Mbowe na genge lako, mnamtisha Amiri Jeshi Mkuu akitumia madaraka yake muanze tena kulalamika?

Mbowe na genge lako, mnamtisha Amiri Jeshi Mkuu akitumia madaraka yake muanze tena kulalamika?

Mara wachaga this wachaga that
Leo Rais atajijuu..eh we Baba tupumzishe kidogo basi

yani hata ambao walikuwa wanawaona mna point muda mwingine sasa wanawashangaa

Mama hajakataa.,mbona kukosa subira?.
 
Polisi itatokewa taarifa siyo kuomba kibali ndiyo katiba isemavyo.

Lkn kauli ya rais SSH itapuuzwa na akiendelea kushupaza shingo naye atapuizwa
Hamkumpuuza hayati JPM....

Anzeni kumpuuza mh.SSH.....

Msisahau tu URAIS aliokuwa nao hayati JPM bado upo.....
 
Huwezi kupima kiwango cha mchezaji kabla ya kuingia uwanjani.
Sahihi..katiba yetu inahitaji maboresho makubwa bt kuwe na Cleare means of presentation sio kauli za vitisho anazotoa Mh Mbowe .
 
Wanaume hawazungumzi. Wanafanya.

Mbowe apunguze kuongea. Afanye tuone.

Kwanza nchi hii, hakuna kitu chochote cha maana wamewahi kukipata upinzani bila ridhaa yenyewe ya hao CCM.

Ni kitu gani wamewahi kushinkiza wakakipata?

Hakuna.
Hakuna....na hakitokuwepo.....🤣
 
naamini mbowe is very smart katika siasa zetu, mikutano atafanya lakini ni ile mama aliyoiruhusu atafanya kwenye majimbo aliyo na wabunge, sasa angalia wale covid wanavyokuja kumnufaisha maana ni wabunge wa mikoa/taifa wale
 
Sahihi..katiba yetu inahitaji maboresho makubwa bt kuwe na Cleare means of presentation sio kauli za vitisho anazotoa Mh Mbowe .
Binafsi sifungamani na kauli za vitisho, ila hili linafanyika labda ni katika ile hali ya kuonyesha msisitizo wa jambo lenyewe kutokana na umuhimu wake.
 
naamini mbowe is very smart katika siasa zetu, mikutano atafanya lakini ni ile mama aliyoiruhusu atafanya kwenye majimbo aliyo na wabunge, sasa angalia wale covid wanavyokuja kumnufaisha maana ni wabunge wa mikoa/taifa wale
Ana wabunge majimboni kwani?.

kina nani?.
 
Wanaukumbi
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu asiyetambua umuhimu wa Katiba Mpya; tunapishana sehemu ndogo sana ‘timing’ na vipaumbele vya kitaifa kwa sasa viwe ni 1.Katiba Mpya au kupambana na 2.Janga la Corona na 3.Kuinua Uchumi na hali za wananchi masikini?
Sisi Watanzania tumechagua muhimu 2 na 3.

Mbowe na wafuasi wako mnachekesha sana hivi mnataka rais wetu afuate mnachotaka nyie kwa maslahi yenu?
Rais akitumia madaraka yake kama katiba unavyomtaka mtaanza tena kulia kuwa Tanzania hamna demokrasia.

Nakushauri Mbowe zile pesa mlizorudishiwa na mahakama jengeni ofisi kwanza ondokeni Ufipa mlilpopanga vyumba viwili hamna mtanzania anaweza kuwaamini wewe na kundi lako.
Hayo madaraka yake makubwa ndio tunataka tuyapunguze kwenye Katiba mpya
 
Kwa ufinyu wa akili yako wewe mwenye akili ya KUDEMKA. Wapuuzi kama wewe ni hasara kubwa sana kwa Taifa.
Hasara kubwa kwa taifa ni nyie pro-Chadema JF mwaka wa 20 sasa mmekuwa mateka wa DJ Mbowe kila uharo anaosema mnameza tu.
 
Wanaukumbi
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu asiyetambua umuhimu wa Katiba Mpya; tunapishana sehemu ndogo sana ‘timing’ na vipaumbele vya kitaifa kwa sasa viwe ni 1.Katiba Mpya au kupambana na 2.Janga la Corona na 3.Kuinua Uchumi na hali za wananchi masikini?
Sisi Watanzania tumechagua muhimu 2 na 3.

Mbowe na wafuasi wako mnachekesha sana hivi mnataka rais wetu afuate mnachotaka nyie kwa maslahi yenu?
Rais akitumia madaraka yake kama katiba unavyomtaka mtaanza tena kulia kuwa Tanzania hamna demokrasia.

Nakushauri Mbowe zile pesa mlizorudishiwa na mahakama jengeni ofisi kwanza ondokeni Ufipa mlilpopanga vyumba viwili hamna mtanzania anaweza kuwaamini wewe na kundi lako.
Mama yupo a lot wiser na ana hofu ya Mungu kuliko yule mtangulizi wake - ambaye kiukweli he was an out-and-out nutter.

Mama anatambua kabisa kuwa akileta ubabe wa kupiga, kuteka, kupoteza, kutesa, kufunga na kuua watu naye atamfuata aliko mtangulizi wake siku si nyingi kwani Mungu wa Watanzania ni Mungu wa haki - na hataniwi hata kidogo!

Risasi moja inao uwezo wa kuua hata watu 2 au 3 kwa mpigo lakini risasi 16 zilishindwa kumuua mtu 1 (Tundu Lissu) ambaye Mungu kwa kusudi maalumu amemuacha hai hadi leo ili ashuhudie watesi wake wanaondoka dunia hii mmoja baada ya mwingine - and counting!
 
Kumbe tabia ya kutishiatishia wamewarithisha hadi nyie wake zao.
Mpuuzi kabisa, unanitisha mimi? Mimi huyuhuyu?
Huyu mushi,walikua group moja na kina yerico nyerere,ben saanane back then in 2007 ,tumemenyana nao sana hawa,hawa ni extremists,,sema yerico aliachaga huu ujinga akaanza kutunga vitabu..
 
Back
Top Bottom