Mbowe na CHADEMA mnataka kumkwamisha Rais Samia kwakuwa amewalegezea kidogo?

Mbowe na CHADEMA mnataka kumkwamisha Rais Samia kwakuwa amewalegezea kidogo?

Hua nashangaa sana pale watu wanapotumia haki zao kisheria halafu anatokea mtawala kuwaonea

Halafu nashangaa zaidi kuna wananchi kama Jingalao wanashabikia wanadamu wenzao kuonewa kwa kutumia haki zao...
Binafsi nafika mahali naamini uwepo wa iliyoitwa sukuma gang,na dhahiri sasa wanamhujumu mama.
 
Bado Magufulism ipo imejaa tele

Hili ndio tatizo...
Kwa hakika wengi wanatumia staha hata kwa inayoitwa legacy ya mtu fulani lakini hayayatatufanya tuyaongee tuliyoyaficha kwenye mioyo yetu."Moyo wa mtu ni msitu" mataga tafadhali tuacheni ili Maisha yaendelee japo kwa kitambo kifupi.
 
Anajizingua au anamzingua Mbowe?
Binafsi nafika mahali naamini uwepo wa iliyoitwa sukuma gang,na dhahiri sasa wanamhujumu mama.
hakuna kitu kama sukuma gang,kilichopo ni kuwa CCM SYSTEM COLLAPSED,bila kutumia nguvu hawawezi kutawala hata ukimleta malaika CCM kwa sasa lazima atawale kwa nguvu,hawana tena kitu kinaitwa ushawishi wa kisiasa ni lazima watawale kwa nguvu,katiba mpa itawavua nguo,kwani itawanyang'anya Nguvu za kutawala kwa nguvu kwa hiyo katiba mpya ni tatizo kwa CCM sio wananchi wa Tanzania.
 
Mama alituambia tushikamane tujenge uchumi na tusimzingue.
Mbowe alikuwa kimya ughaibuni sasa karidi na kuanza uchokozi
Mbowe ni maji marefu sana kwa CCM. Wanamwogopa sana tena sana - hilo li wazi!

Hawatamfanya kitu chochote - isipokuwa atapata sympathizers wengi zaidi ndani na nje ya nchi.

One thing ambacho nina uhakika nacho kwa 100% ni kwamba kama hatashituka mapema, Samia hafiki 2025 - ama kwa divine intervention kama ilivyotokea March 17th au kupitia wahafidhina waliomo ndani ya chama chake ambao kwa kiasi kikubwa wanafurahia sana anavyoboronga.
Ambacho CCM wakwepe sana ni kutoku push Mabeyo's hand too far - maana akiingia huyu ndiyo mwisho wa mambo yote!
 
Mama alituambia tushikamane tujenge uchumi na tusimzingue.
Mbowe alikuwa kimya ughaibuni sasa karidi na kuanza uchokozi
Umenyofolewa UBONGO
20210716_160047.jpg


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Hua nashangaa sana pale watu wanapotumia haki zao kisheria halafu anatokea mtawala kuwaonea

Halafu nashangaa zaidi kuna wananchi kama Jingalao wanashabikia wanadamu wenzao kuonewa kwa kutumia haki zao...
Mama ana maadui ndani ya CCM, ila sasa anaenda kujiletea maadui kutoka kwa wananchi. Natabiri mama atajikuta hana mtu yoyote upande wake.
 
Mama alituambia tushikamane tujenge uchumi na tusimzingue.
Mbowe alikuwa kimya ughaibuni sasa karidi na kuanza uchokozi
Mbowe ajinyonge kabisa ndio tutajua kuwa ana hasira na watanzania wanyonge anaojifanya kuwapigania
 
Mama alituambia tushikamane tujenge uchumi na tusimzingue.
Mbowe alikuwa kimya ughaibuni sasa karidi na kuanza uchokozi
Kwako wewe mjinga kudai katiba mpya ni kuzingua?
Jinga kweli wewe.
 
Friends and Enemies,

As they sow,so shall they reap...

