Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Mama Rahimu sana, sasa wabongo tulivyo ni kwamba mtu wa aina hiyo huwa tunamuona mjinga kumbe sisi ndio wajinga.H
Hawam-beep badala yake wamegundua kumsifia ni kujimaliza kisiasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama Rahimu sana, sasa wabongo tulivyo ni kwamba mtu wa aina hiyo huwa tunamuona mjinga kumbe sisi ndio wajinga.H
Hawam-beep badala yake wamegundua kumsifia ni kujimaliza kisiasa
Umeshalainika, huo uchumi ataurekebisha mpaka lini?
Chadema program iliyo muhimu kwao kwa sasa ni Katiba Mpya, vipi unataka kuwa divert wafanye wasichokitaka?
Rais kuambiwa ukweli sio kutishwa, wewe ulitaka aambiwe vipi? au ulitaka apigiwe magoti? utampigia vipi magoti mtu anayevunja sheria makusudi?
Ninachoamini, Chadema kama chama wataidai Katiba Mpya kwa kufuata njia zinazokubalika kisheria, iwe kwa mikutano ya hadhara au njia nyingine, hawatalazimisha kuidai Katiba Mpya kwa kuvunja sheria, na kama wakifanya hivyo hata mimi na wengine hatutakuwa upande wao.
Kwa namna hii kama taifa tutasubiri sana kufikia kile tunachokipigania, kama hata wale mnaoonekana mnauelewa wa jambo fulani mnapogeuzwa mawazo yenu kirahisi namna hii tena kwa propaganda za kitoto kabisa.
Lazima katiba ije, tuliyoyashuhudia wakati wa magufuli yanatishaKatiba ni mchakato, kwanini wanataka jambo hilo kwa kulazimisha? Bajeti ya kuliendea jambo hilo wanayo hao Chadema?
Kwao hiyo waislam hamtaki katiba kwa kuwa Raisi ana jina la kiislamu. Hamuachagi upumbavu wenu nyie watuFriends and Enemies,
Mbowe na CHADEMA wanataka kutupeleka wapi Tena? Je, ni kweli kwamba walishazoea ile hali ya kupelekwa kibabe na mwendazake na wameikumbuka kisha wameanza kutingisha kibiriti?
Katiba mpya ni suala la mchakato, ni suala mtambuka na jumuishi kwa makundi mbali mbali ndani ya nchi hii.
Wao kama wanasiasa ni kundi moja tuh wenye maslahi yao na katiba hii, na maslahi yao kama chama cha siasa ni kushika Dola, lakini Kuna makundi mengine meengi ambayo nayo yana maslahi yao vile vile kama wao, sasa iweje wao walishikie bango kwa kiasi hiko hadi kutishia kuingia barabarani kufanya fujo?
Rais Samia kaahidi na kaomba apewe muda, hawataki na wanataka kulazimisha.
Magufuli hakuahidi, na alisema siyo kipaumbele chake, waliufyata na kukaa kimya, sasa tunawauliza wanataka KUMKWAMISHA huyu mama kwasababu gani?
Kwa kuwa ni Muislam au kwa kuwa ni mwanamke?
Wana ajenda gani kwani.
Pointi zipi wakati ndo kwanza gharama za maisha zinazidi kupandaWanataka katiba mpya kwa bunge gani?
Watu wa maana wote wanetoka chadema.
Na hawana lolote la maandamano wakitishwa kidogo tu wataufyata.
Wanamjaribu.
Ukweli Watanzania sasa wanataka kujenga nchi yao na uchumi hawana habari na vyama vurugu.
Kila mtu anatafuta fursa.
Chadema wanajua Mama anazidi kubeba points dhidi ya chadema
We bwanamdogo nilidhani umeshapevuka na allegations zako za udini kumbe bado?! Tangu.enzi za jk ww na udini hadi leo.Friends and Enemies,
Mbowe na CHADEMA wanataka kutupeleka wapi Tena? Je, ni kweli kwamba walishazoea ile hali ya kupelekwa kibabe na mwendazake na wameikumbuka kisha wameanza kutingisha kibiriti?
Katiba mpya ni suala la mchakato, ni suala mtambuka na jumuishi kwa makundi mbali mbali ndani ya nchi hii.
Wao kama wanasiasa ni kundi moja tuh wenye maslahi yao na katiba hii, na maslahi yao kama chama cha siasa ni kushika Dola, lakini Kuna makundi mengine meengi ambayo nayo yana maslahi yao vile vile kama wao, sasa iweje wao walishikie bango kwa kiasi hiko hadi kutishia kuingia barabarani kufanya fujo?
Rais Samia kaahidi na kaomba apewe muda, hawataki na wanataka kulazimisha.
