Pre GE2025 Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Samia inabidi aondelewe. Haoni thamani ya maisha na uhai wa Watanganyika. Ngorongoro, , Loliondo, Misitu, DP World, tozo zimetuonesha hivyo.

Ila kuchukua nchi kunahitajika kuishirikisha nchii nzima. Unahitaji kiongozi wa kitaifa asiye na chuki na kabila, jamii, watu fulani. Mbowe ni mzuri akiendelea kuwa mwenyekiti wa Chadema na Tundu Lissu kama Mwanaharakati. Mwakubusi anaweza kupewa au Warioba, Shivji.
 
Samia must go
Huyu mama alianza vizuri na mbwembwe za 4R na malidhiano
Kadri Muna unavyoenda anazidi kunogewa madaraka na wapambe wanamjaza upepo

Vijana wapuuzi wa idara nyeti wanamdanganya eti Kuna watu wanataka kupindua

Sasa basi liwalo na liwe,

tusipokufa kwenye maandamano, tukufa kwa kutekwa na kuteswana wasiojulikana

Tunajitoa muhanga
 
 
Huu ujinga ulioandika ndio wanaoutumia kuteka na kuua watu wakiamini watanzania watatulia tu. Usisubiri yakukute ndio ujie umuhimu wa kuchukua hatua kama hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…