Mbowe na CHADEMA mnataka kumkwamisha Rais Samia kwakuwa amewalegezea kidogo?

Mbowe na CHADEMA mnataka kumkwamisha Rais Samia kwakuwa amewalegezea kidogo?

Katiba ni mchakato, kwanini wanataka jambo hilo kwa kulazimisha? Bajeti ya kuliendea jambo hilo wanayo hao Chadema?
Na mikutano ya hadhara nalo ni jambo la mchakato ndugu Mwananchi?!

Btw, CHADEMA au yeyote yule ana haki ya kudai katiba mpya, na wala sio dhambi kudai katiba mpya!! CHADEMA kama chama cha siasa, nao ni wawakilishi wa hao uliowaita:-
Kuna makundi mengine meengi ambayo nayo yana maslahi yao vile vile kama wao, sasa iweje wao walishikie bango kwa kiasi hiko hadi kutishia kuingia barabarani kufanya fujo?
Hayo makundi mengine na wenyewe, baadhi yao ni wafuasi wa CHADEMA....

Hayo makundi mengine lazima yapate driving force ya ku-demand katiba mpya, ili hatimae, na wao wawasilishe yale wanayoona yanafaa exclusively kwa makundi yao, na taifa zima kwa jumla!!!

Kwahiyo sio sahihi kuaminishina wanachofanya CHADEMA ni hujuma, kwa sababu wana wajibu wa kufanya kile wanachofanya sasa... yaani kudai katiba mpya!!
 
Friends and Enemies,

Mbowe na chadema wanataka kutupeleka wapi Tena? Je, ni kweli kwamba walishaziea ile hali ya kupelekwa kibabe na mwendazake na wameikumbuka kisha wameanza kutingisha kibiriti?

Katiba mpya ni suala la mchakato, ni suala mtambuka na jumuishi kwa makundi mbali mbali ndani ya nchi hii.

Wao kama wanasiasa ni kundi moja tuh wenye maslahi yao na katiba hii, na maslahi yao kama chama cha siasa ni kushika Dola, lakini Kuna makundi mengine meengi ambayo nayo yana maslahi yao vile vile kama wao, sasa iweje wao walishikie bango kwa kiasi hiko hadi kutishia kuingia barabarani kufanya fujo?

Rais Samia kaahidi na kaomba apewe muda, hawataki na wanataka kulazimisha.

Magufuli hakuahidi, na alisema siyo kipaumbele chake, waliufyata na kukaa kimya, sasa tunawauliza wanataka KUMKWAMISHA huyu mama kwasababu gani?

Wana ajenda gani kwani.
Afanye kama Magufuli ICC sio Mbali
 
Nashangaa sana nikisoma thread zenu nyie mnaojiita/kuitwa vikongwe wa jf, mnatumia hoja za kitoto sana kupinga kila jambo lenye umuhimu kwa kuhusisha imani zenu, masuaka ya kitaifa hayachagui imani, hii Katiba iliyopo inatukandamiza wote bila kujali imani zetu.

Lakini nyie "vikongwe wa jf" kwa ufinyu wa fikra zenu mnaona bora watanzania waendelee kuonewa ilimradi yule wa imani yenu aliyepo pale ikulu asiguswe, haya mawazo yenu ni ya kijima, kijinga, na yanastahili kupingwa na kila mwenye akili timamu.

Nyie ndio mnaochelewesha maendeleo ya hii nchi kwa mawazo yenu ya kinafiki kwa kuingiza propaganda za kipuuzi kwenye mambo ya msingi ya kitaifa, wacheni huu upuuzi wenu, hakuna mtu mtakayemrudisha nyuma kwa "ujanja" wenu wa miaka ya 90.

Magufuli alipokosea mlikuwa midomo juu kudai anavunja sheria, leo huyu wa kwenu anaharibu mnaingiza "imani" ili kuwatisha watu wasimuonye, kama mnashindwa kuongoza taifa kwa kuona imani zenu ni muhimu zaidi ya maendeleo ya kitaifa, ondokeni serikalini mkajifungie misikitini huko ndiko kunakowafaa.

Mwisho kabisa, sio Mbowe wala Chadema waliomuogopa Magufuli, wangekuwa wanamuogopa wangejifungia ndani wasiseme chochote, kumpinga Magufuli na matendo yake ndiko kulipelekea wao wawekwe rumande kila siku, huu sio uoga ni ujasiri, na huyu wa sasa nae kama amekubali kukaa kwenye kile kiti lazima aambiwe ukweli anapopotoka bika kujali jinsia yake.

