Mbowe: Kamati ya Amani ilikaa kimya wakati watu wetu wanauawa na kuteswa

Mimi ni mwana CCM halafu umri wangu mkubwa kuliko Mbowe kwa mwaka mmoja. Nakushauri jikite katika hoja na siyo kwenye personalities. Tuko na IDs fake na unaweza kuta unabishana na Baba yako mzazi
Mkubwa kuliko Mbowe alafu una lugha chafu namna hiyo?
 
Sio tu wanafiki ni Wazandiki pia ....Mbona walikaa kimyaa waiatu Serikali ya Mwendazake Dikteta Magufuli alipozuia watu wasifanye kusnyiko la kumuombea Tundu Lissu ....wao wakae wajaze matumbo yao...hakuna Ddini hapo!
 
Hivi mwendazake alifanywa nini na Chadema kiasi cha kuwa na ile Chuki ya Ibilisi dhidi ya Chama hiki, viongozi na wafuasi wake? Ila Chadema ni kama Mtakatifu fulani hivi, ukimuumiza unakufa mwenyewe
Lilikuwa ni shetani haswa linakujaga briefly na kutoweka! refer Adolf Hitler, Mussolini na hata Idd amin. Ni mashetani yanakujaga kwa kipindi kifupi na kutoweka! Doxas = Appearances that dissolves.
 
Kati ya Mimi na wewe nani anaandika lugha ya matusi? Mimi nakubali naandika hard facts. Yaani sirembi wala siandiki mafumbo, lakini situkani mtu
Mkubwa kuliko Mbowe alafu una lugha chafu namna hiyo?
?
 
Kati ya Mimi na wewe nani anaandika lugha ya matusi? Mimi nakubali naandika hard facts. Yaani sirembi wala siandiki mafumbo, lakini situkani mtu

?
Basi kama hiki unachoandika humu ndio hard facts, wewe ni kubwa jinga
 
Chadema irudi kwenye nafasi yake manake bila upinzani imara tutarudi tulipokuwa 2015-2021.
 
Hiyo kamati ni kiboko walikaa kimya wakina Ben saa Nane,Azory Gwanda kupotezwa leo wanajitokeza hawa wakina Shoo,Askofu Bagonza na Shehe Ponda na yule mwingine aliambiwa sio Raia wa Tanzania ndio nawakubali hiyo kamati yao ya uongo tuu..
 
Utakuwa una mimba yake wewe sio bure mtu kafa tuanze kumuweka kwenye ajenda, how???

Kanunue udongo mwekundu ule au tukusaidie kutoa mimba?
jpm tutaendelea kumtaja kwa kazi aliyoifanya.kama tumbo linauma ukisikia jina lake,jipige risasi ya tako.
 
Walikuwa wanampigia promo Mwendazake kwa manufaa binafsi.
 
Huyu mzandiki mkubwa. Anatumia kipaji chake cha uongo lakini chadema kama chama imekufa wala haitazinduka.
 
Umaskini wangu hauna shida as long as niko huru. Aliyekufa alijifanya nusu- mungu na cha mtema kuni kakiona. Saa hizi minyoo imekwisha tafuna imebakia skeleton Daaaaadddadeki
Sasa hivi anaokwa kama ndafu huko kuzimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…