliko Mbowe kwa mwaka mmoja. Nakushauri jikite katika hoja na siyo kwenye personalities. Tuko na IDs fake na unaweza kuta unabishana na Baba yako mzazi
Sio tu wanafiki ni Wazandiki pia ....Mbona walikaa kimyaa waiatu Serikali ya Mwendazake Dikteta Magufuli alipozuia watu wasifanye kusnyiko la kumuombea Tundu Lissu ....wao wakae wajaze matumbo yao...hakuna Ddini hapo!Mh.Mbowe anaongea.....
Viongozi wa kiroho wanakataza watu wasilitumie neno MWENDAZAKE. Mimi ninapenda kuwaambia viongozi wangu ukifanyacho hapa duniani ndicho utakachovuna. Viongozi wetu hawa walikaa kimya watu wetu walipouawa, potezwa nk. Walikaa na kunywa mezani pa watesi weyu......
My Take
Anachomaanisha Mbowe ni kwamba ile kamati ni ya kinafiki.
Lilikuwa ni shetani haswa linakujaga briefly na kutoweka! refer Adolf Hitler, Mussolini na hata Idd amin. Ni mashetani yanakujaga kwa kipindi kifupi na kutoweka! Doxas = Appearances that dissolves.Hivi mwendazake alifanywa nini na Chadema kiasi cha kuwa na ile Chuki ya Ibilisi dhidi ya Chama hiki, viongozi na wafuasi wake? Ila Chadema ni kama Mtakatifu fulani hivi, ukimuumiza unakufa mwenyewe
?Mkubwa kuliko Mbowe alafu una lugha chafu namna hiyo?
Basi kama hiki unachoandika humu ndio hard facts, wewe ni kubwa jingaKati ya Mimi na wewe nani anaandika lugha ya matusi? Mimi nakubali naandika hard facts. Yaani sirembi wala siandiki mafumbo, lakini situkani mtu
?
Nawaunga mkono maaskofu yule dikiteta asiitwe mwendazake Bali aitwe MWENDAKUZIMU.
[/QUOTE
Mbona linafanana na mwendawazimu?
Chadema irudi kwenye nafasi yake manake bila upinzani imara tutarudi tulipokuwa 2015-2021.Mh.Mbowe anaongea.....
Viongozi wa kiroho wanakataza watu wasilitumie neno MWENDAZAKE. Mimi ninapenda kuwaambia viongozi wangu ukifanyacho hapa duniani ndicho utakachovuna. Viongozi wetu hawa walikaa kimya watu wetu walipouawa, potezwa nk. Walikaa na kunywa mezani pa watesi weyu......
My Take
Anachomaanisha Mbowe ni kwamba ile kamati ni ya kinafiki.
Hoja nyingine za mawakala wa Mwendazake zinachekesha kweli wajameni. Yaonekana zimeshakauka.Mbowe lipa kwanza mishahara, hata wewe ulikaa kimya huku ukijua Sabaya ana karakana ya kutesa watu.View attachment 1820749
Hilo sikataiLakini bado ana wachapa mboko
jpm tutaendelea kumtaja kwa kazi aliyoifanya.kama tumbo linauma ukisikia jina lake,jipige risasi ya tako.Utakuwa una mimba yake wewe sio bure mtu kafa tuanze kumuweka kwenye ajenda, how???
Kanunue udongo mwekundu ule au tukusaidie kutoa mimba?
Mtaje tu .imba inakusumbua utazaa kile kichwa kama koroshojpm tutaendelea kumtaja kwa kazi aliyoifanya.kama tumbo linauma ukisikia jina lake,jipige risasi ya tako.
pole kwa maumivu mkuu.Mtaje tu .imba inakusumbua utazaa kile kichwa kama korosho
Habari. Naomba ukipata ujumbe huu unidm tafadhli🙏ni kweli bwana Mbowe, hawa watu walipofuka hawakuona wala kusikia.
Walikuwa wanampigia promo Mwendazake kwa manufaa binafsi.Mh.Mbowe anaongea.....
Viongozi wa kiroho wanakataza watu wasilitumie neno MWENDAZAKE. Mimi ninapenda kuwaambia viongozi wangu ukifanyacho hapa duniani ndicho utakachovuna. Viongozi wetu hawa walikaa kimya watu wetu walipouawa, potezwa nk. Walikaa na kunywa mezani pa watesi weyu......
My Take
Anachomaanisha Mbowe ni kwamba ile kamati ni ya kinafiki.
Magufuli aliwachalaza chadema akiwa hai na bado anawachalaza akiwa mfu!
Huyu mzandiki mkubwa. Anatumia kipaji chake cha uongo lakini chadema kama chama imekufa wala haitazinduka.Viongozi wa kiroho muwe kweli Manabii (wa kweli), Wafalme (wa kweli) na Makuhani wa kweli wakati wote na kwa kondoo wote wa BABA hata nyakati ngumu. Msielemee upande moja. HAKI ndicho kitu cha kwanza, AMANI itafuata palipo na haki. Mungu Baba ndiye aliyetuleta Tannzania (Tanganyika) sisi wote.
Hakuna binadamu mwenye jukumu hilo. Sisi sote tuna haki sawa ndani ya nchi hii. Hivi mnadhani vurugu ndani ya nchi zinaletwa na wananchi? La hasha, bali viongozi waliosahau kutekeleza wajibu wao, wakaanza kutekeleza matakwa ya Ibilisi Lusifa na vibaraka wake.
Kiongozi bila haya unafurahia aibu wanayotenda kina Sabaya kwa Watanzania wenye mtizamo tofauti nawe. Viongozi wa kiroho mmekaa kimya. Leo hii neno "Mwendazake" limewatoa karamuni mnakokula vinono na watesi tena kwa gharama zetu.
Mungu daima atabaki YULE Mwenye uwezo ulio MKUU unaodhibitiwa na Destruri yake iliyo bora (UPENDO, HURUMA, UPOLE, UVUMILIVU, UKARIMU hata kwa hao watesi wetu, WEMA, MKWELI, DAIMA MWAMINIFU). Mara zote tusimame kwenye kweli na haki, unafiki tuachane nao. Amin
Mbona umenitoa 😢 was waiting for you 😔ni kweli bwana Mbowe, hawa watu walipofuka hawakuona wala kusikia.
Sasa hivi anaokwa kama ndafu huko kuzimuUmaskini wangu hauna shida as long as niko huru. Aliyekufa alijifanya nusu- mungu na cha mtema kuni kakiona. Saa hizi minyoo imekwisha tafuna imebakia skeleton Daaaaadddadeki