Huna haja ya kukasirika,

Swali linasema hivi,

Chadema na mbowe wanataka KUMKWAMISHA RAIS SAMIA KWA KUWA NI MWANAMKE au kwa kuwa ni Muislam?

Mantiki ya hilo swali ni kwamba huyu mama kaonesha Nia ya kufanya kaz na wapinzan,na hata Hilo la katiba hajapinga,anaomba apewe muda...

Sasa kama chadema hawataki kunisikiliza na wanataka kulazimisha inashangaza Sana,that's why tunawauliza swali hilo,Wana ajenda gani??
 
Na mikutano ya hadhara nalo ni jambo la mchakato ndugu Mwananchi?!

Btw, CHADEMA au yeyote yule ana haki ya kudai katiba mpya, na wala sio dhambi kudai katiba mpya!! CHADEMA kama chama cha siasa, nao ni wawakilishi wa hao uliowaita:-

Hayo makundi mengine na wenyewe, baadhi yao ni wafuasi wa CHADEMA....

Hayo makundi mengine lazima yapate driving force ya ku-demand katiba mpya, ili hatimae, na wao wawasilishe yale wanayoona yanafaa exclusively kwa makundi yao, na taifa zima kwa jumla!!!

Kwahiyo sio sahihi kuaminishina wanachofanya CHADEMA ni hujuma, kwa sababu wana wajibu wa kufanya kile wanachofanya sasa... yaani kudai katiba mpya!!

Wapi president SAMIA kakataza wao,chadema wasifanye shughuli zao za kisiasa??

Wapo huko mikoan kila siku wanafanya mikutano,je wamezuiwa??

Kama hawajazuiwa,sasa wanataka nini,

Na katiba hii ni ya wananchi,siyo ya chadema na wao hawana hati miliki ya kutuamulia sisi,they are just politicians
 
THE BIG SHOW ,

..Natofautiana na wewe unapohusisha harakati za Chadema kudai Katiba mpa na suala la IMANI ya Rais Samia Suluhu pamoja na JINSIA yake.

..Kilichotokea kati ya Rais Samia Suluhu na uongozi wa Chadema ni kupishana kwa mitizamo yao kuhusu muda gani ni sahihi kwa suala la Katiba mpya kushughulikiwa.

..sisi tunaowafuatilia viongozi hawa, tunapaswa kupima kauli na misimamo iliyotolewa na kila upande, na kuangali upande upi umejenga hoja iliyo sahihi.

..Binafsi sijakubaliana na hoja ya Rais Samia Suluhu ya kuzuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa. Zuio hilo linakwenda kinyume cha katiba na sheria zetu.

..Pia sijashawishika na hoja ya Rais Samia Suluhu kwamba wabunge peke yao ndio wanaoruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara. Uamuzi huo ukitekelezwa utakipendelea chama cha Raisi, CCM, na kuvikandamiza vyama vingine vya siasa.

..Vyama vya upinzani huku Tanganyika vina mbunge ktk jimbo moja tu, hivyo CCM watafanya mikutano ktk majimbo zaidi ya 200++ nchi nzima, huku Chadema wakifanya mikutano katika jimbo moja tu.

..Kwa upande mwingine nadhani Mh.Mbowe anakosea anapolalamika, au kulazimisha, Rais akutane na Chadema. Kama Rais anaamini muda haujafika wa kuonana na Chadema basi wamuache aendelee na ratiba na majukumu yake aliyojipangia.

..Kila upande hapa uendelee na shughuli, ratiba, na mipango yake. Raisi Samia Suluhu aendelee kurekebisha uchumi kama alivyoahidi. Chadema nao waendelee na operation yao ya kuelimisha kuhusu Katiba mpya, na wasibugudhiwe na mtu au chombo chochote.

..Rais Samia Suluhu akirekebisha uchumi Watz wote tutafaidika. Chadema nao wakihamasisha kuhusu Katiba bora umma mzima utafaidika.
Niseme nini tena! Umemaliza kila kitu.
 
Wapi president SAMIA kakataza wao,chadema wasifanye shughuli zao za kisiasa??

Wapo huko mikoan kila siku wanafanya mikutano,je wamezuiwa??

