Mbowe na Wenzake 3 wakutwa na kesi ya kujibu. Kesi imeahirishwa hadi Machi 04, 2022 watuhumiwa kuanza kujitetea

Mbowe na Wenzake 3 wakutwa na kesi ya kujibu. Kesi imeahirishwa hadi Machi 04, 2022 watuhumiwa kuanza kujitetea

Hoja za Mawakili ndio hutoa maamuzi ya kesi yoyote ile kulingana na ushahidi na utetezi uliotolewa mahakamani.

Jaji lake ni kutamka adhabu au uhuru kwa mtuhumiwa.

Kibatala alikuwa na hoja mbili muhimu:

1. Safari ya Mbowe kule Dubai ilikuwa na baraka za dola

2.Huwezi kulipua au kuvunja kitu kisichokuwepo kwenye Mtaa fulani, Barabara fulani, Block fulani, plot fulani au shamba fulani.

Kariakoo au Sinza ni maeneo siyo " mahali"

Unachoweza kukipata kwenye eneo ni Hewa peke yake.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Mkuu submission yako haijitoshelezi.
Naomba kutoa hoja!
 
Jaji ataingia atapiga bra bra nyingi sana na mwishoni atatukera.
Jaji huyu hawezi tenda haki hii kesi.
Jaji ana maelekezo na hukumu yake mfukoni.
Anana tabia ya kutoa maelezo mareeefu mwisho wa siku kinachotoma sasa sisimizi.
 
Ile siku iliyosubiriwa ya kutolewa maamuzi kesi Mbowe na wenzake 3 kama wana kesi ya kujibu au hawana ni leo 18 Februari 2022 ambapo Jaji Tiganga anatarajiwa kutoa maamuzi hayo katika mahakama kuu ya Uhujumu Uchumi na Rushwa.

Kujua kesi ilipoishia fungua kiunganishi hiki: Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake. Tumaini Swila amaliza ushahidi. Mawikili wa Serikali wafunga Ushahidi. Jaji kutoa uamuzi 18/02/2022

=========

UPDATES
Leo tutajua kama Judge ana maelekezo au anafuata ushahidi wa kutunga wa mapolisi
Mungu msaidie jaji atende haki
 
Mimi ni mweupe kabisa kuhusu mambo ya Sheria na Mahakama..je FAM akikutwa na kesi ya kujibu what is next??..
Next ni kwamba atatakiwa ajitee chini ya kiapo ama bila kiapo utaainisha idadi ya mashahidi wake ama anaweza kuamua kukaa kimya........!!
vyovyote iwavyo
Jamhuri itakuja na kusema haina haja tena ya kuendelea na shauri watalifuta....
 
Tuwe makini na alama za tahadhari!wale wa upande wa shetani wanakatiza katiza.
IMG_20220218_094128.jpg
 
Ile siku iliyosubiriwa ya kutolewa maamuzi kesi Mbowe na wenzake 3 kama wana kesi ya kujibu au hawana ni leo 18 Februari 2022 ambapo Jaji Tiganga anatarajiwa kutoa maamuzi hayo katika mahakama kuu ya Uhujumu Uchumi na Rushwa.

Kujua kesi ilipoishia fungua kiunganishi hiki: Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake. Tumaini Swila amaliza ushahidi. Mawikili wa Serikali wafunga Ushahidi. Jaji kutoa uamuzi 18/02/2022

=========

UPDATES
Mpaaka sasa gari halijapita huenda wamekosa mafuta
 
Ni kweli kabisa jaji anyone hukumu yake ndio maana alipanga muda mfupi kutoa hukumu.Kwenye mapingamizi mbona alikuwa anapanga kufanya maamuzi kwa zaidi,iweje hukumu apange huo muda wa siku mbili ?.Kumbukeni huyu jaji analipwa mapesa makubwa.
 
... napata shida kidogo; ikionekana hivyo, kwamba yalikuwa madawa na silaha feki, what will be the consequences? Kwamba itaachwa ipite hivyo hivyo?
Sasa mkuu yule mwanamama mwenye GROCERY muuza mbege shaidi HURU wa mchongo kashasema akisimama na kukaa SAHINI zake zinatofautiana sasa kuna nini hapo ikiwa vielelezo vyaonesha ni SAHINI za watu wa wawili tofauti
na huyo ndio mmoja wa mashaidi muhimu km itafunguliwa KESI ya SILAHA na MADAWA
na yule mama hawezi kukumbuka tena ule USHAIDI wa Uongio aloutoa mara kwanza

sasa mkuu wangu unadhani kwa kibatala atatoka yule mama km si kugikwa na SIKU ZAKE GHAFRA
unajua kwanini wamesitisha kuleta mashaidi wengine 7bu kibatala kabadili mbinu now anawapeleka SHOW siku 3 mpk 4 sasa shaidi wa uwongo kwa siku 1 uwezi kujiandaa kwa kesho yake
halafu mzee mzima kibatala anakupeleka mbele anakarudisha nyuma anaenda katikati ushawahi kuona SERIEZ fulani inaitwa LOST basi MZEE mzima kibatala anakupeleka kama ile SERIES na ukijichanganya kwenye JIBU basi buana hilo jibu linazua maswali kibao ya papo kwa hapo yaan wewe hata ukijikuna kudadeki linakuja swali hapo mbaya zaidi ni la kisheria sasa na huna ujanja utajibu ukikataa utasikia MHESHIMIWA JAJI NAOMBA ANIJIBU ha ha ha utajibu tu kiunyonge si ushayakoroga na ukileta cha lakini utasikia HAKUNA CHA LAKINI HAPA
hapo lazima uombe poo uende UKANYE ndio urudi kizimbani ama sivyo utaumwa kichwa kudadeki utaomba MAJI upoze koo
 
Back
Top Bottom