Chadema wahusike na kichwa Cha habar hapo juu,sisi wananchi tusiokuwa na affiliation zozote na hawa wanasiasa siku zote mindset zetu huwa free kuzungumza chochote kwa maslahi ya Taifa. Letu,

Kwa watu kama chadema,ukiongea chochote kinachohusu kuwakosoa wao MOJA kwa MOJA wanajudge kuwa mkosoaji ni mtu wa mrengo mwingine,lakin potelea mbali tutazid kuongea,

Chadema they need to stop crying like babies na wajikite kutengeneza chama kwa kufanya overhaul na kuingiza fikra mpya na NGUVU mpya kwenye chama,for over 17 years now mbowe na wenzake lazima watambue kwamba kama vile ambavyo watanzania wameichoka ccm ndivyo hivyo hivyo ambavyo wameichoka chadema,na hiyo ni kwa kuwa fikra za viongoz ni zile zile,sura ni zile zile,approach zao ni zile zile,watanzania wakiwaangalia chadema hawaon jipya zaid zaid ya kuwaona wao kama ni wachumia tumbo tuh refers kesi hii ya wabunge wao hawa covid 19 na hii hama hama ya viongoz wao waandamiz kwenda kuunga mkono juhud especially enz zile za mwendazake,

Muda unaenda,wanashinda kujenga chama na kusoma fikra za watanzania,wamekomaa kumchafua RAIS SAMIA na kumforce aendeshe nchi kulingana na MATAMANIO yao,

Rais SAMIA ANAONGOZA NCHI kutekeleza ilani ya chama chake na kutimiza ahad alizowaahid watanzania kipind Cha kampen akiwa na mwendazake,na hayupo hapo kutekeleza maagizo ya chadema na kuendesha nchi kama wao wanavyotaka,

Hata kama ni kweli mamlaka Ina Nia ya kubadili upepo wake wa kuruhusu mikusanyiko ya kisiasa,je ni kwa kipind hiki Cha maradhi ya Covid 19?,pia kama wanasema katiba hiyo wanayoipigania ni kwa maslahi ya wananchi ambao wanataka kuwakusanya,kipi muhim kwa hao wananchi kwa sasa zaid ya afya zao?

Mbowe anataka watanzania waendelee kuathirika na huu ugonjwa na wazikwe kama alivyozika marehem kaka yake??

Chadema watavuna hiki wanachokipanda,muda ni mwalim mzuri Sana,tuzid kuomba uhai na afya tutaona matunda ya hiz harakati zao uchwara...
 
Wanataka mikutano ya hadhara!! Ni methodology iliyopitwa na wakati kujitangaza, ilikuwa inamashiko 2010 na kushuka chini, now watu wanatumia zaidi ICT kuwafikia watu wengi, kwa muda mchache na nafuu, kwa hili CCM wamewekeza sana, page zao za social medias zipo active, wana tvs zao, radios na wamefanya lobbying kwenye private tvs and radios (siyo dhambi hili kwenye siasa), magazeti pia.

Hawa CHADEMA sijui hata kama wana kitengo cha ICT, wanachowaza wao wafanye makusanyiko ili wakusanye hela kwa wananchi walipane posho.
 
Jingalao yupo kwenye kona yenye heri kwake na familia yake, kinachotokea kwa neighbor wake hajali na hizi ni elements za ukatili wa roho yake,kwake ni furaha mno kuona hali hii
Sina huruma kwa wahuni
 
Wanasema kuwa wanataka mabadiliko wakati wao hawana kitu kama hicho.

Mbowe ni Kiongozi tangu 2004 hawawezi kuwa na jipya lenye mantiki kwa wakati huu ikiwa anayewaongoza ni yule yule wa miaka yote.

Wanakuja na upuuzi wa kuongelea kifo cha JPM hakuna aliyezaliwa na mwanamke atakayeishi milele.
 
Wapambe??mpambe ni Kama chawa...

Kwan wewe hutujui vizur sisi?? wenzako mbona wanatujua Sana,sisi tunaitwa magaidi,wafia dini,waislam wenye siasa Kali,wavaa barakashia na makubaz au wakata suruali,hayo ni sample tu ya majina yetu,sisi siyo wapambe...

Ofcourse yes,akinyanyaswa yeyote yule sababu tuh kwa kuwa yeye ni muislam hapo sisi lazima utatuona tuko front kabisa kuicheza hiyo ngoma...

thats why tunawauliza chadema,wanataka KUMKWAMISHA huyu mama kwa kuwa ni Muislam au kwa kuwa ni mwanamke??
Mkuu hao hawawezi kuendekezwa na wajue tu kuwa wameumia kama walidhani watampelekesha Rais kwa kigezo cha jinsia yake.

Covid imeharibu uchumi wa dunia nzima, msisitizo ni lazima uwe kwenye hali za maisha za wananchi wote kuliko hao wajinga wachache wanaojifanya vichwa ngumu.
 
Back
Top Bottom