Kama hawajazuiwa,sasa wanataka nini,

Na katiba hii ni ya wananchi,siyo ya chadema na wao hawana hati miliki ya kutuamulia sisi,they are just politicians
Sheria ya Vyama vya Siasa kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2019, Kifungu cha 11 (1) (a) kinasema:-
Every political party provisionally or fully registered shall be entitled to hold and address public meetings in any area in the United Republic after giving notification to the police officer in charge of the area concerned for purposes of publicising itself and soliciting for membership.
Wakati huo huo, linapokuja suala la haki hiyo ya kisheria, Mama Samia anasema:-



Sasa how come SSH atoe mipaka ya watu kufanya siasa wakati sheria inatoa haki kwa vyama vya siasa kufanya mikutano popote pale kwenye ardhi ya Tanzania?
 
Huu ni mwaka wa 17 Mbowe anaongoza CHADEMA, ukiwaambia watafute kiongozi mwingine wanaleta stori za Nyerere kuongoza Tanzania kwa miaka 24.
 
Huna haja ya kukasirika,

Swali linasema hivi,

Chadema na mbowe wanataka KUMKWAMISHA RAIS SAMIA KWA KUWA NI MWANAMKE au kwa kuwa ni Muislam?

Mantiki ya hilo swali ni kwamba huyu mama kaonesha Nia ya kufanya kaz na wapinzan,na hata Hilo la katiba hajapinga,anaomba apewe muda...

Sasa kama chadema hawataki kunisikiliza na wanataka kulazimisha inashangaza Sana,that's why tunawauliza swali hilo,Wana ajenda gani??
Sipendezwi na namna unavyotumia kivuli cha imani yako kuficha madhaifu ya mtawala, hii tabia sio nzuri na inaturudisha nyuma kama taifa.

- Unaposema Samia anataka apewe muda, niambie, apewe miezi au miaka mingapi?

All in all, sikuona umuhimu wowote kwako kuingiza masuala ya imani kwenye mambo yanayohusu maslahi ya taifa, hii kwangu naona ni kuishiwa hoja tu, hakuna kingine, simply unataka kuwapata wa imani yako wenye uwezo mdogo wa kuchambua mambo wakupe support, wacha hii michezo yenu ya kizamani na kishamba.
 
Kwani Samia naye anataka kuanza kuteka na kuua watu?

Kama anataka afanye tu lakini wananchi tunataka katiba mpya kwa mujibu wa sheria ya mabadiliko ya katiba ya mwaka 2012.

Na pia tunataka haki za vyama kufanya siasa zilizoko kwa mujubu aa sheria ziheshimiwe!
 
It's Astonishing,

If you are really men why don't you guys organized your selves during the era of Magufuli and go to the road crying for katiba mpya??

Mnaoongeaa kwa courage na ubabe utadhan kama sio nyie vile ambao mlikuwa mmejifungia ndan na kuunga mkono juhud,

Kama ni wanaume kweli ambao mlikuwa mnahitaj katiba mlipaswa kuonesha guts zenu kipindi Cha jiwe,msitake saiz kujifanya saiz mko na hiyo morale simply because mnaona hakuna mkono wa chuma kama ule
Kwa taarifa yako madictator wote hutawala muda mrefu, sio kwa kuwa hawapingwi bali huchukua muda mrefu kuwatoa. Mfano Moi, Elbashir, Gaddaf, Mugabe nk. Wote hao hakuna aliyetawala chini ya miaka 10, lakini walitoka kwa aibu na mwingine kifo juu. Kwa taarifa yako hata yule dhalimu angeingia kwenye kilengeo tu, ilikuwa ni suala la mda. Hata hivyo leo yuko wapi? Wakoloni walitutawala kwa zaidi ya miaka 50, tena wakiwa wametoka mbali, wakati huo mababu zetu walikuwa wanawake? Acha upuuzi dogo, kila jambo lina muda wake.

Nasema hivi, usituletee uisilamu wako wa kipuuzi kwenye madai halali, mikutano inayofanyika ni ya ndani, na inatoa madai halali. Isitoshe hawa wanaokataa hii katiba mpya wako madarakani kupitia uchaguzi wa kihayawani, kwanini wabembelezwe utakavyo ww? Ww kadai kwa kubembeleza na hao waisilamu wenzio, atawapa maana mna nidhamu. Unajifanya una uchungu wa katiba kudaiwa kuliko hata hao ccm. Mpuuzi mkubwa.
 
