Mbowe: Kukosa pesa za MCC Inachafua jina la nchi ktk medani za kimataifa

Mheshimiwa Mbowe, are you serious kumtaka Rais amwamuru DPP afute kesi zilizoko Mahakamani. Mimi nimekuwa naelezwa kuwa DPP yuko huru na hatakiwi kuingiliwa na yeyote yule, au sheria zetu zimebadilishwa kinyemela?
 
Ninyi Lumumba bajeti yetu ni sh ngapi kwa mwaka? Trillion 1.3 kwa mwezi zidisha mara miezi 12 utapata bei gani? Na je, hiyo bei uliopata ni asilimia ngapi ya bajeti yetu? Bila misaada hatuwezi kuenda. Tunaihitaji.
 
Politics is difficult than physics. Albert Einstein
 
Hii inaonyesha Tanzania hakuna democracia maana kama unakamata watu wasiokuwa na Bhatia na kuwabambikia kesi na kukaa na vifaa vyao mpaka sasa huo ni uvunjaji mkubwa wa haki za binadamu hivyo mcc hawawezi kukupa msaada kwani haki za binadamu na democracia ni kiongozi mwa masharti yao hivyo Tanzania haijakidhi.
 

Huyu mbowe ana AKILI NDOGO ZAIDI SANA, ndo maana alimwalika PAPA FISADI Kuimalisha chama,

Pole mbowe, naanza kuwa na wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri..

Ile kauli ya mchungaji msigwa ya kupimwa akili inakufaa sana..
 
Mkuu, mbona la kufanya mmeambiwa lkn hamtaki kusikia : uchaguzi zanzibar urudiwe. Kama hamtaki keep quiet.
 
hatutaweza hata tulikusanya 2tr kwa mwez.... hawa jamaa wana nguvu sana.... tulitakiwa tujipange kuondokana nao......
 
Habari za Mbowe tumeshazichoka umu, hatuna time na fisadi na muuza chama. Mods unganisha hii.

hiko cheo cha kuwasemea wengine nani amekupa?

jitetee nafsi yako na si kujidai unajua kila mtu anawaza nini.
 
Huyu mbowe ana AKILI NDOGO ZAIDI SANA, ndo maana alimwalika PAPA FISADI Kuimalisha chama,

Pole mbowe, naanza kuwa na wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri..

Ile kauli ya mchungaji msigwa ya kupimwa akili inakufaa sana..
Wa kwako ni mtindio wa ubongo kwa ajili ya bangi za Lumumba
 
Kwa hiyo comment nzima umeona kitu ambacho sio sahihi ni neno mkopo? Kwanini uchukie kutopewa fedha ambayo hujaivujia jasho fanyeni kaz hii ya kusubiria wahisani watoe ufurahie achana nayo mkuu karne sio hii
 
Akili za mbowe ni kama za muuza utumbo anabakia kupepea nzi badala ya kufuta mavi

Huwezi kutangaza mshindi kama kuna mgombea aliyevunja sheria ya uchaguzi na kujitangaza kuwa mshindi. Ni lazima uchaguzi urudiwe kwani umeharibika vibaya sana. Wamevunja sheria bado wanalaumu tu. Do the right thing at the right time. Go to polls.
 

Huyu atuelezee fedha alizotorosha nje ya nchi huko China na Hong Kong asituletee porojo
 
Hata hivyo tumechoka na misaada yenye masharti wakae nao tu we can make on our own with 1.3 trillion Month. Kwa pamoja tukatae kushobokea weupe
Hiyo jeuli kwa sasa sahau hii ni nchi ya kimatonya daima
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, mbona la kufanya mmeambiwa lkn hamtaki kusikia : uchaguzi zanzibar urudiwe. Kama hamtaki keep quiet.

Urudiwe kwa sababu zipi ?! Kwamba unaamka asubuhi na kuamua uchaguzi urudiwe(that's a joke) . Kuwafurahisha CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…