Mbowe na CHADEMA mnataka kumkwamisha Rais Samia kwakuwa amewalegezea kidogo?

Mbowe na CHADEMA mnataka kumkwamisha Rais Samia kwakuwa amewalegezea kidogo?

Umeshalainika, huo uchumi ataurekebisha mpaka lini?

Chadema program iliyo muhimu kwao kwa sasa ni Katiba Mpya, vipi unataka kuwa divert wafanye wasichokitaka?

Rais kuambiwa ukweli sio kutishwa, wewe ulitaka aambiwe vipi? au ulitaka apigiwe magoti? utampigia vipi magoti mtu anayevunja sheria makusudi?

Ninachoamini, Chadema kama chama wataidai Katiba Mpya kwa kufuata njia zinazokubalika kisheria, iwe kwa mikutano ya hadhara au njia nyingine, hawatalazimisha kuidai Katiba Mpya kwa kuvunja sheria, na kama wakifanya hivyo hata mimi na wengine hatutakuwa upande wao.

Kwa namna hii kama taifa tutasubiri sana kufikia kile tunachokipigania, kama hata wale mnaoonekana mnauelewa wa jambo fulani mnapogeuzwa mawazo yenu kirahisi namna hii tena kwa propaganda za kitoto kabisa.

..wakati mwingine kiongozi anapokosea inabidi umuache aendelee na maamuzi yake na muda ndio utamfundisha kuwa amekosea.

..suala la kujenga au kurekebisha uchumi ni la muda wote as long as kuna serikali madarakani.

..sasa Rais Samia Suluhu amekuwa ktk uongozi muda mrefu, sikutegemea atoe kauli kama ile,lakini kwasababu ameitoa, basi tumpe muda na huko mbele ya safari, ktk muda muafaka, tutamhoji kuhusu uchumi.

..hapa naona ni kama ametupa wananchi hoja za kuupima uongozi wake. Kama uchumi wa nchi utaboreka, uwekezaji utaongezeka, ajira zitaongezeka,...
 
Friends and Enemies,

Mbowe na CHADEMA wanataka kutupeleka wapi Tena? Je, ni kweli kwamba walishazoea ile hali ya kupelekwa kibabe na mwendazake na wameikumbuka kisha wameanza kutingisha kibiriti?

Katiba mpya ni suala la mchakato, ni suala mtambuka na jumuishi kwa makundi mbali mbali ndani ya nchi hii.

Wao kama wanasiasa ni kundi moja tuh wenye maslahi yao na katiba hii, na maslahi yao kama chama cha siasa ni kushika Dola, lakini Kuna makundi mengine meengi ambayo nayo yana maslahi yao vile vile kama wao, sasa iweje wao walishikie bango kwa kiasi hiko hadi kutishia kuingia barabarani kufanya fujo?

Rais Samia kaahidi na kaomba apewe muda, hawataki na wanataka kulazimisha.

Magufuli hakuahidi, na alisema siyo kipaumbele chake, waliufyata na kukaa kimya, sasa tunawauliza wanataka KUMKWAMISHA huyu mama kwasababu gani?

Kwa kuwa ni Muislam au kwa kuwa ni mwanamke?

Wana ajenda gani kwani.
Kwao hiyo waislam hamtaki katiba kwa kuwa Raisi ana jina la kiislamu. Hamuachagi upumbavu wenu nyie watu
 
Wanataka katiba mpya kwa bunge gani?

Watu wa maana wote wanetoka chadema.

Na hawana lolote la maandamano wakitishwa kidogo tu wataufyata.

Wanamjaribu.

Ukweli Watanzania sasa wanataka kujenga nchi yao na uchumi hawana habari na vyama vurugu.

Kila mtu anatafuta fursa.

Chadema wanajua Mama anazidi kubeba points dhidi ya chadema
Pointi zipi wakati ndo kwanza gharama za maisha zinazidi kupanda

Mafuta bei juu
Chakula bei juu
Simu bei juu
 
Friends and Enemies,

Mbowe na CHADEMA wanataka kutupeleka wapi Tena? Je, ni kweli kwamba walishazoea ile hali ya kupelekwa kibabe na mwendazake na wameikumbuka kisha wameanza kutingisha kibiriti?

Katiba mpya ni suala la mchakato, ni suala mtambuka na jumuishi kwa makundi mbali mbali ndani ya nchi hii.

Wao kama wanasiasa ni kundi moja tuh wenye maslahi yao na katiba hii, na maslahi yao kama chama cha siasa ni kushika Dola, lakini Kuna makundi mengine meengi ambayo nayo yana maslahi yao vile vile kama wao, sasa iweje wao walishikie bango kwa kiasi hiko hadi kutishia kuingia barabarani kufanya fujo?

Rais Samia kaahidi na kaomba apewe muda, hawataki na wanataka kulazimisha.

Magufuli hakuahidi, na alisema siyo kipaumbele chake, waliufyata na kukaa kimya, sasa tunawauliza wanataka KUMKWAMISHA huyu mama kwasababu gani?

Kwa kuwa ni Muislam au kwa kuwa ni mwanamke?

