Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo nimekuelewa bwashee Bawacha ni taasisi nyeti!Kwa ujumla wanastahili. Baraza hilo la CHADEMA, ni taasisi imara kuliko zote. Na ukiona kitu kinafanikiwa, ujue uongozi ni imara na wenye maono.
Haya bhana!Chadema hawana mtindo wa kofia mbili, Lissu atakuwa Rais na mwenyekiti atakuwa mtu mwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
He he he he[emoji28]Kwa ujumla wanastahili. Baraza hilo la CHADEMA, ni taasisi imara kuliko zote. Na ukiona kitu kinafanikiwa, ujue uongozi ni imara na wenye maono.
Kwa ujumla wanastahili. Baraza hilo la CHADEMA, ni taasisi imara kuliko zote. Na ukiona kitu kinafanikiwa, ujue uongozi ni imara na wenye maono.
Hata biblia inasema ishi na mwanamke kwa akili..Ni kauli inayohitaji tafakari ya ndani sana.
1. Ipo siku Freeman Aikaeli Mbowe hatagombea tena nafasi ya Uenyekiti - CHADEMA inapaswa kuandaa viongozi...
Yaani Nusrat Hanje kutoka kulambwa na kunguni jana leo amekula kiapo?!!!Hata biblia inasema ishi na mwanamke kwa akili...
My take; Namuona Halima Mdee akiandaliwa fursa ya kuongoza Chadema
Maendeleo hayana vyama!
Mambo yamebadilika sana
Haya 😂😂😂Kwa ujumla wanastahili. Baraza hilo la CHADEMA, ni taasisi imara kuliko zote. Na ukiona kitu kinafanikiwa, ujue uongozi ni imara na wenye maono.