Mbowe na CHADEMA mnataka kumkwamisha Rais Samia kwakuwa amewalegezea kidogo?

Mbowe na CHADEMA mnataka kumkwamisha Rais Samia kwakuwa amewalegezea kidogo?

Friends and Enemies,

Mbowe na CHADEMA wanataka kutupeleka wapi Tena? Je, ni kweli kwamba walishazoea ile hali ya kupelekwa kibabe na mwendazake na wameikumbuka kisha wameanza kutingisha kibiriti?

Katiba mpya ni suala la mchakato, ni suala mtambuka na jumuishi kwa makundi mbali mbali ndani ya nchi hii.

Wao kama wanasiasa ni kundi moja tuh wenye maslahi yao na katiba hii, na maslahi yao kama chama cha siasa ni kushika Dola, lakini Kuna makundi mengine meengi ambayo nayo yana maslahi yao vile vile kama wao, sasa iweje wao walishikie bango kwa kiasi hiko hadi kutishia kuingia barabarani kufanya fujo?

Rais Samia kaahidi na kaomba apewe muda, hawataki na wanataka kulazimisha.

Magufuli hakuahidi, na alisema siyo kipaumbele chake, waliufyata na kukaa kimya, sasa tunawauliza wanataka KUMKWAMISHA huyu mama kwasababu gani?

Kwa kuwa ni Muislam au kwa kuwa ni mwanamke?

Wana ajenda gani kwani.
Muda usio na kikomo? unaweza kusubiri? kumbuka Katiba sio mapenzi ya Mtawala hakuna mahali Duniani kote Mtawala akaridhia mabadiliko bila kusimamiwa
 
Alituweza sisi pekeyetu au Taifa zima?

Nan alikuwa Ana nafuu?

Sasa ahuen imeanza kuonekana badala ya wao watulie nchi ipate Aman na utulivu wanaanza leta choko choko
Mkuu watu wanachotaka kwenye ahueni hii iwekwe kwenye Sheria zetu ili hata akiondoka atakaekuja tubaki kwenye ahueni hiyo lkn Sasa tunaishi kwa Hisani ya Samia hatakiwi
 
Fucking kabisa Mimi,thank you...

Tunakera kama mavi ya asbh,kumbe na wewe unaenda choo pia??

Well,Usikasirike kuhusisha iman yake na jinsia yake katika hoja kama hii,

Mwendazake alikuwa mtu wa misimamo yake hususan katika suala kama hili la katiba,na alisema waz waz siyo kipaombele chake,lakin hawa jamaa zako wakakaa kimya na kuendelea na mambo mengine wengine walikimbia nchi,

Why hawakutaka Tena kumcomfront mwendazake?is it because he was fellow Christan or fear of mkono wake wa chuma??
Unashida kichwani sio bureee..how comes unahusisha imani ya mtu kwenye utendaji? Kwanza nani alikwambia walikaa kimyaa kuhusu katiba mpya kipind cha Jpm? Shida hukuwa unafuatilia yaliyokuwa yanazungumza kipindi kile..unakurupukaa tu kutoka huko msikitini na hoja dhaifu dhaifu..aaaahh..
 
Hiyo katiba ambayo chadema wanaidai ni katiba ya wananchi wote,siyo wao tuh...

Wananchi kama wananchi,I mean makundi mengine ukiachia hao wanasiasa,hiyo pressure yao ya kuitaka hiyo katiba mbona haipo visible??

Hakuna anaekataa suala la katiba mpya,na hata mama samia hajaikataa hoja ya katiba mpya,ameomba muda...

Sasa kama hao chadema hawataki na wanalazimisha inatupa maswali mengi Sana...

Ni ajenda yao binafsi au ajenda ya Taifa?kama ajenda ya Taifa basi watulie,suala la katiba ni suala linahitaj pia fedha...wao wanayo iyo fedha??

Cdm wanadai hiyo katiba mpya kwa mtazamo wao na ni halali yao, huyo rais na chama chake wanasema katiba haipo kwenye ilani yao. Unataka wabembeleze nini? Hao unaosema wananchi nani kawazuia kudai hiyo katiba mpya, kama ww unaona hamko tayari kwa hiyo katiba tulieni wanaoona waidai, siku mkiwa tayari mtadai ya kwenu.

