KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Huwezi kupima kiwango cha mchezaji kabla hajaingia uwanjani.CDM wakipewa dolla watafika climax kiuchumi baada ya mda gan!
Hamkumpuuza hayati JPM....Polisi itatokewa taarifa siyo kuomba kibali ndiyo katiba isemavyo.
Lkn kauli ya rais SSH itapuuzwa na akiendelea kushupaza shingo naye atapuizwa
🤣🤣Wabongo ni watu wa kujitolea.
Haya walichanga hiyo 250M sasa waambie wajitokeze barabarani kupambania katiba mpya, hutaona mtu.
Huyo jamaa ni mwenyekiti wa GENGE....Mara wachaga this wachaga that
Leo Rais atajijuu..eh we Baba tupumzishe kidogo basi
yani hata ambao walikuwa wanawaona mna point muda mwingine sasa wanawashangaa
Mama hajakataa.,mbona kukosa subira?.
Nani amchangie mlevi huyo, lile lilikuwa ni igizoFala anaweza kuchangiwa mil 350 akiwa jela ndani ya 74hrs au wewe unatumika kuwaharibia ccm
Sahihi..katiba yetu inahitaji maboresho makubwa bt kuwe na Cleare means of presentation sio kauli za vitisho anazotoa Mh Mbowe .Huwezi kupima kiwango cha mchezaji kabla ya kuingia uwanjani.
Hakuna....na hakitokuwepo.....🤣Wanaume hawazungumzi. Wanafanya.
Mbowe apunguze kuongea. Afanye tuone.
Kwanza nchi hii, hakuna kitu chochote cha maana wamewahi kukipata upinzani bila ridhaa yenyewe ya hao CCM.
Ni kitu gani wamewahi kushinkiza wakakipata?
Hakuna.
Kwa hiyo alitolewa kwa maigizoNani amchangie mlevi huyo, lile lilikuwa ni igizo
Mshukuruni mh.SSH kwa kuiacha kesi iende na kufikia ushindi huo na pia kurudishiwa fedha zenu....kinyume na hayo wala KISINGETOKEA CHOCHOTE.....Kwa hiyo alitolewa kwa maigizo
Binafsi sifungamani na kauli za vitisho, ila hili linafanyika labda ni katika ile hali ya kuonyesha msisitizo wa jambo lenyewe kutokana na umuhimu wake.Sahihi..katiba yetu inahitaji maboresho makubwa bt kuwe na Cleare means of presentation sio kauli za vitisho anazotoa Mh Mbowe .
Wananchi tunataka maendeleo, katiba hilo ni porojo zenu wanasiasa.Wananchi wa wapi acheni uwongo
Ana wabunge majimboni kwani?.naamini mbowe is very smart katika siasa zetu, mikutano atafanya lakini ni ile mama aliyoiruhusu atafanya kwenye majimbo aliyo na wabunge, sasa angalia wale covid wanavyokuja kumnufaisha maana ni wabunge wa mikoa/taifa wale
Hayo madaraka yake makubwa ndio tunataka tuyapunguze kwenye Katiba mpyaWanaukumbi
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu asiyetambua umuhimu wa Katiba Mpya; tunapishana sehemu ndogo sana ‘timing’ na vipaumbele vya kitaifa kwa sasa viwe ni 1.Katiba Mpya au kupambana na 2.Janga la Corona na 3.Kuinua Uchumi na hali za wananchi masikini?
Sisi Watanzania tumechagua muhimu 2 na 3.
Mbowe na wafuasi wako mnachekesha sana hivi mnataka rais wetu afuate mnachotaka nyie kwa maslahi yenu?
Rais akitumia madaraka yake kama katiba unavyomtaka mtaanza tena kulia kuwa Tanzania hamna demokrasia.
Nakushauri Mbowe zile pesa mlizorudishiwa na mahakama jengeni ofisi kwanza ondokeni Ufipa mlilpopanga vyumba viwili hamna mtanzania anaweza kuwaamini wewe na kundi lako.
Mama yupo a lot wiser na ana hofu ya Mungu kuliko yule mtangulizi wake - ambaye kiukweli he was an out-and-out nutter.Wanaukumbi
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu asiyetambua umuhimu wa Katiba Mpya; tunapishana sehemu ndogo sana ‘timing’ na vipaumbele vya kitaifa kwa sasa viwe ni 1.Katiba Mpya au kupambana na 2.Janga la Corona na 3.Kuinua Uchumi na hali za wananchi masikini?
Sisi Watanzania tumechagua muhimu 2 na 3.
Mbowe na wafuasi wako mnachekesha sana hivi mnataka rais wetu afuate mnachotaka nyie kwa maslahi yenu?
Rais akitumia madaraka yake kama katiba unavyomtaka mtaanza tena kulia kuwa Tanzania hamna demokrasia.
Nakushauri Mbowe zile pesa mlizorudishiwa na mahakama jengeni ofisi kwanza ondokeni Ufipa mlilpopanga vyumba viwili hamna mtanzania anaweza kuwaamini wewe na kundi lako.
🤣🤣👍👍Ana wabunge majimboni kwani?.
kina nani?.
Huyu mushi,walikua group moja na kina yerico nyerere,ben saanane back then in 2007 ,tumemenyana nao sana hawa,hawa ni extremists,,sema yerico aliachaga huu ujinga akaanza kutunga vitabu..Kumbe tabia ya kutishiatishia wamewarithisha hadi nyie wake zao.
Mpuuzi kabisa, unanitisha mimi? Mimi huyuhuyu?