Sheria ya Vyama vya Siasa kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2019, Kifungu cha 11 (1) (a) kinasema:-

Wakati huo huo, linapokuja suala la haki hiyo ya kisheria, Mama Samia anasema:-



Sasa how come SSH atoe mipaka ya watu kufanya siasa wakati sheria inatoa haki kwa vyama vya siasa kufanya mikutano popote pale kwenye ardhi ya Tanzania?


Sasa kipi kibaya alichozungumza??

Wabunge kwenye majimbo yao wako huru kufanya mikutano ya kisiasa na hao viongoz wao pia wanatuhumiwa kufanya mikutano ya ndan na kujenga vyama vyao,

Sasa unataka mbunge wa hai aende akafanye mikutano ya siasa mkuranga??

Mbowe kama mwenyekiti wa chama unadhan akiungana na mbunge wa mkuranga kwenye huo mkutano atazuiwa??
 
Sasa kipi kibaya alichozungumza??

Wabunge kwenye majimbo yao wako huru kufanya mikutano ya kisiasa na hao viongoz wao pia wanatuhumiwa kufanya mikutano ya ndan na kujenga vyama vyao,

Sasa unataka mbunge wa hai aende akafanye mikutano ya siasa mkuranga??

Mbowe kama mwenyekiti wa chama unadhan akiungana na mbunge wa mkuranga kwenye huo mkutano atazuiwa??
Kwanini atoe mipaka?!

Vipi kuhusu vyama ambavyo havina hwabunge, ambavyo kimsingi, ukiondoa CCM, vilivyobaki VYOTE havina wabunge huku bara?!

Vipi kuhusu vyama ambavyo havina uongozi kwenye baadhi ya maeneo wakati sheria inasema wazi kwamba "...for purposes of publicising itself and soliciting for membership." Kumbe, hata sheria inafahamu vyama vya siasa vimepewa hiyo haki ambayo pia wanaweza kuitumia kujitangaza au kupata wanachama!!

SSH anasema wanaoruhusiwa ni Wabunge, tena kwenye maeneo yao!! Sasa kwa takwa lake hilo vyama vitaweza vipi kufanya mikutano POPOTE PALE ndani ya Tanzania ili kujitangaza na kupata wanachama maeneo ambayo hawana uongozi?
 
Kwa taarifa yako madictator wote hutawala muda mrefu, sio kwa kuwa hawapingwi bali huchukua muda mrefu kuwatoa. Mfano Moi, Elbashir, Gaddaf, Mugabe nk. Wote hao hakuna aliyetawala chini ya miaka 10, lakini walitoka kwa aibu na mwingine kifo juu. Kwa taarifa yako hata yule dhalimu angeingia kwenye kilengeo tu, ilikuwa ni suala la mda. Hata hivyo leo yuko wapi? Wakoloni walitutawala kwa zaidi ya miaka 50, tena wakiwa wametoka mbali, wakati huo mababu zetu walikuwa wanawake? Acha upuuzi dogo, kila jambo lina muda wake.

Nasema hivi, usituletee uisilamu wako wa kipuuzi kwenye madai halali, mikutano inayofanyika ni ya ndani, na inatoa madai halali. Isitoshe hawa wanaokataa hii katiba mpya wako madarakani kupitia uchaguzi wa kihayawani, kwanini wabembelezwe utakavyo ww? Ww kadai kwa kubembeleza na hao waisilamu wenzio, atawapa maana mna nidhamu. Unajifanya una uchungu wa katiba kudaiwa kuliko hata hao ccm. Mpuuzi mkubwa.

Hiyo katiba ambayo chadema wanaidai ni katiba ya wananchi wote,siyo wao tuh...

Wananchi kama wananchi,I mean makundi mengine ukiachia hao wanasiasa,hiyo pressure yao ya kuitaka hiyo katiba mbona haipo visible??

Hakuna anaekataa suala la katiba mpya,na hata mama samia hajaikataa hoja ya katiba mpya,ameomba muda...

Sasa kama hao chadema hawataki na wanalazimisha inatupa maswali mengi Sana...

Ni ajenda yao binafsi au ajenda ya Taifa?kama ajenda ya Taifa basi watulie,suala la katiba ni suala linahitaj pia fedha...wao wanayo iyo fedha??
 
Kwanini atoe mipaka?! Vipi kuhusu vyama ambavyo wabunge, ambavyo kimsingi, ukiondoa CCM, vilivyobaki VYOTE havina wabunge!!

Vipi kuhusu vyama ambavyo havina uongozi kwenye baadhi ya maeneo wakati sheria inasema wazi kwamba "...for purposes of publicising itself and soliciting for membership." Kumbe, hata sheria inafahamu vyama vya siasa vimepewa hiyo haki ambayo pia wanaweza kuitumia kujitangaza au kupata wanachama!!

