Mbowe: Natamani mrithi wangu kama Mwenyekiti Taifa atoke BAWACHA

Mbowe: Natamani mrithi wangu kama Mwenyekiti Taifa atoke BAWACHA

Kwa ujumla wanastahili. Baraza hilo la CHADEMA, ni taasisi imara kuliko zote. Na ukiona kitu kinafanikiwa, ujue uongozi ni imara na wenye maono.
Nilifikiri Tundu Lisu au JJ Mnyika wangefaa zaidi!
 
Kiukweli hii saccos hakuna kidume atakayekubali tena kuiongoza kwani haina mvuto tena,sana sana hilo zigo atakabidhiwa mwanamama afe nalo huku akiwa remoted na DJ Makengeza
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema anatamani sana atakapostaafu kama mwenyekiti wa Chadema taifa basi mrithi wake atoke Bawacha.

Source Tanzania Daima

My take; Namuona Halima Mdee akiandaliwa fursa ya kuongoza Chadema

Maendeleo hayana vyama!
 
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema anatamani sana atakapostaafu kama mwenyekiti wa Chadema taifa basi mrithi wake atoke Bawacha.

Source Tanzania Daima

My take; Namuona Halima Mdee akiandaliwa fursa ya kuongoza Chadema

Maendeleo hayana vyama!
Hana busara yule dada
 
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema anatamani sana atakapostaafu kama mwenyekiti wa Chadema taifa basi mrithi wake atoke Bawacha.

Source Tanzania Daima

My take; Namuona Halima Mdee akiandaliwa fursa ya kuongoza Chadema

Maendeleo hayana vyama!
Bwashe unapendaga habari za CDM hadi basi. Si uunge mkono juhudi za CDM waziwazi?
 
Ni kauli inayohitaji tafakari ya ndani sana.
1. Ipo siku Freeman Aikaeli Mbowe hatagombea tena nafasi ya Uenyekiti - CHADEMA inapaswa kuandaa viongozi
2. Mwenyekiti ana maono ya kuiona CHADEMA ikiiongozwa na Mwanamke; linaweza kuwa wazo gumu kukubalika kwa wengi kwa sababu kadhaa ikiwemo (i) Je kuna mwanamke anayeweza kukidhi uwezo wa kuwa Mwenyekiti CDM - Taifa (ii) Kauli hii inamaanisha nini kwa viongozi wanaume ndani ya CHADEMA ambao wana njozi za kuwania cheo cha Uenyekiti Taifa?

Ni suala la muda tu; Freeman Mbowe bado ana miaka mitano katika cheo cha Uenyekiti.
 
Ni kauli inayohitaji tafakari ya ndani sana.
1. Ipo siku Freeman Aikaeli Mbowe hatagombea tena nafasi ya Uenyekiti - CHADEMA inapaswa kuandaa viongozi
2. Mwenyekiti ana maono ya kuiona CHADEMA ikiiongozwa na Mwanamke; linaweza kuwa wazo gumu kukubalika kwa wengi kwa sababu kadhaa ikiwemo (i) Je kuna mwanamke anayeweza kukidhi uwezo wa kuwa Mwenyekiti CDM - Taifa (ii) Kauli hii inamaanisha nini kwa viongozi wanaume ndani ya CHADEMA ambao wana njozi za kuwania cheo cha Uenyekiti Taifa?

Ni suala la muda tu; Freeman Mbowe bado ana miaka mitano katika cheo cha Uenyekiti.
Mbowe atastaafu baada ya uchaguzi mkuu ndio maana anaandaa mrithi wake sasa!
 
Kiukweli hii saccos hakuna kidume atakayekubali tena kuiongoza kwani haina mvuto tena,sana sana hilo zigo atakabidhiwa mwanamama afe nalo huku akiwa remoted na DJ Makengeza

CDM ni saccos ila ccm si saccos?

Fvck yall
 
Back
Top Bottom