Friends and Enemies,
As they sow,so shall they reap...
Chadema wahusike na kichwa Cha habar hapo juu,sisi wananchi tusiokuwa na affiliation zozote na hawa wanasiasa siku zote mindset zetu huwa free kuzungumza chochote kwa maslahi ya Taifa. Letu,
Kwa watu kama chadema,ukiongea chochote kinachohusu kuwakosoa wao MOJA kwa MOJA wanajudge kuwa mkosoaji ni mtu wa mrengo mwingine,lakin potelea mbali tutazid kuongea,
Chadema they need to stop crying like babies na wajikite kutengeneza chama kwa kufanya overhaul na kuingiza fikra mpya na NGUVU mpya kwenye chama,for over 17 years now mbowe na wenzake lazima watambue kwamba kama vile ambavyo watanzania wameichoka ccm ndivyo hivyo hivyo ambavyo wameichoka chadema,na hiyo ni kwa kuwa fikra za viongoz ni zile zile,sura ni zile zile,approach zao ni zile zile,watanzania wakiwaangalia chadema hawaon jipya zaid zaid ya kuwaona wao kama ni wachumia tumbo tuh refers kesi hii ya wabunge wao hawa covid 19 na hii hama hama ya viongoz wao waandamiz kwenda kuunga mkono juhud especially enz zile za mwendazake,
Muda unaenda,wanashinda kujenga chama na kusoma fikra za watanzania,wamekomaa kumchafua RAIS SAMIA na kumforce aendeshe nchi kulingana na MATAMANIO yao,
Rais SAMIA ANAONGOZA NCHI kutekeleza ilani ya chama chake na kutimiza ahad alizowaahid watanzania kipind Cha kampen akiwa na mwendazake,na hayupo hapo kutekeleza maagizo ya chadema na kuendesha nchi kama wao wanavyotaka,
Hata kama ni kweli mamlaka Ina Nia ya kubadili upepo wake wa kuruhusu mikusanyiko ya kisiasa,je ni kwa kipind hiki Cha maradhi ya Covid 19?,pia kama wanasema katiba hiyo wanayoipigania ni kwa maslahi ya wananchi ambao wanataka kuwakusanya,kipi muhim kwa hao wananchi kwa sasa zaid ya afya zao?
Mbowe anataka watanzania waendelee kuathirika na huu ugonjwa na wazikwe kama alivyozika marehem kaka yake??
Chadema watavuna hiki wanachokipanda,muda ni mwalim mzuri Sana,tuzid kuomba uhai na afya tutaona matunda ya hiz harakati zao uchwara...