Ni lini wananchi wa nchi hii wamekuwa na ajenda ya wazi ya pamoja, zaidi ya kusubiri kuongozwa na hao hao wanasiasa? Kila siku tunasikia tuwe na mjadala wa kitaifa kuhusu elimu yetu, afya, je ni lini ajenda hizo zimewahi kuratibiwa na hao wananchi, zaidi ya kuratibiwa na wanasiasa, na kuita watu wachache kwa jina la wadau na kupitisha watakacho? Nasema hivi, acha uduwanzi we dogo, kama unaona ccm wananyimwa raha kisa rais ni muisilamu, hiyo ni kimpango wako, watu walioko tayari wataidai hiyo katiba mpya, ww subiri siku huyo mama mkimuomba nyie waisilamu wenzake, awape katiba mpya kwa kuwaheshimu.
 
Akili zako azina akili, katiba mpya ni lazima, na ni kwa faida ya kizazi cha taifa.
Tatizo lenu MaCCM mnaona teuzi ndio legacy ya nchi.

Nchi ni yetu sote hii….!
Unadhani huyo jamaa ni kijani? anatetea Imani ya Mama
 
Mkuu watu wanachotaka kwenye ahueni hii iwekwe kwenye Sheria zetu ili hata akiondoka atakaekuja tubaki kwenye ahueni hiyo lkn Sasa tunaishi kwa Hisani ya Samia hatakiwi
Samia hajaikataa hoja ya katiba,

kaomba muda,we ukitaka aseme nin?

akubali kitu ambacho Hana uwezo nacho kwa sasa Ili mradi tuh awafurahishe chadema??

Hebu sema,ukitaka aseme nin
 
Wanataka katiba mpya kwa bunge gani?

Watu wa maana wote wanetoka chadema.

Na hawana lolote la maandamano wakitishwa kidogo tu wataufyata.

Wanamjaribu.

Ukweli Watanzania sasa wanataka kujenga nchi yao na uchumi hawana habari na vyama vurugu.

Kila mtu anatafuta fursa.

Chadema wanajua Mama anazidi kubeba points dhidi ya chadema
Uchumi uliharibiwa na nani
 
The problem is,you guys think that mna hati miliki ya kuzungumzia hiyo katiba kuliko makundi mengine yyte yale,you are very wrong..!

And does she seems like dancing taarabu??mnyonge mnyonge,mnaeza fananisha na yule jamaa yenu mchunga ng'ombe?

Give her a time.., hamtakii ingien barabaran af muone...!!
You must be so so crazy btch btch blocks
Chadema wameanzisha hili vuguvugu la Katiba so inatakiwa Kila kundi liendeleze ikiwa na pamoja na wauza korosho nk
 
Naanza kuamini hawa jamaa wanatumika,yaani wao hawataki kuona kuna utulivu! Wana visirani sana,lakini wasimchukulie mama poa,tena katika hili la katiba kawa mkweli,lakini kwa vile wamezoa kashkash wanaanza tena.
Wajinga kama nyie ndio mnaifanya hii Nchi ionekane Ina wapuuzi wengi
 
k
Alituweza sisi pekeyetu au Taifa zima?

Nan alikuwa Ana nafuu?

Sasa ahuen imeanza kuonekana badala ya wao watulie nchi ipate Aman na utulivu wanaanza leta choko choko
kwani hapo awali ilikuwa haina utulivu?
 
Cdm wanadai hiyo katiba mpya kwa mtazamo wao na ni halali yao, huyo rais na chama chake wanasema katiba haipo kwenye ilani yao. Unataka wabembeleze nini? Hao unaosema wananchi nani kawazuia kudai hiyo katiba mpya, kama ww unaona hamko tayari kwa hiyo katiba tulieni wanaoona waidai, siku mkiwa tayari mtadai ya kwenu.

Ni lini wananchi wa nchi hii wamekuwa na ajenda ya wazi ya pamoja, zaidi ya kusubiri kuongozwa na hao hao wanasiasa? Kila siku tunasikia tuwe na mjadala wa kitaifa kuhusu elimu yetu, afya, je ni lini ajenda hizo zimewahi kuratibiwa na hao wananchi, zaidi ya kuratibiwa na wanasiasa, na kuita watu wachache kwa jina la wadau na kupitisha watakacho? Nasema hivi, acha uduwanzi we dogo, kama unaona ccm wananyimwa raha kisa rais ni muisilamu, hiyo ni kimpango wako, watu walioko tayari wataidai hiyo katiba mpya, ww subiri siku huyo mama mkimuomba nyie waisilamu wenzake, awape katiba mpya kwa kuwaheshimu.

Reading between the lines i can spotlight your emotions,

You are underaged,

Hao chadema hawawez kutupangia kama.vile ambavyo ccm hawawez kutupangia,

Lakin kama saut ya mamlaka imesema inaomba mida mtafanya nin,mnaingia barabaran??