SSH anasema wanaoruhusiwa ni Wabunge, tena kwenye maeneo yao!! Sasa kwa takwa lake hilo vyama vitaweza vipi kufanya mikutano POPOTE PALE ndani ya Tanzania ili kujitangaza na kupata wanachama maeneo ambayo hawana uongozi?

Sawa,hivyo vyama ambavyo havina wabunge wanataka kufanya mikutano ya kuikashifu serikali au kujenga vyama??

Kama wanataka kufanya mikutano ya kujenga vyama,je mikutano ya ndan haiwasaidii kujenga chama??

Kama haiwasaidii,na Wana Nia chanya ya kujenga vyama vyao,hiyo siyo hoja ambayo inaweza pingwa ikiwekwa mezan,ambacho wananchi hatutak ni hayo mambo yao ya maandamano na siasa za fujo na matusi,tushahama huko kwenye siasa za kishamba shamba
 
Kwanini atoe mipaka?! Vipi kuhusu vyama ambavyo wabunge, ambavyo kimsingi, ukiondoa CCM, vilivyobaki VYOTE havina wabunge!!

Vipi kuhusu vyama ambavyo havina uongozi kwenye baadhi ya maeneo wakati sheria inasema wazi kwamba "...for purposes of publicising itself and soliciting for membership." Kumbe, hata sheria inafahamu vyama vya siasa vimepewa hiyo haki ambayo pia wanaweza kuitumia kujitangaza au kupata wanachama!!

SSH anasema wanaoruhusiwa ni Wabunge, tena kwenye maeneo yao!! Sasa kwa takwa lake hilo vyama vitaweza vipi kufanya mikutano POPOTE PALE ndani ya Tanzania ili kujitangaza na kupata wanachama maeneo ambayo hawana uongozi?

Sawa,hivyo vyama ambavyo havina wabunge wanataka kufanya mikutano ya kuikashifu serikali au kujenga vyama??

Kama wanataka kufanya mikutano ya kujenga vyama,je mikutano ya ndan haiwasaidii kujenga chama??

Kama haiwasaidii,na Wana Nia chanya ya kujenga vyama vyao,hiyo siyo hoja ambayo inaweza pingwa ikiwekwa mezan,ambacho wananchi hatutak ni hayo mambo yao ya maandamano na siasa za fujo na matusi,tushahama huko kwenye siasa za kishamba shamba
Rais Samia Suluhu ajielekeze kurekebisha uchumi.

Chadema wao waendelee na program zao wanazoona ni muhimu kwa chama chao.

Suala la katiba mpya siyo vibaya Chadema wakaanza nalo, na Rais Samia Suluhu akawakuta mbele ya safari ikiwa atapenda kuwaunga mkono.

Kama,wanataka kutoa aware ness kwa wananchi na elimu juu ya suala la katiba hakuna wa kuwazuia,Ila wasitumie nafas hiyo kuhamasisha vurugu kwa wananchi na kumlazimisha RAIS awape la mpya kwa matakwa yao,hilo haliwezekan hata wao wangekuwa ni Dola
 
Friends and Enemies,

Mbowe na CHADEMA wanataka kutupeleka wapi Tena? Je, ni kweli kwamba walishazoea ile hali ya kupelekwa kibabe na mwendazake na wameikumbuka kisha wameanza kutingisha kibiriti?

Katiba mpya ni suala la mchakato, ni suala mtambuka na jumuishi kwa makundi mbali mbali ndani ya nchi hii.

Wao kama wanasiasa ni kundi moja tuh wenye maslahi yao na katiba hii, na maslahi yao kama chama cha siasa ni kushika Dola, lakini Kuna makundi mengine meengi ambayo nayo yana maslahi yao vile vile kama wao, sasa iweje wao walishikie bango kwa kiasi hiko hadi kutishia kuingia barabarani kufanya fujo?

Rais Samia kaahidi na kaomba apewe muda, hawataki na wanataka kulazimisha.

Magufuli hakuahidi, na alisema siyo kipaumbele chake, waliufyata na kukaa kimya, sasa tunawauliza wanataka KUMKWAMISHA huyu mama kwasababu gani?

Kwa kuwa ni Muislam au kwa kuwa ni mwanamke?