Wana ajenda gani kwani.
We bwanamdogo nilidhani umeshapevuka na allegations zako za udini kumbe bado?! Tangu.enzi za jk ww na udini hadi leo.
Sie tunataka katiba rais awe muslamu, mbudha n.k
 
unakubali MEKO alikuwa muharibifu bora amenyakuliwa faster?
maana mihula iliyopita kabla ya MEKO hali ilikuwa bardiiiii Kuingia MHUTU mambo ni faya faya faya MUNGU akauzima

Yah,alikuwa ni kivuruge sana
 
..wakati mwingine kiongozi anapokosea inabidi umuache aendelee na maamuzi yake na muda ndio utamfundisha kuwa amekosea.

..suala la kujenga au kurekebisha uchumi ni la muda wote as long as kuna serikali madarakani.

..sasa Rais Samia Suluhu amekuwa ktk uongozi muda mrefu, sikutegemea atoe kauli kama ile,lakini kwasababu ameitoa, basi tumpe muda na huko mbele ya safari, ktk muda muafaka, tutamhoji kuhusu uchumi.

..hapa naona ni kama ametupa wananchi hoja za kuupima uongozi wake. Kama uchumi wa nchi utaboreka, uwekezaji utaongezeka, ajira zitaongezeka,...
Mjomba nakusoma vizuri nakuona kabisa majibu yote unayo ila umeamua tu kuifanya hii safari ya Katiba Mpya iwe ndefu zaidi, sijui kwa nini, kama hakuna muda kamili wa kumalizia hiyo kazi ya kujenga uchumi, kwanini basi uchumi na Katiba Mpya visiende kwa pamoja?
 
..wakati mwingine kiongozi anapokosea inabidi umuache aendelee na maamuzi yake na muda ndio utamfundisha kuwa amekosea.

..suala la kujenga au kurekebisha uchumi ni la muda wote as long as kuna serikali madarakani.

..sasa Rais Samia Suluhu amekuwa ktk uongozi muda mrefu, sikutegemea atoe kauli kama ile,lakini kwasababu ameitoa, basi tumpe muda na huko mbele ya safari, ktk muda muafaka, tutamhoji kuhusu uchumi.

..hapa naona ni kama ametupa wananchi hoja za kuupima uongozi wake. Kama uchumi wa nchi utaboreka, uwekezaji utaongezeka, ajira zitaongezeka,...
Hakuna mwana cccm anataka Katiba hiyo ya Samia kutaka kupewa muda ni Diversion kama za watawala wote wa ccm kuahirisha jambo ukweli ni kwamba hana NIA anachofanya nikuvuta muda wakukaa na kuondoka madarakani ili atakaekuja nae ataomba apewe muda chakufanya wote tunaojielewa tumwambia HAPANA tunataka KATIBA BORA sasa
 
Mama alituambia tushikamane tujenge uchumi na tusimzingue.
Mbowe alikuwa kimya ughaibuni sasa karidi na kuanza uchokozi
 
Mama anajizingua au anamzingua Mbowe? ukweli upo wazi Mama chini ya mwanvuri wa CCM hawezi kuongoza taifa bila kutumia nguvu,kwa kuwa ameyataka madaraka ajiandae tu kwa jina jipya Rais wa kwanza dikteta mwanamke, sijui kama atalipenda? lakini hana budi kuwatizama watoto wa mwendazake wanalifurahia hilo jina aliloliacha mwendazake? je wana furaha katika hayo? hasira ya waathirika nayo je haiwatii hofu? wana furaha ya kusimama mbele ya umma na kulitaja jina lake bila washika mitutu nyuma yao?
Mimi nasema ni yeye tu, katiba inamruhusu kuwa hivyo! huku akichagizwa na vigeregere vya wajinga wachache mataga wanaomchagiza kupita njia hiyo, akijisahau tu atapita mlemle kwa mwendazake furaha yake ni ya muda mfupi lakini madhara yatakilamba hadi kizazi chake cha nne, kwani histolia haitamsamehe over and out.
 
Mama alituambia tushikamane tujenge uchumi na tusimzingue.
Mbowe alikuwa kimya ughaibuni sasa karidi na kuanza uchokozi
Wenye shida ni wanao fanya uonevu kwa wengine na kukandamiza haki zao za msingi.
 
Hua nashangaa sana pale watu wanapotumia haki zao kisheria halafu anatokea mtawala kuwaonea

Halafu nashangaa zaidi kuna wananchi kama Jingalao wanashabikia wanadamu wenzao kuonewa kwa kutumia haki zao

Jingalao ni shabiki wa magufuli,and hii uonevu yeye kwake ndio tambiko

Ni hivi:

-Samia with this anaenda kujenga chuki,internally na external
-Ubalozi wa America utatoa tamko kulaani haya
-European Union utatoa tamko pia
-Mambo yatarudi kule kule


Does it worth it kwa mama?Haisaidii kabisa going forward
Haki yako isibigudhi ya wengine
 
Jingalao yupo kwenye kona yenye heri kwake na familia yake,kinachotokea kwa neighbor wake hajali na hizi ni elements za ukatili wa roho yake,kwake ni furaha mno kuona hali hii
 
Back
Top Bottom