Ingien basi tuone,
 
Unadhani huyo jamaa ni kijani? anatetea Imani ya Mama

You are very very right...

You have just put it in the shortest term known to me.

Thank you,if it's like that then let it be...
 
Wapuuz Sana,ain't nobody opposed the issue of katiba,

wameambiwa it's okay,ngoja tujipange,hawataki wanasema ooh tunataka sasa hivi,aaah sasa hiv vip??

hali ya uchumi ni mbaya,Covid 19 na mambo mbali mbali dunian yameteteresha uchumi kila mtu anajua,anaomba muda aweze kujipanga hawataki wanataka kuingia barabaran,

hao Wana akili timamu Kweli??

wanataka hii katiba kwa maslahi ya Taifa au kwa maslahi ya hao kama chadema kushika Dola??

na watawezaje kushika Dola hata kumiliki japo jengo MOJA tuh na kufanya makao makuu ya chama hawana??
hawako serious
Mzee hakuna Mtawala anaekubali mabadiliko bila zengwe labda kama umepumzika kufikiri
 
k

kwani hapo awali ilikuwa haina utulivu?

Under mwendazake??

Huo utulivu utokee wapi??

Si walikuwa wanashinda mahakaman hawa daily,umesahau??

KIBOKO yao kavuta now they're pretending to be constitution heroes...
 
Reading between the lines i can spotlight your emotions,

You are underaged,

Hao chadema hawawez kutupangia kama.vile ambavyo ccm hawawez kutupangia,

Lakin kama saut ya mamlaka imesema inaomba mida mtafanya nin,mnaingia barabaran??

Ingien basi tuone,

Mimi binafsi nimesoma between the lines, nimeona ww ni muisilamu mpuuzi. Cdm hawawezi kukupangia ww na nani? Cdm wanadai katiba kwa mbinu zao, kama ww imekuuma pambana hiyo katiba isipatikane.
 
Watu wa pwani wana msemo unasema UKICHEZA NA MBWA ATAKUFUATA HADI MSIKITINI
Mama alianza kwa kucheza nao sasa asubiri wamfuate hadi msikitini

Nina uhakika kwa hii miaka 4 iliyobaki mama hawezi kuanzisha mchakato wa kupata katiba mpya na CHADEMA wanalijua hili ila wanatafuta kiki ambazo hazitakua na faida kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Friends and Enemies,

Mbowe na CHADEMA wanataka kutupeleka wapi Tena? Je, ni kweli kwamba walishazoea ile hali ya kupelekwa kibabe na mwendazake na wameikumbuka kisha wameanza kutingisha kibiriti?

Katiba mpya ni suala la mchakato, ni suala mtambuka na jumuishi kwa makundi mbali mbali ndani ya nchi hii.

Wao kama wanasiasa ni kundi moja tuh wenye maslahi yao na katiba hii, na maslahi yao kama chama cha siasa ni kushika Dola, lakini Kuna makundi mengine meengi ambayo nayo yana maslahi yao vile vile kama wao, sasa iweje wao walishikie bango kwa kiasi hiko hadi kutishia kuingia barabarani kufanya fujo?

Rais Samia kaahidi na kaomba apewe muda, hawataki na wanataka kulazimisha.

Magufuli hakuahidi, na alisema siyo kipaumbele chake, waliufyata na kukaa kimya, sasa tunawauliza wanataka KUMKWAMISHA huyu mama kwasababu gani?

Kwa kuwa ni Muislam au kwa kuwa ni mwanamke?

Wana ajenda gani kwani.
Well said mkuu Ila you are missing something
 
Hakuna aliposema hatak siasa,nyinyi wachaga acheni kujitia vichwa ngum,

Huko wanakozunguka kina mbowe nchi nzima wamezuiwa kufanya mikutano??

Mbona wanafanya siasa zao vizur tuh.?

Sometimes mnazingua Sana, mwendazake alikuwa na style yake ya kuwanyoosha kila siku mlikuwa mnalia,leo mnaona Kuna ahuen mnasikilizwa na kupewa uhuru mnataka kuleta ubabe,kwann hamtaki kutii mamlaka??

Huyu mama ni president,msisahau hilo na hakuna mwenye Nia ya kurud kwenye style ya mwendazake,Ila nyinyi chadema msijitie kama waganga wa katiba ni nyinyi pekeyenu,
Shida yako unataka watu waishi kwa Hisani ya Samia ni ujinga
 
Back
Top Bottom