Wana ajenda gani kwani.
Nimesoma hadi mwisho bandiko lako nilipotaka kulisuport mwishoni kabisaa ukaharibu kwa sentensi moja..kwamba kwa kuwa ni muislam..fucking kabisaa ww..udini unaingiage hapo? Kwan ukiwa muislam ndo unakwamisha kwa ajil ya dini yako..hv nyie watu mtalalamika hadi lin na uislamu wenu..aisee mnakeraa kama mavi ya asubuh..
 
Nimesoma hadi mwisho bandiko lako nilipotaka kulisuport mwishoni kabisaa ukaharibu kwa sentensi moja..kwamba kwa kuwa ni muislam..fucking kabisaa ww..udini unaingiage hapo? Kwan ukiwa muislam ndo unakwamisha kwa ajil ya dini yako..hv nyie watu mtalalamika hadi lin na uislamu wenu..aisee mnakeraa kama mavi ya asubuh..

Fucking kabisa Mimi,thank you...

Tunakera kama mavi ya asbh,kumbe na wewe unaenda choo pia??

Well,Usikasirike kuhusisha iman yake na jinsia yake katika hoja kama hii,

Mwendazake alikuwa mtu wa misimamo yake hususan katika suala kama hili la katiba,na alisema waz waz siyo kipaombele chake,lakin hawa jamaa zako wakakaa kimya na kuendelea na mambo mengine wengine walikimbia nchi,

Why hawakutaka Tena kumcomfront mwendazake?is it because he was fellow Christan or fear of mkono wake wa chuma??
 
Friends and Enemies,

Mbowe na CHADEMA wanataka kutupeleka wapi Tena? Je, ni kweli kwamba walishazoea ile hali ya kupelekwa kibabe na mwendazake na wameikumbuka kisha wameanza kutingisha kibiriti?

Katiba mpya ni suala la mchakato, ni suala mtambuka na jumuishi kwa makundi mbali mbali ndani ya nchi hii.

Wao kama wanasiasa ni kundi moja tuh wenye maslahi yao na katiba hii, na maslahi yao kama chama cha siasa ni kushika Dola, lakini Kuna makundi mengine meengi ambayo nayo yana maslahi yao vile vile kama wao, sasa iweje wao walishikie bango kwa kiasi hiko hadi kutishia kuingia barabarani kufanya fujo?

Rais Samia kaahidi na kaomba apewe muda, hawataki na wanataka kulazimisha.

Magufuli hakuahidi, na alisema siyo kipaumbele chake, waliufyata na kukaa kimya, sasa tunawauliza wanataka KUMKWAMISHA huyu mama kwasababu gani?

Kwa kuwa ni Muislam au kwa kuwa ni mwanamke?

Wana ajenda gani kwani.
Una point kubwa sana lakini why udini?
 
Alituweza sisi pekeyetu au Taifa zima?

Nan alikuwa Ana nafuu?

Sasa ahuen imeanza kuonekana badala ya wao watulie nchi ipate Aman na utulivu wanaanza leta choko choko
Solutions ya hizo chokochoko zao zikiendelea ni nini? Utamshauri mama awafanye nini? Kwa namna upepo unavovuma ni wazi zinaongezeka kila uchao.
 
Kudai katiba mpya si choko choko.Katiba mpya ni zaidi ya ahueni,Katiba mpya ndio maendeleo halisi.

Fikiria 80% ya wawakilishi hawakuchaguliwa na wananchi,sasa huu ni zaidi ya ukoloni.

Katiba ndio ilimwingiza Samia Ikulu,lazima wakati wowote atii na kufuata katiba vinginevyo hana tofauti na mtangulizi wake.

Ikiwa tulimpinga Mwendazake kwanini leo unashindwa kumpinga Mama ????.

Ukisikia unafiki wa kiwango cha SGR ndio huu.

Hakuna mtu asiejua umuhim wa katiba mpya,na hoja hii chadema wasifanye ni ya kwao,katiba mpya ni muhim kwa makundi mbali mbali ndan ya nchi hii,

Wao Wana maslahi yao kama wanasiasa na wengine pia tuna maslahi yetu pia,

Samia hajapinga hoja ya katiba,kaomba apewe muda hawa hawataki,wanataka afanyeje??

Mbona mwendazake alikataa kabisa na hawakufanya chochote??na ndiyo maana tunawapa mashit ya roho kuwa hizi mbwembwe hawakuonesha kwa mwendazake because he was fellow Christan??or fear of mkono wake wa chuma
 
Back
Top Bottom