Igurumuki Masanja
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 993
- 2,021
Katiba na sheria za nchi zinasemaje kuhusu unacholalamikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wabunge wao 19 imekuwaje? MBOWE NI TAPELI.Kwani rais anatakiwa afanye kwa utashi wake au katiba na matakwa ya wananchi wake? Tatizo wewe unaangalia mambo kwa jicho la uislamu
Acha ujinga wewe!!! Unadhani maccm au Samia ndiyo wenye hati miliki ya Tanzania? Mfumo wa vyama vingi ni lazima uendane na Katiba ya vyama vingi na huyo Samia kuambiwa ukweli kuhusu Katiba mpya si kumtisha. Acha kuonyesha ujuha wako hadharani.
Sasa ifanyeni hiyo mikutano bila ya vibali vya POLISI......Utakuwa kwa vyovyote vile wewe ni mjinga maana unaongea ujinga mleta mada.
Suala la kufanya mikutano ya hadhara halihitaji ruhusa ya kiumbe yeyote ktk ardhi ya Tanzania. Ni haki ya kikatiba.
Kumpa muda SSH, nalo halimhusu. Taida siyo familia au mali binafsi ya Samia.
Mbowe yuko sahihi.
Anaewalinda covidi 19 ni mbowe au kimbunga jobo?Wale wabunge wao 19 imekuwaje? MBOWE NI TAPELI.
Hiyo katiba na hizo sheria zilikuwepo kipindi cha awamu ya 5.....Katiba na sheria za nchi zinasemaje kuhusu unacholalamikia
Wananchi hawakilishwi kwenye mitandao.Kwani rais anatakiwa afanye kwa utashi wake au katiba na matakwa ya wananchi wake? Tatizo wewe unaangalia mambo kwa jicho la uislamu
CDM wakipewa dolla watafika climax kiuchumi baada ya mda gan!Uchumi gani Usioimalika toka mwaka 77?.
Mjinga wewe unayeshikia akili na Mbowe.
Polisi itatokewa taarifa siyo kuomba kibali ndiyo katiba isemavyo.Sasa ifanyeni hiyo mikutano bila ya vibali vya POLISI......
Matapeli ndo yanataka katiba mpya kwa nguvu,Wananchi Wanataka KATIBA MPYA hatwishwi Mtu hapa
Wanaume hawazungumzi. Wanafanya.Utakuwa kwa vyovyote vile wewe ni mjinga maana unaongea ujinga mleta mada.
Suala la kufanya mikutano ya kisiasa ya hadhara halihitaji ruhusa ya kiumbe yeyote ktk ardhi ya Tanzania. Ni haki ya kikatiba.
Kumpa muda SSH, nalo halimhusu. Taida siyo familia au mali binafsi ya Samia.
Mbowe yuko sahihi.
Hii iliyokuwepo ujui hata inarangi ganiWananchi Wanataka KATIBA MPYA hatwishwi Mtu hapa
Kumbe tabia ya kutishiatishia wamewarithisha hadi nyie wake zao.Wewe nimeshakudharau, na kamwe usini quote kipuuzi. Otherwise nitakuweka kwenye ignore list.
Wabongo ni watu wa kujitolea.Fala anaweza kuchangiwa mil 350 akiwa jela ndani ya 74hrs au wewe unatumika kuwaharibia ccm