Magufuli hakuahidi, na alisema siyo kipaumbele chake, waliufyata na kukaa kimya, sasa tunawauliza wanataka KUMKWAMISHA huyu mama kwasababu gani?
Kwa kuwa ni Muislam au kwa kuwa ni mwanamke?
Wana ajenda gani kwani.
unakubali MEKO alikuwa muharibifu bora amenyakuliwa faster?
maana mihula iliyopita kabla ya MEKO hali ilikuwa bardiiiii Kuingia MHUTU mambo ni faya faya faya MUNGU akauzima
Mjomba nakusoma vizuri nakuona kabisa majibu yote unayo ila umeamua tu kuifanya hii safari ya Katiba Mpya iwe ndefu zaidi, sijui kwa nini, kama hakuna muda kamili wa kumalizia hiyo kazi ya kujenga uchumi, kwanini basi uchumi na Katiba Mpya visiende kwa pamoja?..wakati mwingine kiongozi anapokosea inabidi umuache aendelee na maamuzi yake na muda ndio utamfundisha kuwa amekosea.
..suala la kujenga au kurekebisha uchumi ni la muda wote as long as kuna serikali madarakani.
..sasa Rais Samia Suluhu amekuwa ktk uongozi muda mrefu, sikutegemea atoe kauli kama ile,lakini kwasababu ameitoa, basi tumpe muda na huko mbele ya safari, ktk muda muafaka, tutamhoji kuhusu uchumi.
..hapa naona ni kama ametupa wananchi hoja za kuupima uongozi wake. Kama uchumi wa nchi utaboreka, uwekezaji utaongezeka, ajira zitaongezeka,...
Sasa huoni umuhimu wa katiba mpya yenye kudhibiti mamlaka ya rais ili hata huko mbeleni akija rais kivuruge tena anadhibitiwa?!Yah,alikuwa ni kivuruge sana
Hakuna mwana cccm anataka Katiba hiyo ya Samia kutaka kupewa muda ni Diversion kama za watawala wote wa ccm kuahirisha jambo ukweli ni kwamba hana NIA anachofanya nikuvuta muda wakukaa na kuondoka madarakani ili atakaekuja nae ataomba apewe muda chakufanya wote tunaojielewa tumwambia HAPANA tunataka KATIBA BORA sasa..wakati mwingine kiongozi anapokosea inabidi umuache aendelee na maamuzi yake na muda ndio utamfundisha kuwa amekosea.
..suala la kujenga au kurekebisha uchumi ni la muda wote as long as kuna serikali madarakani.
..sasa Rais Samia Suluhu amekuwa ktk uongozi muda mrefu, sikutegemea atoe kauli kama ile,lakini kwasababu ameitoa, basi tumpe muda na huko mbele ya safari, ktk muda muafaka, tutamhoji kuhusu uchumi.
..hapa naona ni kama ametupa wananchi hoja za kuupima uongozi wake. Kama uchumi wa nchi utaboreka, uwekezaji utaongezeka, ajira zitaongezeka,...
Wenye shida ni wanao fanya uonevu kwa wengine na kukandamiza haki zao za msingi.Mama alituambia tushikamane tujenge uchumi na tusimzingue.
Mbowe alikuwa kimya ughaibuni sasa karidi na kuanza uchokozi
Uanze chokochoko halafu ukishughulikiwa unalialiaWenye shida ni wanao fanya uonevu kwa wengine na kukandamiza haki zao za msingi.
Haki yako isibigudhi ya wengineHua nashangaa sana pale watu wanapotumia haki zao kisheria halafu anatokea mtawala kuwaonea
Halafu nashangaa zaidi kuna wananchi kama Jingalao wanashabikia wanadamu wenzao kuonewa kwa kutumia haki zao
Jingalao ni shabiki wa magufuli,and hii uonevu yeye kwake ndio tambiko
Ni hivi:
-Samia with this anaenda kujenga chuki,internally na external
-Ubalozi wa America utatoa tamko kulaani haya
-European Union utatoa tamko pia
-Mambo yatarudi kule kule
Does it worth it kwa mama?Haisaidii kabisa going forward
Tupe kwanza maana ya chokochoko na utuambie anayefanya chokochoko ni yupi Kati ya pande hizi mbili.?Haki yako isibigudhi ya wengine
Nani alianza mbwembwe za kuongeaongea?Tupe kwanza maana ya chokochoko na utuambie anayefanya chokochoko ni yupi Kati ya pande hizi mbili.?
WanazinguanaMama alituambia tushikamane tujenge uchumi na tusimzingue.
Mbowe alikuwa kimya ughaibuni sasa karidi na kuanza uchokozi