Mbowe Mlutheri walutheri huwa hawaombi hiyo sala mpagani mkubwa hajui hata sala za kilutheri mtu akifa huwa walutheri wanasali vipi
Walutheri sala yao mtu akifa ni Bwana alitoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe akifa hakuna cha Mungu aiweke roho ya marehemu pema peponi
Hata waislamu mtu akifa wanasali kuwa Mungu muweke mahali panapomstahili sababu Allah pekee ndie ajuaye huyo mfu amuweke wapi
Mtu akifa kwenye hayo maandamano hakuna sala ya Ohhh Mungu weka roho yake pema peponi haipo ni kushukuru Mungu tu kuwa Mungu alitoa na kumleta duniani na kamtwaa jina lake Mungu lihimidiwe kwa kumtwaa mja wake kiislamu hupiga dua kuwa Mwenyezi Mungu amuweke mahali panapimstahili huyo muandamanaji marehemu kama ni peponi wanakoishi mapepo, mbinguni au Jehanamu atajua Mungu mwenyewe
Kesho waandamanaji likitokea la kutokea jiandaeni kwa hizo sala