Mbowe na CHADEMA mnataka kumkwamisha Rais Samia kwakuwa amewalegezea kidogo?

CCM hawako tayari kutoka madarakani ndio maana akingia raisi yoyote kupitia ccm lazima wakupe plan yao yakutawala kwa muda wanaoutaka wao

Ndio maana alivyoingia mwendazake ikulu ccm wakampa plan yao ambayo ni kuhakikisha ccm inatawala bila ukomo au kutolewa madarakani na vyama vingine

Mwendazake akaipokea na akafanyia kazi plan aliyopewa na ccm kuongoza na kukilinda chama kwa nguvu zozote

Nanukuu "Nimekuajiri mimi nakulipa mshahara mimi, nimekupa gari mimi alafu unaenda kutangaza mgombea wa mpinzani kashinda"?

katiba ni muhimu sana
 
mbafu ww
 
Najua kimoyomoyo unasema Magufuli was right ila kwa kinywa hutaki kutamka. Naona njia hiyohiyo mama anaichukua
 
Wananchi waliichagua CCM kutokana na Ilani yake sio ahadi ya katiba mpya
Kama hujui ngoja nikuambie. CCm haikushinda uchaguzi 2020 ushahidi
1. Kinondoni vijana walikusanywa siku mbili kabla ya uchaguzi waliahidiwa kulipwa 5000 wakapewa karatasi za kura na kuweka alama za kumchafua ccm, raisi, mbunge na madiwani. Ushahidi huu upo banana mana mdogowangu alishiriki na hahwajalipwa mpaka leo
2. Vituo vya kupigia Kura zote nchini vilifunguliwa saa 9 usiku kazi ilikuwa moja tu kupiga kura kwa ccm. Wasimamizi wa uchaguzi waliambiwa wafanye hivyo na TISS na wasiogope chochote. Waliopewa jukumu la kusimama uchaguzi ni watumishi wa umma wenye mlengo wa ccm. Hili naweza kulithibitisha popote pale.
Unadai ccm ulishinda ilishanda wapi???
 
lengo lao ni kuitoa Serikali ya awamu ya 6 kwenye "reli"
Kama kiongozi anaweza kukujibu asiyetaka kulipa tozo ahamie burundi, basi nadhani hii reli ni level za train ya maglev.
 
Umemaliza uchambuz mzuri mnoo,wenye kusikia wasikie
 
Kama kiongozi anaweza kukujibu asiyetaka kulipa tozo ahamie burundi, basi nadhani hii reli ni level za train ya maglev.
Kumbe watumiaji wa mitandao ya simu tunaibiwa sana;
1.inasemekana Dk.1 unayo tumia kuzungumza kupitia mtandao wa simu sio sawa na Sekunde 60 ktk saa yako ya mkononi, kwa maaana mitandao inatuibia sisi watumiaji.

2. Inasemekana upikipiga sim kwa mtu hata kama haijapokelewa kuna SMS unatumiwa ikionyesha kuwa umetumia sekunde kadhaa!!
kuna udanganyifu mkubwa unao fanywa na baadhi ya mitadao ya simu. pamoja na kuikosesha serikali mapato halali.
TCRA Tafadhali chunguzeni myanya hii.
 
Sasa haya ni makosa ya nani? Si kuna TCRA ina maana tuna serikali isiyofanya kazi yake.
Hizi tozo ni kubwa saa mimi sikujua impact yake mpaka juzi nilipomtumia mtu pesa 20,000 gharama ya kutuma ni1560, na yeye akienda kutoa anakatwa zaidi ya 20,000.
Yani muamala ela inayokatwa ni almost 23% hii haiwezekani.
Na watu wengi wanaotumia hii huduma wanatuma na kutoa pesa isiyozidi 40,000.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…